CHADEMA: Polisi wenye silaha za moto wazuia msafara wa Makamu M/kiti wetu, Tundu Lissu ukielekea Kibaha

CHADEMA: Polisi wenye silaha za moto wazuia msafara wa Makamu M/kiti wetu, Tundu Lissu ukielekea Kibaha

Matendo ya polisi kuwanyanyasa wapinzani ni Kama wanaiuhujumu ccm na Utawala huu uzidi kuchukiwa na wananchi na kupelekea kura nyingi Sana kwa upinzani.
 
Adjustments.jpg
 
Polisi wanampigia kampeni kiaina. Siku ya leo Lisu ame-jadiliwa nchi nzima. Kesho wasipomzuia Hashimu Rungwe nutapeleka malalqmiko tume ya maadili ya taifa.
Matendo ya polisi kuwanyanyasa wapinzani ni Kama wanaiuhujumu ccm na Utawala huu uzidi kuchukiwa na wananchi na kupelekea kura nyingi Sana kwa upinzani.
 
Matendo yanayotendwa na vyombo vya Ulinzi dhidi ya wapinzani ni uonevu Ambao Tanzania tulipinga wakati Waafrika wananyanyaswa na Makaburu.
Askari wetu kutenda matendo haya ni sawa na kulidhalilisha Taifa letu ambalo lilikuwa mstari wa mbele kupinga vitendo hivi viovu.

Matendo haya maovu hayawezi kuleta afya njema ya Taifa letu.View attachment 1592393View attachment 1592394
Kaburu ni Kaburu Tu hata akiwa mtu mweusi. Ukiwa na tabia za Kikaburu we ni kaburu tu. JKN
 
Mkuu..

Siku nyingine kama huna uhalika na jambo kaa kimya..[emoji35][emoji35]

Update za sasa hivi bado watu eneo la tukio.
Ulichewa kupata tarifa mkuu me nilikuwa na connection ya Kinacho endelea
 
Imeandikwa wapi hiyo sheria? Na kwa hiyo mlitaka waje na virungu, ili iwe rahisi kuwapiga mawe si ndio?
Azizi mnatia aibu
Jamani waislamu wenzangu tunatia aibu sijui ni kwa sababu ya elimu duni darasa la 7 au tumerogwa
Embu ona huyu anaandika pumba tupu
 
Huku RPC akisema tutashinda hapa na Lissu hata mwezi mzima maana ndio kazi yetu hio hahah ,kilichotokea sasa police hata siku 1 tu ya kushinda hapo imewashinda wamesepa zao [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hiiiiiiiiiiiii.
Ningekuwa mimi bavicha sasa hivi nisingeongelea hii ishu ya Lisu maana mmetia aibu sana!

Olewake nione bavicha anatoa mkwara mbuzi humu.
 
Ningekuwa mimi bavicha sasa hivi nisingeongelea hii ishu ya Lisu maana mmetia aibu sana!

Olewake nione bavicha anatoa mkwara mbuzi humu.
Ningekua mimi Mataga ningejikalia kimya kwa uongo ninao danganya.
Screenshot_2020-09-24-19-55-15-1.jpg
 
Ikitokea tena wahisabuni wapo wangapi na nyinyi mupo wangapi kinamnawafanyia Upemba sio Umafia,Upemba mnawanyanganya silaha zao umafia ni kuwaua,hilo sio muafaka.

Amueni kila askari anavamiwa na watu 20 wanatosha ndivyo walivyofanya pemba.
 
Polisi wenye silaha za Moto, sasa mlitakaje yaani mlitaka polisi waje na silaha za maji?? Wapinzani acheni upuuzi aisee, ni vizuri na busara kutii sheria bila shuruti.
Lisu anawafanya maccm, mapolisi, tume na wadhalimu wote wajue hawajui chochote. Ni spana mdomoni, spana zaidi katika matendo. Spana! Spana! Spana. LISSU katupa msamiati mpya pale Kiluvya. Amemaliza hotuba kwa kusema "It's late, but it's okey. Tuko tayari kuingia magogoni.
 
Inashangaza Sana...enzi za Kikwete Butiku na Taasisi yake walikuwa mstari wa mbele kukemea na kukosoa ...siku hizi wamelala dorooo...na huu ndio mwisho wa Taasisi ya Mwalimu Nyerere
Mzee Butiku bado anapenda kuishi mjue , mnajifanya hamjui roho mbaya ya mwenyekiti wa chama cha mboga mboga
 
Lisu anawafanya maccm, mapolisi, tume na wadhalimu wote wajue hawajui chochote. Ni spana mdomoni, spana zaidi katika matendo. Spana! Spana! Spana. LISSU katupa msamiati mpya pale Kiluvya. Amemaliza hotuba kwa kusema "It's late, but it's okey. Tuko tayari kuingia

Lisu anawafanya maccm, mapolisi, tume na wadhalimu wote wajue hawajui chochote. Ni spana mdomoni, spana zaidi katika matendo. Spana! Spana! Spana. LISSU katupa msamiati mpya pale Kiluvya. Amemaliza hotuba kwa kusema "It's late, but it's okey. Tuko tayari kuingia magogoni.
IPP
 
Anasema anaenda kukagua soko kibaha kama nani? Na chadema haiamini kwenye maendeleo ya vitu

Lisu hakuja Tanzania kugombea kaja tu kuleta vurugu na kutimkia ubelgiji angekuwa kaja kugombea saa hii angekuwa maeneo kibao akinadi Sera na hakuna ambaye angehakaika naye Lisu anatafuta kila opportunity ya kuanzisha vurugu sema watanzania huko hatuko amani kwetu muhimu kuliko kitu chochote tuko tayari kukosa kila kitu ila tubaki na amani huko kwenye vurugu asitegemee support ya wananchi .Kwenye kura hawana shida lakini vurugu no no no

Tume ya uchaguzi mwondoeni tu wala msiogope au mwingezeeni adhabu ya siku 14 zingine
Nilijua labda kwakua niliondoa ignore kua angalau utajiongeza kua na hoja,hekima nk.Hivi unaweza ukatuelezea wapi Lissu alisema wananchi tupigane tofauti na kinachofanywa na wanaccm kama kuchana na kubandua Bendera za CHADEMA?
 
Back
Top Bottom