mkulima gwakikolo
JF-Expert Member
- Nov 22, 2014
- 1,767
- 2,855
Crimea usishabikie u dhalimu "je Mheshimiwa Lissu alifungwa kifungo cha ndani au lah?sasa amewambia Atalala pale mpaka wamruhusu sasa nani atapata hasara. Nina uhakika Jeshi la polisi itabidi limlinde kwa gharama kubwa mana wangekua wamemucha aendelee...sioni kama kungekua na tatzo mana haendi kwenye kampeni!!!Eti akikuwa anaenda kukagua soko!
Kukagua soko kama nani? Yeye si anasema hayo ni maendeleo ya vitu?
Huyu jamaa safari hii NEC wamtoe kabisa kwenye ugombea ili akawakilie hao mabwana zake vizuri
Sent from my SM-G920F using JamiiForums mobile app