johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Anaiwakilisha Zanzibar kwa tiketi ya Chama gani?Mbona ipo wazi ameshariki kama mjumbe wa kikosi maalumu cha Zanzibar, na anaiwakilisha Zanzibar sasa apo Chaedema wanahusikaje kama wao wameshakataa hawahusiki.
Mimi hili halihusiani maana naichukia chadema zaidi ya shetaniAcha uongo wawakilishi wa vyama hawakai nyuma , wanakaa mbele Kama wajumbe wa baraza.
NomaYaani TEC na Chadema watume wawakilishi kwenye tamasha la kina Mrisho Mpoto,Abdu Nondo kweli!
kweli kuna watu wengi humu hamfuatilii mambo yanavyokwenda, mnaendeshwa kwa hisia wakati mkutano wenyewe ulikua live bila chenga.Yaani TEC na Chadema watume wawakilishi kwenye tamasha la kina Mrisho Mpoto,Abdu Nondo kweli!
usiulize kwa Tiketi ya Chama Gani.....tofauti na vyama vya siasa kila mtu anamajukumu yake mengine kama Walimu, wachumi, wazee wa busara and so on.... swali la msingi... uliza ameshiriki kwa Maslahi ya nani na kwa mwaliko wa nani ? ni jambo la kitoto kama msemaji rasmi wa Chadema anasema Chadema hawajutuma mwakilishi rasmi ila CCM wanang'ang'ania Chadema wanamwikilishi, Je amebeba maoni ya Chadema ? Amequalify kuwa mwakilishi wa Chadema bara na visiwani ? je Chama kitafanyia kazi chochote kitakachoamuliwa huko ? Jibu ni Hapana.Anaiwakilisha Zanzibar kwa tiketi ya Chama gani?
Unajitahidi kutetea jambo fulani lakini mbona kauli yako inapingana dhamira ya R4 za Rais Samia?Wacha wasusie kwani kutokushiriki kwao kume leta impact gani na pia kushindana na serikali ni kupoteza muda Rais Samia bado yupo sana na namba mtaisoma kwa chuki dhidi ya mamlaka ya Nchi. Toka lini taasisi ikawa na nguvu ya kisiasa na ushawishi?
Msijidanganye kwakuwa mna siri za ndani za waumini wenu mkasahau kuwa nyie ni raia wa kawaida tuu. Tena raia kama raia wengine
Na wewe unaamini Chadema hawajatuma mtu?!usiulize kwa Tiketi ya Chama Gani.....tofauti na vyama vya siasa kila mtu anamajukumu yake mengine kama Walimu, wachumi, wazee wa busara and so on.... swali la msingi... uliza ameshiriki kwa Maslahi ya nani na kwa mwaliko wa nani ? ni jambo la kitoto kama msemaji rasmi wa Chadema anasema Chadema hawajutuma mwakilishi rasmi ila CCM wanang'ang'ania Chadema wanamwikilishi, Je amebeba maoni ya Chadema ? Amequalify kuwa mwakilishi wa Chadema bara na visiwani ? je Chama kitafanyia kazi chochote kitakachoamuliwa huko ? Jibu ni Hapana.
Huyo atakuwa amehudhuria bila ridhaa ya chadema. Watamuita msaliti sawa na wale wabunge 19 wa viti maalum.Tofauti na ilivyoripotiwa na Katibu mkuu wa Chadema mh John Mnyika kuwa Chama chake hakitashiriki Mkutano wa Baraza la Vyama vya Siasa ukweli ni kuwa Chama hicho kinashiriki
Makamu Mwenyekiti wa Chadema Zanzibar mh Said Issa Mohamed Ndiye anakiwakilisha Chama hicho kwenye Mkutano huo akiwa siti ya jirani na Shehe mstaafu wa Mkoa wa DSM alhad Musa Salum
Source: Mwanahalisi Digital
Hao ni waongo. Kama kaenda kaenda kwa utashi wake sio chama. Kauli ya Katibu Mkuu ndio ya chama. Anaweza kwenda Kama mwakilishi wa Raia.Hilo Waambie Mwanahalisi Digital siyo mimi 😂😂
Acha kulazimisha. CHADEMA hakishiriki huo mkutano wenu. Huwa mnalazimsha CHADEMA washiriki ujinga wenu.Anaiwakilisha Zanzibar kwa tiketi ya Chama gani?
Yaani baadaye mseme waliwaharibia kitchen party yenu?Nimejaribu kufuatilia sijaona mwakilishi wa hizi tasisi mbili. Ama kweli mungu huwa anawafunulia watu wake. Mara myingi kitima ndo huwa anahwakilisha TEC
Huwezi ukaenda kwenye jukwaa lililojaa wanafiki huku mkiambiwa katiba ni sawa na gazeti haileti maendeleo aha ha aha a bure kabisa nawapongezwa bora hawakwenda waliona mbali.
Wanamaslahi yao binafsi, sisi wananchi masikini tunaenda na wale wenye mtazamo chanya na wanapambania maslahi ya taifa.Nimejaribu kufuatilia sijaona mwakilishi wa hizi tasisi mbili. Ama kweli mungu huwa anawafunulia watu wake. Mara myingi kitima ndo huwa anahwakilisha TEC
Huwezi ukaenda kwenye jukwaa lililojaa wanafiki huku mkiambiwa katiba ni sawa na gazeti haileti maendeleo aha ha aha a bure kabisa nawapongezwa bora hawakwenda waliona mbali.
Kila kitabu kina sababu yake, na katiba ni kitabu chenye muongozo wa utawala wa nchi. Au unataka maelezo ya ziada?Wewe usitutoe kwenye reli
Swali: Katiba ni nini?
Jibu: Ni kitabu tu km vilivyo vitabu vingine
Ni kitabu au ni Sheria Mama?Kila kitabu kina sababu yake, na katiba ni kitabu chenye muongozo wa utawala wa nchi. Au unataka maelezo ya ziada?