CHADEMA na TEC hawakutuma Mwakilishi kwenye Kongamano la Vyama vya Siasa?

Ni kitabu au ni Sheria Mama?
Usichanganye madesa Mzee utapotea unatetea hoja kizembe
Unaongea utoto gani dogo? Umesema ni kitabu kama vitabu vingine, na mimi nimekwambia ni kitabu cha aina gani. Au hiyo sheria mama inaandikwa kwenye mawe?
 
Unaongea utoto gani dogo? Umesema ni kitabu kama vitabu vingine, na mimi nimekwambia ni kitabu cha aina gani. Au hiyo sheria mama inaandikwa kwenye mawe?
Rudi shule,

'Nguvu ya elimu Ina umuhimu pale elimu ikitumika'

Umesema ni kitabu cha muongozo wa nini?

Emu turudi nyuma kidogo
 
Umekuja na marking scheme ama?
Nataka tuunganishe dots,

Kwani Kitabu ni nini na Katiba ni nini?

Jibu: Kitabu ni Kitabu tu na Katiba ni kitabu km vitabu vingine

Au unataka nikuwekee clip?
Maana kenge hasikii mpaka masikio yavuje damu
 
Akili kubwa kama CHADEMA na TEC wanapasws kuwa consultants na siyo participants.
Hoja alizowasilisha Askofu Bagonza zimetosha kufikisha ujumbe!
Sema Zitto Kabwe....! Khaah
 
Hivyo hivyo Ila hajasema gazeti kasema Katiba ni kitabu km kilivyo kitabu cha 'Adili na Nduguze' Shaaban Robert
Ile kauli ya hovyo kabisa. Rais mzima hajui maana wala umuhimu wa katiba. Hajui hata yeye kuitwa Rais na kupewa vyote anavyopewa ni kwa sababu ya katiba.

Kusipokuwa ba katiba, ana nini yeye cha pekee zaidi mcheza ngoma au secretary wa TBL?
 
Ile kauli ya hovyo kabisa. Rais mzima hajui maana wala umuhimu wa katiba. Hajui hata yeye kuitwa Rais na kupewa vyote anavyopewa ni kwa sababu ya katiba.

Kusipokuwa ba katiba, ana nini yeye cha pekee zaidi mcheza ngoma au secretary wa TBL?
Ndio hivyo Mzee wangu Katiba anaiona sio chochote anawashangaa 'MIJITU' wanavyoipapatikia
 
Ile kauli ya hovyo kabisa. Rais mzima hajui maana wala umuhimu wa katiba. Hajui hata yeye kuitwa Rais na kupewa vyote anavyopewa ni kwa sababu ya katiba.

Kusipokuwa ba katiba, ana nini yeye cha pekee zaidi mcheza ngoma au secretary wa TBL?
Kuna mmoja aliwaambia watu.. KWANI KATIBA ITAKULETEA MAJI..!!?? Ufala mtupu
 
TEC ni deep state baba
 
Kumbe ndiyo sababu ya hii nafasi mpya kubwa?
 
Nshakuambia ulaji viporo ni hatari kwa akili yako
 
Iliishawahi kuiona Katiba ya Kanisa Katoliki Tanzania?
 

Hata wakijibaraguza kutokuvunja huo mkataba wa kifisadi, hauwezi kutekelezeka kama walivyokubaliana bila kubadilisha sheria!! Bunge halijaafiki kubadili hizo sheria , Samia atafanya nini sijui na wajomba zake!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…