niachiemimi
JF-Expert Member
- Feb 18, 2015
- 3,606
- 5,295
Lissu mikwara miiiingi harafu hamuna kitu. Sio tu wananchi hata yeye mwenyewe ameshindwa kuingia barabarani.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haya Manyumbu ya Mbowe na Kabwe ni mapotoshajiMnapotosha umma.
Watanzania wameona uwakilishi wa wapinzani bungeni unahatarisha mikakati ya kimaendeleo. wamewachana chanaHaya Manyumbu ya Mbowe na Kabwe ni mapotoshaji
Siwezi nikashangaa chama cha mbowe mambo ya ukabila ndio jadi yenu, mambo ya udini ndio jadi yenu, na ndio maana watanzania makini na wanaojielewa wamewanyima kura. RAIS NI MAGUFULI, tunasonga mbele pamoja.Naona umewaleta Wahutu
#Tugange yajayoSiwezi nikashangaa chama cha mbowe mambo ya ukabila ndio jadi yenu, mambo ya udini ndio jadi yenu, na ndio maana watanzania makini na wanaojielewa wamewanyima kura. RAIS NI MAGUFULI, tunasonga mbele pamoja.
#Tugange yajayoHaya Manyumbu ya Mbowe na Kabwe ni mapotoshaji
Haya Manyumbu ya Mbowe na Kabwe ni mapotoshaji
#Tugange yajayoNatural death...Buriani CHADEMA, Buriani ACT, Buriani CUF
✅ 💯#Tugange yajayo
#Uchaguzi umekwisha
#Linda amani ya taifa
#Ipende tanzania
#Tufanye kazi kwa bidii
#Kataa kuvuruga amani
#Fanya yako kiufasaha
Hivi corona ipo nchi hii? Mask za nini?Waje tu tuwatundue vizuri
Wewe umejuaje?? Usituletee propaganda zako za mitaroni hapa
#Tugange yajayo
#Uchaguzi umekwisha
#Linda amani ya taifa
#Ipende tanzania
#Tufanye kazi kwa bidii
#Kataa kuvuruga amani
#Fanya yako kiufasaha
Ninaweza kuzipata ila sipo tayari kupoteza bundle langu kusikiliza viongozi wa chadema na Act wakiweweseka kupigania matumbo yao.Utavyopenda kwani clips za mkutano wa viongozi wa ATC na Chadema unaweza kuzipata you tube
Vyama vinaweza kufa lakini upinzani utazidi kukua.Natural death...Buriani CHADEMA, Buriani ACT, Buriani CUF
Za kuzuia harufu mbaya ya mishuzi ya wapinzaniHivi corona ipo nchi hii? Mask za nini?
Kwani zile buku saba ulizopewa Lumumba huwezi kununua bundle ?Ninaweza kuzipata ila sipo tayari kupoteza bundle langu kusikiliza viongozi wa chadema na Act wakiweweseka kupigania matumbo yao.
N.b ni ACT sio ATC kama ulivyoandika ndugu mfuasi.
wacha wajimalize vizuri wenyeweZitto umekiuka katiba ya ACT kwa kumuunga mgombea asiye mwana ACT
Poa kabisa, sikujua hilo.Za kuzuia harufu mbaya ya mishuzi ya wapinzani
unajitahidi kuunda uongo kufanana na ukweli..sasa tutumie visima vya chidengwa, nkasi kusini na vijiji vyote 2100 ambavyo maji yamefika.