Uchaguzi 2020 CHADEMA na ACT-Wazalendo kufanya maandamano ya amani Nov 2, 2020 kupinga kuvurugwa kwa Uchaguzi Mkuu

Uchaguzi 2020 CHADEMA na ACT-Wazalendo kufanya maandamano ya amani Nov 2, 2020 kupinga kuvurugwa kwa Uchaguzi Mkuu

Wafuasi wa Lissu mmefika wapi na maandamano yenu?

Haraka ya nini na maandamano hayana siku moja , hao polisi na majeshi yenu mliyoyakodi kutoka Burundi na yakae wakati wote barabarani
 
Haraka ya nini na maandamano hayana siku moja , hao polisi na majeshi yenu mliyoyakodi kutoka Burundi na yakae wakati wote barabarani
Sawa ndugu mfuasi, ila mliambiwa muandamane leo kuanzia saa mbili asubuhi.
 
Maandamano yamepamba moto hapa hadi polisi wamezidiwa nguvu na waandamanaji. Kuna wadada wawili wamejeruhiwa na risasi za moto na wanapelekwa hospitali kwa matibabu. Polisi nao wanapiga mabomu ya machozi ovyo ovyo yaani. Nikiripoti kutoka Jamhuri ya Twitter na Instagram, mimi ni ripota wako Jane Lowassa


Polisi hawa aaskari wa kukodi wa jeshi la Burundi waliovalia sare za Kitanzania au ??
 
Maandamano yamepamba moto hapa hadi polisi wamezidiwa nguvu na waandamanaji. Kuna wadada wawili wamejeruhiwa na risasi za moto na wanapelekwa hospitali kwa matibabu. Polisi nao wanapiga mabomu ya machozi ovyo ovyo yaani. Nikiripoti kutoka Jamhuri ya Twitter na Instagram, mimi ni ripota wako Jane Lowassa
Tia angalau picha tujionee. Wengine tupo nchi za mbali tunayafuatilia!
 
Maandamano yamepamba moto hapa hadi polisi wamezidiwa nguvu na waandamanaji. Kuna wadada wawili wamejeruhiwa na risasi za moto na wanapelekwa hospitali kwa matibabu. Polisi nao wanapiga mabomu ya machozi ovyo ovyo yaani. Nikiripoti kutoka Jamhuri ya Twitter na Instagram, mimi ni ripota wako Jane Lowassa
🤣🤣🤣🤣🤣
 
CHADEMA na ACT Wazalendo tunautangazia umma na wanaopinga kuvurugwa kwa Uchaguzi Mkuu kushiriki Maandamano ya Amani kesho Jumatatu ya Tarehe 2/11/20. Madhumuni ya Maandamano ni kudai kurudiwa Uchaguzi Mkuu chini ya Tume Huru ya Uchaguzi.

Maandamano yataanzia sehemu 2, kundi moja litaanzia Buguruni Sheli kuchukua barabara ya Uhuru mpaka Kariakoo, Msimbazi Road mpaka fire, Morogoro road, Bibi Titi mpaka Ofisi za Tume.

Kundi lingine litaanza Ubungo Bus Terminal kuchukua Morogoro road mpaka fire kisha Bibi Titi kuelekea Ofisi ya Tume.

Wajumbe wa Kamati Kuu mnaopenda kushiriki maandamano tafadhali mtachagua kati ya maeneo hayo. Maandamano yanaanza saa mbili kamili asubuhi kuelekea Ofisi ya Tume ya Taifa ya Uchaguzi katika Ukumbi wa Mwalimu JK Nyerere Conference Center. Viongozi Wakuu wataongoza Maandamano hayo.


Huo ni zaidi ya upuuzi na kutokujua maana halisi ya demokrasia, kukosa nafasi ya ubunge kwa mbowe na zito kabwe pamoja na genge lake la kihuni haihusiani na maana halisi ya kuminywa demokrasia, kila mtu ana haki ya kuchagua na kuchaguliwa.
Suala la watanzania kuamua kuichagua CCM, hiyo ndio demokarsia sahihi kwa maana watanzania wameamua kile wanachokipenda na kukihitaji.
Sasa nasema Acha kazi iendelee hakuna cha maandamano hapa. MAGUFULI NDIE RAIS WETU
MAGUFULI NDIE RAIS WETU
 
Maandamano yamepamba moto hapa hadi polisi wamezidiwa nguvu na waandamanaji. Kuna wadada wawili wamejeruhiwa na risasi za moto na wanapelekwa hospitali kwa matibabu. Polisi nao wanapiga mabomu ya machozi ovyo ovyo yaani. Nikiripoti kutoka Jamhuri ya Twitter na Instagram, mimi ni ripota wako Jane Lowassa
Wanajiita makamanda kumbe hawana ukamanda wowote bora hata scout wale wa primary 😅
 
Huo ni zaidi ya upuuzi na kutokujua maana halisi ya demokrasia, kukosa nafasi ya ubunge kwa mbowe na zito kabwe pamoja na genge lake la kihuni haihusiani na maana halisi ya kuminywa demokrasia, kila mtu ana haki ya kuchagua na kuchaguliwa.
Suala la watanzania kuamua kuichagua CCM, hiyo ndio demokarsia sahihi kwa maana watanzania wameamua kile wanachokipenda na kukihitaji.
Sasa nasema Acha kazi iendelee hakuna cha maandamano hapa. MAGUFULI NDIE RAIS WETU
MAGUFULI NDIE RAIS WETU

Demokrasia ni kuleta majeshi ya kukodi kutoka Burundi na kuwavika sare za polisi wa Kitanzania huku wakiwazuia mawakala wa upinzani wasiingie vituoni ?? Na wanaokataa kutoka ni kuwapiga risasi na kuwauwa huku Pemba ??
 
We umekwenda?

Sisi tuna strategy nyengine kwani mitaani mumetuletea askri wa jeshi la Burundi wanaingia majumbani wanavunja milango na kuwanajisi wasichana huku wakiiba simu na pesa
 
Back
Top Bottom