Anataka kuvuruga nini mkuu? Mkutano wa kampeni wa waziri mkuu au?Kibaha uko yupo waziri mkuu huyo mjinga anataka kuvuruga
Kila siku anaponda kwamba hayo ni maendeleo ya vitu,Polisi inawahusu Nini?? Kavunja Sheria gani??poor ccm
Wewe Akili zako ni finyu unaweza kushangaa hata kusikia kuwa polepole huenda chooni, unavyoshangaa haviwezi kushangazwa na binadamu wengine, endelea kujitoa fahamu ukisaka uteuzi kwa njia haramu ukazani utaupata kirahisi hivyoYaani hata mimi namshangaa huyu Lissu anavyolazimisha kukubalika
Hujui anawakilisha umma?Umma upi tena?
Yeah, kumekariba kucha.... baridi ni kali mno.Ushindi unakaribia
Kukagua soko? Yeye ni nani mpaka aende kukagua soko?Sheria ipi inasema kuwa wakati wa kampeni shughuli nyingine za kisiasa kama vile vikao vya ndani haviruhusiwi?
Nani kakwambia PM akiwa kibaha watu hawaruhusiwi kwenda huko?Kibaha yuko waziri mkuu sasa huyo Mwalimu anaenda kufanya nini?!
Sasa huyo Lisu anasema alikuwa anaenda kukagua soko. Unalijua hilo solo alilojenga Lissu? Kama siyo fujo ni nn hiki?Sheria ipi inasema kuwa wakati wa kampeni shughuli nyingine za kisiasa kama vile vikao vya ndani haviruhusiwi?Unafikiri kila mtu ni mbumbumbu kama mataga wenzako wa Lumumba?
Kipindi cha kampeni hakimzuii Lissu kutembea kokote ili mradi hafanyi mikutano acheni ujinga wenu wa kishamba tokea chatoHiki ni kipindi cha kampeni, siyo shughuli nyingine za kisiasa. Muwe mnaelewa basi nyie wapinzani siyo kupingapinga tu.
PM hicho cheo hakipo kwani bunge lilishavunjwa tayari kaka anajiita PM huyo majaliwa atakuwa anavunja Sheria na katibaNani kakwambia PM akiwa kibaha watu hawaruhusiwi kwenda huko?
Akili za kukosa weredi wa sheria!
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Nmecheka sana,!Sasa huyo Lisu anasema alikuwa anaenda kukagua soko. Unalijua hilo solo alilojenga Lissu? Kama siyo fujo ni nn hiki?
Toa utahira wako, CCM wamejanga Hilo soko? Au polisi?? ficha upumbavu wenu.Kila siku anaponda kwamba hayo ni maendeleo ya vitu,
Leo eti anaenda kukagua soko!
Chadema ndio ilijenga hilo soko? Yeye ni nani kwenye hilo eneo mpaka useme unaenda kukagua?
Huyu mzee wa faragha vipi?
Wewe ndiyo debe tupu unawezaje kujua chochote?Lisu ni debe tupu,
Eti alikuwa anaenda kukagua soko,! Yeye kama nani hadi aende kukagua soko?
Na kila siku anasema hayo ni maendeleo ya vitu
Wewe hilo soko alilojenga Lisu alilokuwa anaenda kukagua unalijua?Kipindi cha kampeni hakimzuii Lisu kutembea kokote ili mradi hafanyi mikutano acheni ujinga wenu wa kishamba tokea chato
Mnaozosha watoto wenu kujenga hayo masoko??[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Nmecheka sana,!
Eti anaongea kwa kulegeza sauti,
Sisi tulikuwa tunaenda kukagua soko, na kufungua matawi ya chama,
Yani Lisu leo kawa mkaguzi wa masoko yanayojenhwa na selikali ya JPM?