Pre GE2025 CHADEMA ni Wakati wa Kwenda na Lissu. Msisite, nina sababu…

Pre GE2025 CHADEMA ni Wakati wa Kwenda na Lissu. Msisite, nina sababu…

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Kwa hiyo waache kujiandaa na uchaguzi ambao upo miezi mitatu ijayo (serikali za mitaa) na ule wa mwaka mmoja ujao badala yake watulie na kitu kimoja kuendelea kupigania katiba mpya tu kwa kuwa hawatatangazwa katika uchaguzi.?

Sijaelewa unafikiri kwa kukutumia nini wewe.

Ni lazima tupambane kwa mazingira haya haya. Hata nyakati zilezile kina Hayati Mwl. J. K. Nyerere wanapambania uhuru wa Tanganyika, mazingira yalikuwa magumu na giza kwa namna hii hii..

Lakini hawakusema "tutawaweza vipi hawa wakoloni wenye silaha na pesa huku sisi tukiwa hatuna chochote na wakati mwingone tukitembea kwa miguu kilometa nyingi ku - mobilize wananchi kuiunga mkono TANU na harakati zake za kudai uhuru".

Wangekuwa na mawazo kama yako, leo Tanganyika tungekuwa bado ni koloni la Mwingereza..!

Tuwaunge mkono CHADEMA kupambana ktk mazingira haya haya. Tukitaka mshindi lazima atangazwe, itakuwa hivyo. Na hii inawezekana iwapo kutakuwa na mass mobilization yaani - NGUVU YA UMMA..

Iliwezekana Kenya, Zambia, Ghana, South Africa na kwingineko. Sisi tunashindwa nini iwapo tuna watu aina ya Tundu Lissu wanaoweza kushawishi na ku-mobilize watu..

Yote yafanyike kwa wakati mmoja. Kushiriki chaguzi na kupigania katiba mpya..
Wewe pamoja na wana-Chadema wenzako mnajidanganya bure. Kupigania upatikanaji wa Katiba Mpya ndio Jambo la msingi zaidi kwa sasa hivi hapa Tanzania, ndipo mambo mengine yafuatie.
Hauwezi kununua mabehewa na injini za kuvuta mabehewa Kabla ya kutengeneza na kutandika mataluma ya reli kwanza halafu utegemee kwamba mradi wa usafiri wa treni utakamilika na kutoa matunda mazuri. Never happen.

Ili mtoto azaliwe ni lazima ujauzito utungwe kwanza! Mwanamke asitarajie kupata mtoto wake wa kumzaa bila ya yeye kubeba ujauzito kwanza.
It's a pipedream!

Hiki wanachofanya CHADEMA kwa sasa hivi ni sawa na kusema kwamba "wanataka mtoto lakini hawataki kubeba ujauzito."
Hii inawezekana vipi ?
 
Hivi nikuulize swali; Je, Maalim Seif kwenye Uchaguzi wa Siasa wa Mwaka 2015 kule Zanzibar hakupata Kura nyingi kumzidi mgombea wa Urais kutoka CCM? Je, Maalim Seif alitangazwa kuwa ndiye mshindi wa Uchaguzi huo??? Kwa nini? Kwani Maalim Seif alifanya Nini baada ya Jecha kuchukua Uamuzi aliochukua kuhusiana na Uchaguzi huo??
Nimekwisha kuelewa ni wapi tunapo pishana mimi na wewe.
You're still stuck in the past, while am looking at the present and future.
WaTanzania hawawezi kuishi maisha yao ya zamani milele eti kwa vile CCM inataka iwe hivyo.

Naomba unielewe kwa hili moja tu basi: CHADEMA au kundi lingine lolote lenye nia njema na nchi hii wajitoe mhanga kuwa elimisha wananchi wa nchi hii juu ya mamlaka yao juu ya kila kitu ndani ya nchi hii.

Wewe hulioni hilo, ndiyo maana unaeleza uliyo eleza huko juu. Mimi hayo siyaamini. Ninacho amini ni uwezo wa waTanzania kubadili chochote wanacho taka kibadilike, mradi tu pawepo na kundi/chama kinachosimamia matakwa yao vizuri.
 
Hivi mnataka mtu wakugombea urais au mnataka mtu atakayeweza kutoa challenge kwa mgombea wa ccm? Kama ni mtu wa kutoa challenge kwa mgombea wa ccm upinzani kwa sasa hayupo labda atoke upande wa pili au aje mtu fresh ambaye hajawahi kugombea urais na mwenye uzalendo kweli kweli.
 
Nimekwisha kuelewa ni wapi tunapo pishana mimi na wewe.
You're still stuck in the past, while am looking at the present and future.
WaTanzania hawawezi kuishi maisha yao ya zamani milele eti kwa vile CCM inataka iwe hivyo.

Naomba unielewe kwa hili moja tu basi: CHADEMA au kundi lingine lolote lenye nia njema na nchi hii wajitoe mhanga kuwa elimisha wananchi wa nchi hii juu ya mamlaka yao juu ya kila kitu ndani ya nchi hii.

Wewe hulioni hilo, ndiyo maana unaeleza uliyo eleza huko juu. Mimi hayo siyaamini. Ninacho amini ni uwezo wa waTanzania kubadili chochote wanacho taka kibadilike, mradi tu pawepo na kundi/chama kinachosimamia matakwa yao vizuri.
 

Attachments

  • Screenshot_2024-08-16-13-49-12-189_com.whatsapp.jpg
    Screenshot_2024-08-16-13-49-12-189_com.whatsapp.jpg
    279.4 KB · Views: 1
Too bad, you're quoting a leader who I have no iota of respect. Apart from being illiterate, he was more like dead through out his leadership period.
 
Kuna wanaosema Mbowe ndo awe mgombea Kwakuwa Lissu aligombea wakati uliopita Ila wakumbuke
Mbowe aligombea 2005. Hata hivyo Tundu Lissu bado relevance yake ipo na anao mvuto ambao ni wa kipekee kwa sasa. Ni mzuri sana kwenye kuvuta attention ya watu kumsikiliza anapokuwa anaongea na hugusa maeneo ambayo hugusa hisia za walio wengi! Lakini Chama chao kitaona nani anwafaa!

Ulikuwa ushauri wangu tu 2025 Lissu anafaa na ataleta changamoto kubwa kwa CCM,




Britanicca
Nimeanza kupata shaka shaka juu ta uwezo wa kiuongozi wa Mh Lissu hasa kufiatia interview zake mbili.
 
Kuna wanaosema Mbowe ndo awe mgombea Kwakuwa Lissu aligombea wakati uliopita Ila wakumbuke
Mbowe aligombea 2005. Hata hivyo Tundu Lissu bado relevance yake ipo na anao mvuto ambao ni wa kipekee kwa sasa. Ni mzuri sana kwenye kuvuta attention ya watu kumsikiliza anapokuwa anaongea na hugusa maeneo ambayo hugusa hisia za walio wengi! Lakini Chama chao kitaona nani anwafaa!

Ulikuwa ushauri wangu tu 2025 Lissu anafaa na ataleta changamoto kubwa kwa CCM,




Britanicca
Yametimia
 
Back
Top Bottom