Ciril
JF-Expert Member
- Jan 10, 2011
- 8,557
- 7,160
Alijisahau wenzie wakamkumbusha!
Tatizo mna lazimisha tufanane wote kuanzia kimtazamo/kufikiri/kuamua/kutenda ,si mmbadilishe tu Katiba turudi ktk Mfumo wa Chama kimoja ili tujue moja.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Alijisahau wenzie wakamkumbusha!
Ndio atajua sikio kubwa kuliko mdomo..Kama Lisu anajiona yupo juu ya sheria, aendelee Leo na kampeni
Kwa maneno mengine unabariki unyonge wa Chadema dhidi ya mfumo kandamizi uliopo. Si ndiyo? Sasa kama ndivyo chama kinashiriki uchaguzi kwasabb gani ili hali kinajua ni kinyonge na hskina namna ya kuushinda mfumo kandamizi huu?Lissu angeendelea na kampeni mngekuwa tayari kumpigania pale atakapochukuliwa hatua zingine kinyume cha sheria ?
Mimi naamini kama tungekuwa tuko serious tumeichoka ccm sasa hivi tungekuwa tume ya uchaguzi kushinikiza afutiwe adhabu.
Hivi unawajua wafuasi wa Kiza Besigye ?
Sent from my SM-A105F using JamiiForums mobile app
Nahisi hivyo wanachama wanamkubali sana TL lakini uongozi haumkubali chini ya MBWNahisi kama vile chadema hawakupenda lissu agombee...maana naona wamemuachia vita yote apambane pekeyake
CHADEMA ilikuwa imeshakufa. Lissu hata angegombea CHAUMA angepata nyomi. Nyomi Ile siyo ya chama ni ya mtuNahisi hivyo wanachama wanamkubali sana TL lakini uongozi haumkubali chini ya MBW
Kwanza CHADEMA siyo wanyonge kama unavyotaka kusema hapa CHADEMA wangekuwa wanyonge kwa haya mapigo waliyopigwa toka 2010 wasingefika hapa walipo.Kwa maneno mengine unabariki unyonge wa Chadema dhidi ya mfumo kandamizi uliopo. Si ndiyo? Sasa kama ndivyo chama kinashiriki uchaguzi kwasabb gani ili hali kinajua ni kinyonge na hskina namna ya kuushinda mfumo kandamizi huu?
Wewe dogo sijui una miaka mingapi ila itoshe kusema una mawazo fulani ya kitoto na kipumbavu.Kwa maneno mengine unabariki unyonge wa Chadema dhidi ya mfumo kandamizi uliopo. Si ndiyo? Sasa kama ndivyo chama kinashiriki uchaguzi kwasabb gani ili hali kinajua ni kinyonge na hskina namna ya kuushinda mfumo kandamizi huu?
Hatutaki huyu. Tunamtaka LissuMgombea MWENZA ataendelea na Kampeni Unguja, Kikwajuni Uwanja Wa AlabamaView attachment 1589673
Tumchague magu akachome nyavu zetu tena?tena kwahili wavuvi tuwe makini sana yule Dada anaeonea watu sana anaitwa judisi alikuwa ameisha anzatena uonezi wakamwambia ccm itakosa kura akarudi nyuma mpitisheni magu muone kimbunga cha nyavu kuchomwa bila hata taratibu inachomwa leo unaikuta dukani inauzwa kama ile narisiti unapewa lengolao nikukusanya kodi na kutuacha masikiniMzee wa Faru John kaamua kutoka mafichoni, Tunajua mmejipanga kutaka kuleta stori zenu za kulialia, wakati sheria mmevunja wenyewe, tulieni kama mnanyolewa sheria ishafanya kazi yake, nyie ndo mnaanza kutetemeka kama mbuzi wa kafara, hahaha.
Watanzania tutaichagua CCM, na Tutamchagua Magufuli
Hili la watanzania kuwa waoga linajulikana Sana. Na ndiyo maana wananchi tumeweka matumaini yetu makubwa kwa mtu jasiri asuyeogopa kitu...Tundu lisu. Maamuzi ya kamati yanaleta ukakasiWananchi ambao tunadai kuchoshwa na ccm hatuonekani kuwa tayari kuondokana na huu unyama.
Hivyo wananchi sisi ndiyo wanyonge kuliko hao CHADEMA
Kumbe kila sehemu unareply hili hili Jambo tu.CCM mpya chini ya Bashiru na Chakubanga mbona imeacha kuongelea mambo ya madege na madaraja? Walidhani mwanzoni kuwa wananchi watakula madaraja? Sasa kama wanajua kusoma alama za nayakati wasome. Huu uchaguzi waki mess up wanakwenda kupigwa vikwazo siyo vya dunia hii.. Yaani sisi
Narudia tena usipoteze nguvu zako na akili zako ndogo kwa propaganda uchwara. Watanzania wanauwezo was kufanya analysis. Wanapomkubali Tundu Lissu kila kona ya nchi ni baada ya kujiridhisha mkoloni mweusi sasa basi. Kuna watu ndugu zao wamepotea, wengine wameuawa, wengine wamebambikiwa kesi,wengine wamefukuzwa kazi kwa visingizio kadhaa na wengine wapo mahabusu kwa maslahi binafsi ya watu flaniflani. Hao wanasimanzi mioyoni mwao, hata upige propaganda vipi haitosaidia.Kama chama hakimuamini mgombea kiasi hiki, kuna sababu ya wananchi kumuamini ?
Sasa unadhani kwa maamuzi utopolo kama haya ya kamati utaitoa ccm?Tumchague magu akachome nyavu zetu tena?
Duu kumbe unaziweza hizi ramli chonganishiLisu amemtega Mbowe. Ni ama aheshikike ama adhauraulike. Maamuzi ya mgombea tunayajua, maamuzi ya kamati yakiwa kinyume na yale ya mgombea Mbowe utapwaya sana
Mgombea wenu anavyowadhihaki wapiga kura na kuendorse miradi wakati ni kipindi cha kampeni ni nini maana yake?Eti harufu ya uwoga!! Ni mpumbavu tu ndo atakaye msuport lissu kwenye jinsi namna anavyo fanya siasa zake za personal attack minus sera ndani yake.
Huyu mwenyekiti huwa anakuwa na busara. Lakini huyo mbeligiji!!Mwenyekiti wa @ChademaTz Taifa, Mhe.@freemanmbowetz leo Jumapili, Septemba 4, 2020, saa 7 mchana atatoa tamko, kupitia Mkutano wa Waandishi wa Habari, kuhusu maazimio ya Kikao Maalum cha Kamati Kuu ya Chama kilichoketi jana na kumalizika usiku jijini Dar es Salaam. Asanteni.
Tunashukuru unamaamuzi yakikao tujuze nasitueleweSasa unadhani kwa maamuzi utopolo kama haya ya kamati utaitoa ccm?
Kura zitaibiwa mchana kweupeee na chama kitakuja na maamuzi utopolo mengine tena. Nyota njema huonekana asubuhi tu
Wanenikwaza. Kwann waende kinyume na msimamo wa mgombea? Hii inamshushia mgombea credibility na tayari ccm washapata dongo la kumpigia.Duu kumbe unaziweza hizi ramli chonganishi