Mkuu una nini cha maana zaidi ya ushabiki wa kisiasa kitachofanya CCM wakushawishi uende kwao au Chadema wasikitike kukupoteza?Binafsi sijawai kuwa ccm sipo CCM na sitokuja kuwa CCM Mimi ni chadema hata wahame wote,CCM ni laana na shetani kwangu.
Tutuss mnywa pombe ni wewe ambaye anajibu tuhuma ambazo zimeelekezwa kwa mwingine. Mimi nime-quote Lusungo aliyeumia baada ya kutemeshwa bungo.Usiwe tutusa wapi nimesema Lisu Hafai?
Mnywage mbege Kwa kipimo hata kama mnanyweshwa Bure 🐼
Punguza mihemko.Kama vip Hebu kua wewe sehemu ya hayo mabadiliko badala yakushutumu watu bila uthibitisbo kwasababu tu ya mihemko yako.Mkuu bado kidogo utaokota makopo sasa. Umefikia stage ya kuokoteza ''uchafu'' kama huu ili tu kuonyesha Lissu hafai? Anyway, hili mbona tulilitegemea sana! Au sahihi niseme bado kuna vita kubwa inaandaliwa na timu ya Mbowe ili kuonyesha tu kuwa ilikuwa ni makosa kumchagua Lissu na Chadema inakufa. Kwa kushirikiana na vyombo vya dola, Mbowe atahakikisha Chadema inayumba au hata kufa ili yeye aonekane ni shujaa. Hata ikitokea Mbowe akafaniwa, lakini sisi wananchi tumepata ushindi mkubwa wa kujua ukweli ulikuwa umefichwa nyuma ya pazia i.e. tungepoteza muda na mali yetu kusubiri mabadiliko kutoka kwa uongozi wa Mbowe. Mimi hata Chadema chini ya Lissu ikifa leo sitasikitika sana kwani najua kabisa ndiyo utakuwa mwanzo wa mabadiliko ya kweli kwa sababu kokoro la CCM haliwezi kumbeba kila mtu.
Neno ''kua'' umelitumia ndivyo sivyo. Mimi ni sehemu ya mabadiliko. Una jingine?Punguza mihemko.Kama vip Hebu kua wewe sehemu ya hayo mabadiliko badala yakushutumu watu bila uthibitisbo kwasababu tu ya mihemko yako.
Kwakweli nimemshangaa sana namna alivyoweza kubadirika ghafla na kuwa adui wa Lissu
Unaweza kutushawishi na sisi wengine Kwa kutuonesha huo ulaghai wake na Utapeli ili nasi tukuunge Mkono?Siwezi kumpa ushirikiano jitu tapeli na laghai…. Tutahakikisha anashindwa.
Mimi aliniacha hoi Machali tu. Alivyokua anaitukana CCM na viongozi wake na viongozi wa Serikali sikutegemea.Unataka kuniambia Nasari na Boni Yai nani aliifaidi Chadema?
Yupo wap Nassari mkuu?
Wanaandika ili kuongeza "LIKE" za JFIMPOSSIBLE, ALTHOUGH THE WORD IMPOSSIBLE EXISTS IN THE DICTIONARY OF THE FOOLS
huya wa sasa ni mnyaturu, sijui watamnasibisha na nini zaidi ya ubeberu wanaomtwisha nao maana wanyaturu hawana time na chadema kama ilivyokuwa wachaga na chadema. Propaganda ni nyingi wahuni hawakosi kumtwanga nazoNashukuru kuweka kumbuka sawa, lakini hoja ya Uchaga ilikita mizizi Chadema labda kwakuwa Mwenyekiti aliyemaliza muda wake alikaa miaka mingi madarakani
Sasahivi wanamtwisha mzigo wa ubeberu mara ushogahuya wa sasa ni mnyaturu, sijui watamnasibisha na nini zaidi ya ubeberu wanaomtwisha nao maana wanyaturu hawana time na chadema kama ilivyokuwa wachaga na chadema. Propaganda ni nyingi wahuni hawakosi kumtwanga nazo
Wacha weeee kinembe 😂Nyuzi za hovyohovyo kama hizi zimekithiri JF
mtashindwa nyieSiwezi kumpa ushirikiano jitu tapeli na laghai…. Tutahakikisha anashindwa.
si bure, una sonona, ushindweTapeli Lissu ule mdomo wake uliokaa Kama karai la chapati utamgharimu sana…..
Hatofika popote na tutahakikisha hilo.
wapeleke uhuni wao huko na njaa zao kali, povu sitakiMbona kama unaumia na maisha ya watu?.Huo mvuto unasaidia nini kwenye maisha ya watu?.Watu hawawazi hizo mivuto zako wenzako wanawaza wanaingiza ngapi.Mengine yanabaki kua maamuzi ya mtu binafsi huna sababu yakumbagaza mtu kwasababu kafanya nje ya matarajio yako wakati yeye anawaza maisha yake ya kesho.
Kila mtu anahaki ya kuhamia popote. Hata wakitaka waende chaima wabakie hawana chama waache siasa.Wengi hawajui Kuwa Makamu Mwenyekiti wa CCM wa sasa mh Wassira aliwahi kuhamia NCCR mageuzi ilikuwa u-Star
Masumbuko Lamwai akahamia CCM ulikuwa u-Star
Juliana Shonza akahamia CCM ulikuwa u-Star
Mrema akahamia NCCR Mageuzi ulikuwa u-Star
Funga KAZI Laigwanan Lowassa akahamia Chadema ulikuwa u-Star uliopitiliza kama Zamoyoni Mogella kuhamia Yanga
Lowassa akahitimisha Hama Hama na kurejeshwa CCM na Rostam Aziz akiambiwa kuhama Chama Kwa hasira ni SIASA za Kidwanzi
Nawatakia Dominica NJEMA