Mzalendo2015
JF-Expert Member
- Aug 14, 2012
- 6,710
- 9,063
Unaongea mimavi, uharo na ujinga.Ndio kazi yao kukesha kuhakikisha nchi inakuwa na amani
Mikakati ya vurugu kuvuruga uchaguzi mkuu ilipangwa ikafanyike Kibaha wakikimbia Dar kuwa mimacho iko mingi wakajichimbie Kibaha ambako Raia wa nje pia wangehudhuria huo mkutano wa ndani wa Siri .Raia wema wakaitonya Polisi
Kavunja Sheria ipi? Acha kwa kukariri zidumu fikra zisizo sahihi za mtukufu na polepoleMnahubiri kuhusu haki na Uhuru kila kukicha na licha ya kuwa na kiongozi mwanasheria ila ndo anaongoza kwa kuvunja sheria
Ficha kidogo utahi..ra wako!Mwambieni ajifunze kutii sheria bila shuruti. Nothing less nothing more.
Wewe ndiyo tobo lala kwako hata kuna kunguni acha ushambenga wa kujua alipolala LisuMpo wanagapi unadhani?
Huyo tobo Lisu akijidai atalala hapo mpaka kesho asubuhi, nakesho jioni na itafika muda aombe mwenyewe kwenda nyumbani kwake kwa hiyari bila shurti.
Na hataina mtu anamjari.
Bila Tundu Lissu usingejua kiingereza cha "nothing lesaa nothing more" ungekua km mwenyekiti wako. Shukuruni kwa kila jamboMwambieni ajifunze kutii sheria bila shuruti. Nothing less nothing more.
Sheria gani aliyovunja?? Kusafiri?Mwambieni ajifunze kutii sheria bila shuruti. Nothing less nothing more.
Acheni hizi stori zenu bhana!
Hivi Lisu tangu lini akaenda kukagua soko?
Mwambieni huyu mzee wa faragha aacje uhuni maana kuna wahuni zaidi yake!
Eti kukagua soko.
Kaone!Mwambieni ajifunze kutii sheria bila shuruti. Nothing less nothing more.
Asipokanyaga anakufa?Natamani sana Mike Pompeo atutangazie MTU mwengine ambaye amezuiwa kukanyaga Marekani pamoja na familia yake, kama yule wa January 31.
Akikujibu kwa kifungu cha sheria Nitag please!!
Polepole na Bashiru baada ya kukalia kuti kavu wameamua kutengeneza vikundi vya kuvamia mikutano ya chadema na ofisi za wagombea wa chadema kupora computer na kuiba kila kituKuna taarifa zisizo rasmi kwamba vijana wa uvccm wanavalishwa sare na kuingizwa polis, pia wanatumika kuvuruga mikutano au mikakati ya wapinzani kama walivyofanya kule kwa heche na lema
Never on the earth [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]I am financially sound more than you might think. I can even be your employer. So be careful not to ruin your employment chances by your improper responses to my posts.
Amen!THE GOING IS ROUGH AND TOUGH BUT, WE SHALL OVERCOMEView attachment 1592050
Kwenye soko anaenda kukagua kitu gani?Shida ni ni biashara akikagua hilo soko? Mambo mengine ni madogo yasiyo hata na maana. Kwahiyo hapo ndio serekali inaonyesha jinsi ilivyo makini kwenye utendaji au ni upuuzi tu? Sishangai wazungu wakituita manyani.
Kabisa mkuu, Sirro ni kama hakumbuki kilichowapata wenzake wa Uganda na KenyaICC haipo mbali na IGP
Kama Mtanzania kaenda kukagua wizi wako ufisadi wako na kuuliza ni kwa nini kila tenda kubwa mnapewa nyinyi wasukuma tu?Kwenye soko anaenda kukagua kitu gani?
Lisu yeye ni nani aende kukagua soko?
Mijitu mingine hamna msimamo!! hadi mnakera,!!!kiki tayari aite waandishi wa habari aseme aliyotaka kusema asisahau kufafanua whitepaper
Hii kauli mbona imepotea kitambo haswa Lissu alivyorudi tuu hata kutamka imekuwa shida.J2 hii mtanisikia nikisema kanisani tena kwa unyenyekevu Niombeeeeeeeeeeeeni.
Mkuu si huwa mnasema mtakinukisha?Kama Mtanzania kaenda kukagua wizi wako ufisadi wako na kuuliza ni kwa nini kila tenda kubwa mnapewa nyinyi wasukuma tu?