CHADEMA: Polisi wenye silaha za moto wazuia msafara wa Makamu M/kiti wetu, Tundu Lissu ukielekea Kibaha

Ndugu zangu, zaidi ya mwezi+ sasa tupo nyuma ya key boards tunaandika kumsapoti Lissu tena kwa uchungu sana. Kwanini leo tusihamasishane kukutana pale Kibaha sokoni aliposema analala hapo leo, kesho na hata keshokutwa ili tumpe support ya nguvu?
Mimi kama mimi lazima nitakuwepo.
 
Mwacheni alale hapo si ameomba eti taarifa zisambazwe kote duniani ili asikie beberu aliyemtuma! Subiri sasa.
 
Usijifanye mjuaji kama huyo mtu wenu kibaraka,

Hebu weka hapa hiyo sheria
 
Usijifanye mjuaji kama huyo mtu wenu kibaraka,

Hebu weka hapa hiyo sheria
Yaani wewe kuwa debe tupu kichwani inipelekee mimi kuwa na wajibu pamoja na homework ya kukuwekea vifungu vya sheria kwenye masuala yanayotokea kwenye nchi yetu?!
 
Yaani wewe kuwa debe tupu kichwani inipelekee mimi kuwa na wajibu pamoja na homework ya kukuwekea vifungu vya sheria kwenye masuala yanayotokea kwenye nchi yetu?!
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Sasa nitajuaje hizo sheria kama wewe mwenye akili hunielimishi ili nije nmpigie Lisu kura?
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Sasa nitajuaje hizo sheria kama wewe mwenye akili hunielimishi ili nije nmpigie Lisu kura?
Kwa nini nikuelimishe umpigie Lissu kura na wala siyo Magufuli?
 
Unasema?????πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Kweli lumumba mmejaa mabumunda
 
Reactions: PNC
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…