Crimea
JF-Expert Member
- Mar 25, 2014
- 25,874
- 36,030
[emoji23] [emoji23] [emoji23] Hilo soko kajenga yeye?Kasema alikuwa anaenda kwenye kikao cha ndani pamoja na kukagua soko.
Watu wametulia kwenye soko limejengwa chini ya jemedari Magu, wanajifanyia biashara zao yeye anaenda kukagua?
Anakagua kitu gani kwanza kawa msimamizi wa ujenzi?
Au yeye ni mkuu wa wilaya?