Uchaguzi 2020 CHADEMA: Tunamuunga mkono Maalim Seif kwa Urais Zanzibar. Lissu hataendelea na kampeni, atapangiwa majukumu mengine

Uchaguzi 2020 CHADEMA: Tunamuunga mkono Maalim Seif kwa Urais Zanzibar. Lissu hataendelea na kampeni, atapangiwa majukumu mengine

Watu wenye busara hawafanyi mambo kimihemko kama unavyowaza. Inaonekana wewe bado ni chalii ambaye haujakomaa kifikra.
Ni busara hii hii ndiyo ilifanya 2015 tukaambiwa ooh Edo kashinda lkn muwe watulivu tutaenda ICJ mpk leo kimya.

Sasa na uchaguzi huu chadema itapigwa (itaibiwa) mchana kweupee kisa busara.

Nafikiri viongozi wa Chadema Kuna kitu cha ziada zaidi ya ukombozi wanachopigania. Wameniudhi sana, kwenda kinyume na Lisu.
 
CCM mpya chini ya Bashiru na Chakubanga mbona imeacha kuongelea mambo ya madege na madaraja? Walidhani mwanzoni kuwa wananchi watakula madaraja? Sasa kama wanajua kusoma alama za nayakati wasome. Huu uchaguzi waki mess up wanakwenda kupigwa vikwazo siyo vya dunia hii.. Yaani sisi
Naona ni mwendo wa kucopy na kupest tuu,utaki tabu dada wa watu.
 
Ni jambo jema kutii adhabu ya NEC kuweka records sawa, kwa CDM na Lissu ni credit kura za huruma wasiokuwa na maamuzi.
Binafsi naona watapoteza kura nyingi sana za wale wanaohofia kura kuibiwa. Wengi waliamini ktk msimamo usiyo yumba wa Lisu na chama. Sasa kwa maamuzi haya stori zitakuwa zile zile za miaka yote.
 
Lisu amemtega Mbowe. Ni ama aheshikike ama adhauraulike. Maamuzi ya mgombea tunayajua, maamuzi ya kamati yakiwa kinyume na yale ya mgombea Mbowe utapwaya sana
Hizi ndoto zenu bado mnazo, mlianza kuwa mbowe hatakubali tundu lissu kuwa mgombea akakubali, juzi mkaja na story kuwa mbowe hataki lissu afanye kampeni kilimanjaro, kilichotokea wenyewe hadi mkaamua kumtumia IGP. Sasa umekuja na ndoto nyingine.
 
Ni busara hii hii ndiyo ilifanya 2015 tukaambiwa ooh Edo kashinda lkn muwe watulivu tutaenda ICJ. .....mpk leo kimya.

Sasa na uchaguzi huu chadema itapigwa (itaibiwa) mchana kweupee kisa busara.

Nafikiri viongozi wa Chadema Kuna kitu Cha ziada zaidi ya ukombozi wanachopigania. Wameniudhi sana, kwenda kinyume na Lisu.
Usiudhike, Tundu ataendelea na ratiba zake za kampeni kama kawaida
 
Hivi wewe umefanya kipi cha maana kwenye nchi hii cha kuweza kuisumbua serikali hadi ufikie hatua ya kumuita Mbowe muoga, wakina Mbowe walipoongoza maandamano yaliyosababisha kifo cha Akwilina kule kinondoni na wewe ulikuwepo ?
Mbona unahamisha magoli? Mambo ya Akwiline yanatoka wapi hapa? Hoja ni kwann chama kiamue kutii adhabu haramu?

Kama kinatii adhabu hii haramu tafsiri yake ni kwamba Mambo yote haramu yatayofanywa na CCM kwenye uchaguzi huu chama kitayatii
 
Watanzania wanajua na pia dunia inajua kuwa CCM ni chama ambacho kinalazimisha kubakia madarakani kwa hila. Viongozi wake hawana tena mvuto wala ushawishi mbele ya wananchi, kama kuna mgombea ambaye angalipaswa kuitwa na kamati ya maadili na hata kuadhibiwa, tena mapema sana ni mgombea wa CCM.

Wote tu mashuhuda ya kwamba, ijapokuwa yupo ktk kinyang'anyiro cha nafasi ya uraisi na wagombea wengine wa nafasi hiyo nyeti, yeye bado anatembea kwa kuvuli cha uraisi na siyo kama mgombea kama wengine. Anakiuka maadili kwa kutoa rushwa hadharani. Anatoa amri za kiimla na kulazimisha fedha zitolewe ktk kipindi hiki cha kampeni za uchaguzi ktk maeneo anayopita.

CDM ni lazima wawe wavumilivu na watulivu kwa siku hizi saba. Wanapaswa waendelee na kampeni za nguvu ktk maeneo yote ya kimkakati kupitia kwa mgombea mwenza na viongozi wengine maarufu wa kitaifa. Tundu Lissu bado ni tishio kubwa sana kwa CCM, kwa hiyo pale atakaporudi jukwaani ataleta hamasa kubwa sana ktk kipindi hiki cha lala salama.

Ni lazima watumie busara na hekima ktk hili ili kuepuka na hata chama kuweza kuadhibiwa kwa hila kama hiyo ya awali iliyotumika kwa Tundu Lissu. "Stitch in time saves nine". Umma wa Watanzania upo bado na Tundu Lissu, hadi kieleweke na Nduli apate kuondolewa ikulu.
 
Hapa hakuna la maana hata kama wamekesha. Mgombea alishasema anaendelea na kampeni, Sasa kamati kuu inakesha kwasabb gani? Mbowe mwoga Sana huyu
Wewe una harufu ya intarahamwe, naona unajaribu kuchochea lakini hakuna reaction yoyote kutoka CDM. Don't waste your energy uselessly. WanaCDM ni makini zaidi yenu.
 
Ni busara hii hii ndiyo ilifanya 2015 tukaambiwa ooh Edo kashinda lkn muwe watulivu tutaenda ICJ. .....mpk leo kimya.

Sasa na uchaguzi huu chadema itapigwa (itaibiwa) mchana kweupee kisa busara.

Nafikiri viongozi wa Chadema Kuna kitu Cha ziada zaidi ya ukombozi wanachopigania. Wameniudhi sana, kwenda kinyume na Lisu.
Lissu angeendelea na kampeni mngekuwa tayari kumpigania pale atakapochukuliwa hatua zingine kinyume cha sheria ?

Mimi naamini kama tungekuwa tuko serious tumeichoka ccm sasa hivi tungekuwa tume ya uchaguzi kushinikiza afutiwe adhabu.

Hivi unawajua wafuasi wa Kiza Besigye ?
 
Wewe una harufu ya intarahamwe, naona unajaribu kuchochea lakini hakuna reaction yoyote kutoka CDM. Don't waste your energy uselessly. WanaCDM ni makini zaidi yenu.
Kama chama hakimuamini mgombea kiasi hiki, kuna sababu ya wananchi kumuamini ?
 
Nliwambia mapema hamkusikia Pambaneni na hali zenu mi nipo Hapa Denmark nakula maisha tuu
 
Back
Top Bottom