CHADEMA: Polisi wenye silaha za moto wazuia msafara wa Makamu M/kiti wetu, Tundu Lissu ukielekea Kibaha

CHADEMA: Polisi wenye silaha za moto wazuia msafara wa Makamu M/kiti wetu, Tundu Lissu ukielekea Kibaha

Haki ya kuota ndoto mchana bado haijafutwa na serikali tukufu ya JPM. Endelea kufurahia haki hiyo bwana mdogo.
Lisu ni debe tupu,

Eti alikuwa anaenda kukagua soko,! Yeye kama nani hadi aende kukagua soko?

Na kila siku anasema hayo ni maendeleo ya vitu
 
Lisu hafanyi kampeni ebu kuwa na Akili kidogo hata za kufulia bukta basi, Lisu yupo kwenye kazi zingine za chama Yaani hutaki atekeleze majukumu mengineyo ya chama?
Sasa yeye akikuwa anaenda kukagua soko kama nani?
 
Maji yamemfika shingoni sasa, hakuwahi kutarajia kama kungekua na upinzani wa namna hii baada ya kuwanunua baadhi ya Wabunge kwa mafungu. Tutafika tu.
 
Lisu hafanyi kampeni ebu kuwa na Akili kidogo hata za kufulia bukta basi, Lisu yupo kwenye kazi zingine za chama Yaani hutaki atekeleze majukumu mengineyo ya chama?
Kukagua soko...! Kipindi hiki alichozuiliwa na NEC. KWENYE SOKO kuna wanachama pekee wa Chadema!? Nina wasiwasi hizo " akili" unazoandika hapa kama kweli unazielewa!?
 
Huyu si kapewa adhabu asifanye kampeni. Hivi huyu mbona mzito sana kuelewa huyu? Anataka nn huyu? Ametumwa na nani huyu? Kwanini anafanya fujo lakini huyu?
Nani kakwambia kuwa hapo anafanya kampeni?

Mtu asitembe kutoka sehemu moja au nyingine kisa kafungiwa kufanya kampeni?

Akili zako umemkopesha polepole?
 
Kama Mtanzania wa kawaida kwani ana mipaka ya kumzuia kutembea kawaida tu?
Mkuu, mumueleze Lissu kuwa zile teknikalitiizi anazotumia mahakamani kuwachanganya wanasheria wenzake na kukwapua haki ya walengwa haziwezi kutumika kila mahali!!! Ajifunze!!
 
Kwani ile adhabu mliyompa inasemaje? Hata kutoka nje haruhusiwi?
Kutoka nje anaruhusiwa lakini hapaswi kufanya kampeni. Kitu gani hamuelewi nyie magwanda? You guys did you go to school? I am shocked at the way you misunderstand very basic things.
 
Kutoka nje anaruhusiwa lakini hapaswi kufanya kampeni. Kitu gani hamuelewi nyie magwanda? You guys did you go to school? I am shocked at the way you misunderstand very basic things.
Kwani kafanya kampeni wapi? Lini?
 
Back
Top Bottom