CHADEMA: Polisi wenye silaha za moto wazuia msafara wa Makamu M/kiti wetu, Tundu Lissu ukielekea Kibaha

CHADEMA: Polisi wenye silaha za moto wazuia msafara wa Makamu M/kiti wetu, Tundu Lissu ukielekea Kibaha

Jana kazuga kuwapigia simu mabolizozo ili waonekane yupo pamoja na walimu.

Walimu msituke msimpe kura zenu
 
Waislamu wenzangu tunatia aibu sijui ni kwa sababu ya elimu duni darasa la 7 au tumerogwa
Yaani pumba tupu mpaka naona noma😩😩
 
Huyu bint wa Lowassa ni wale watu wanaoishi kwa shida
Simu zao
Email zao
Chat zao
Zote zinadukuliwa sasa anajitahidi kuandika mambo ya kumridhisha jiwe ili zile Mali zolizo taifishwa warudishiwe
Hawa ni wanyonge wanaishi kwa mashaka Sana
Mzee baba na wewe ukaamini kabisaa huyo ni mtoto wa Lowassa?

Ulishawahi kuona mtoto wa Lowassa anaulizia bei ya Altezza used ya hapa bongo?
 
Kwny twitter yake akatoa ujumbe then mwishoni akamalizi Mwl. JPM

Nilishangaa sana maana sijawahi kusikia akijiita mwl,sijui mwaka huu kuna nini.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Lisu hajaamini kabisa!

Kakalishwa na polisi masaa 8 mpaka midomo imemkauka alafu wafuasi wake wako humu wanaishia kumtag Amsterdam,! Aibu sana hii.
 
Matendo yanayotendwa na vyombo vya Ulinzi dhidi ya wapinzani ni uonevu Ambao Tanzania tulipinga wakati Waafrika wananyanyaswa na Makaburu.
Askari wetu kutenda matendo haya ni sawa na kulidhalilisha Taifa letu ambalo lilikuwa mstari wa mbele kupinga vitendo hivi viovu.

Matendo haya maovu hayawezi kuleta afya njema ya Taifa letu.View attachment 1592393View attachment 1592394
Hawajui kwa kufanya hivi wanahamasisha umma kutaka mabadiliko
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Lisu hajaamini kabisa!

Kakalishwa na polisi masaa 8 mpaka midomo imemkauka alafu wafuasi wake wako humu wanaishia kumtag Amsterdam,! Aibu sana hii.
Mtapanua sana magoli safari hii , Tuliwaonya kwamba Lissu si mwepesi kama mnavyodhani , wanafiki wakubwa nyie !
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Lisu hajaamini kabisa!

Kakalishwa na polisi masaa 8 mpaka midomo imemkauka alafu wafuasi wake wako humu wanaishia kumtag Amsterdam,! Aibu sana hii.
Huku RPC akisema tutashinda hapa na Lissu hata mwezi mzima maana ndio kazi yetu hio hahah ,kilichotokea sasa police hata siku 1 tu ya kushinda hapo imewashinda wamesepa zao [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hiiiiiiiiiiiii.
 
Huwa namshukuru sana Mungu kwa kunijalia kuishi nyakati hizi, kipindi ambacho nashudia live kufa kwa utawala dhalimu wa CCM,chama kilicholiibia taifa hili since independence
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Lisu hajaamini kabisa!

Kakalishwa na polisi masaa 8 mpaka midomo imemkauka alafu wafuasi wake wako humu wanaishia kumtag Amsterdam,! Aibu sana hii.
 
Matendo yanayotendwa na vyombo vya Ulinzi dhidi ya wapinzani ni uonevu Ambao Tanzania tulipinga wakati Waafrika wananyanyaswa na Makaburu.
Askari wetu kutenda matendo haya ni sawa na kulidhalilisha Taifa letu ambalo lilikuwa mstari wa mbele kupinga vitendo hivi viovu.

Matendo haya maovu hayawezi kuleta afya njema ya Taifa letu.View attachment 1592393View attachment 1592394
CCM ni Chama Cha Majambazi
 
CCM ni Chama Cha Majambazi
IMG-20201002-WA0008.jpg
 
Back
Top Bottom