Subiri hiyo Jumatatu, una haraka ya nini? Mpuuzi wewe.Wewe toka barabarani,wahimize majirani,ndugu zako na familia yako sisi kazi yetu ama maelekezo tutayo wapa Askari wetu hodari na jeshi letu tukufu,wakiona dalili zozote za kupanga kuhimiza ama kuunganika kwa maandamano tutawasaidia kurudi kwenye shughuli zenu kwa adabu stahiki
Watanzania wa wapi wameamua? Kwa uchaguzi upi? Tanzania hakuna uchaguzi umefanyika ni CCM kuulawiti kuubaka kuunajisi uchaguzi kwa njia haramu za kishetaniKwani kuna mwaka wowote wa uchaguzi ambao vyama pinzani vilisha kubali matokeo?
Hebu acheni utoto anzeni kujipanga leo kwajili ya mwaka 2025.
Watanzania tumesha amua.
Wawasomee Alibadiri kubwa CCM badala ya maandamano kwani Polisiccm wanaweza kuua watu endapo wataandamanaBadala ya kuhamasisha hayo maandamano, mimi nawashauri CHADEMA pamoja na ndugu zenu wa ACT Wazalendo kususia shughuli zote za Serikali kwa vitendo...
Karibu Sana,tupo kazini kuanzia sasa tuta hakikisha Amani na maendeleo kwa watanzania wote,wa vyama vyote ila hatuta sita kutoa elimu kwa wavurugaji na wapinga kila kitu,hata kwa yale yanayo onekaka dhahiri.Subiri hiyo Jumatatu, una haraka ya nini? Mpuuzi wewe.
Milion 12 ni wa NECCCM Tumeccm wakurugenziccm na Polisiccm siyo watanzania halisi kwa kifupi CCM imepanyikwa ikulu kwa kura za kutengenezwa tu kwa njia haramu za kishetani siyo kwa sanduku la kuraWatu wenyewe hawafiki hata milioni 3 halafu wanataka kutusumbua watu milioni 12.
Tanzania hakuna Amani kuna kisiwa cha uvumilivu tu Amani hakuna ndiyo maana hata Zanzibar kuna mauaji lakini wameendelea kuvumiliaKaribu Sana,tupo kazini kuanzia sasa tuta hakikisha Amani na maendeleo kwa watanzania wote,wa vyama vyote ila hatuta sita kutoa elimu kwa wavurugaji na wapinga kila kitu,hata kwa yale yanayo onekaka dhahiri.
kumbe manamba bado mpo endeleeni na huyo mkoloni wa burundi aendelee kufaidi hayo masaburi siye tumedhamiria kumfurusha by hooks or crooksNiaje niaje?
Moja Kwa moja kwenye mada kuu, napenda kuwapongeza WATANZANIA wenzangu Kwa kuwa wazalendo kabisa. Bila shaka ninyi ni mashujaa na wa kweli kabisa katika maisha ya kawaida ndio, lazima tuseme ukweli panapohitajika uwezi kupata ubunge ukalipwa posho zako ukasahau walio kupigania uupate, hii ni dharau. Kira siku ni kujipost tu uko mtandaoni mkijidai na kujitapa kama ninyi ni matajiri wakubwa mnashinda kuvaa gold kwenda kwenye mahotel makubwa na familia mkijiona Bora kabisa ndio....
Kudondokea pua ipi wakati wananchi wamempa kura nyingi lakini CCM wamejitengenezea kura zao feki na kujitangazia kupitia vyombo vyao binafsi NECCCM Tumeccm wakurugenziccm na Polisiccm, hakuna uchaguzi huru bali CCM imeulawiti na kuubaka uchaguzi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hiyo huzuni imejaa waoi?
Sema imejaa kwenye familia zenu wana ufipa baada ya Lisu kudondokea pua
Baada ya uchaguzi wa America tarehe 4 kuna kitu kinakuja kwa CCM hii inayopora haki za wapiga kura kujipachika ikulu kienyeji pasipo ridhaa baraka za wapiga kurakumbe manamba bado mpo endeleeni na huyo mkoloni wa burundi aendelee kufaidi hayo masaburi siye tumedhamiria kumfurusha by hooks or crooks
Albadiri inatosha hakuna haja ya maandamanoMitandaoni hakuna waandamaji mzee, huku ni makeybord master tu, vigeugeu waliojaa uoga.
Alibadiri inatosha kuwaamsha CCM mpaka waitishe uchaguzi upyaMTU akiamua kuandamana anajitakia kuwa tegemezi kwa ndg zake kwa lazima huku sio marekani maaskari wetu hawacheki na viumbe wasiotumia sawasawa milango yote ya fahamu
Nani akaendeshe alibadiri wakati madhekhe na maimamu wameipigia kura ccm zinduka muulize shekhe wako alipiga wapiAlibadiri inatosha kuwaamsha CCM mpaka waitishe uchaguzi upya
Usibeze boss,kipindi kile cha Lowassa yaliisha kwa sababu walimtumia Tb Joshua akawashauri wamwachie Mungu.Hakuna jipya hapo, picha ndio limeshaisha.
Huko 2015 mbali sana uchaguzi unatakiwa kurudiwa haraka ikibidi hata mwezi ujaoWalijua fika kabisa kuwa hakuna cha tume huru.
Hata 2015 walikuwa wanajua tume si huru.
2010 vivyo hivyo.
Halafu subiri uone itavyokuwa 2025! Watashiriki tena chini ya tume hii hii!
Ni sikio la kufa hao.
Urudiwe chini ya mazingira haya haya?Huko 2015 mbali sana uchaguzi unatakiwa kurudiwa haraka ikibidi hata mwezi ujao
Dada yetu anajitambua hawezi olewa na taga,we kalambe makubazi ya slowslow.Mi najaribu kuwaza kuhusu haya maandamano yao wanao yataka nchi nzima.
Kwanza tujue CHADEMA Wana hali mbayaa...