Uchaguzi 2020 CHADEMA: Tunamuunga mkono Maalim Seif kwa Urais Zanzibar. Lissu hataendelea na kampeni, atapangiwa majukumu mengine

Uchaguzi 2020 CHADEMA: Tunamuunga mkono Maalim Seif kwa Urais Zanzibar. Lissu hataendelea na kampeni, atapangiwa majukumu mengine

Alijisahau wenzie wakamkumbusha!

Tatizo mna lazimisha tufanane wote kuanzia kimtazamo/kufikiri/kuamua/kutenda ,si mmbadilishe tu Katiba turudi ktk Mfumo wa Chama kimoja ili tujue moja.
 
Lissu angeendelea na kampeni mngekuwa tayari kumpigania pale atakapochukuliwa hatua zingine kinyume cha sheria ?

Mimi naamini kama tungekuwa tuko serious tumeichoka ccm sasa hivi tungekuwa tume ya uchaguzi kushinikiza afutiwe adhabu.

Hivi unawajua wafuasi wa Kiza Besigye ?

Sent from my SM-A105F using JamiiForums mobile app
Kwa maneno mengine unabariki unyonge wa Chadema dhidi ya mfumo kandamizi uliopo. Si ndiyo? Sasa kama ndivyo chama kinashiriki uchaguzi kwasabb gani ili hali kinajua ni kinyonge na hskina namna ya kuushinda mfumo kandamizi huu?
 
Mgombea Mwenza wa Urais ataendelea na Kampeni Unguja, Kikwajuni Uwanja Wa Alabama
FB_IMG_16017886379213544.jpg
 
Kwa maneno mengine unabariki unyonge wa Chadema dhidi ya mfumo kandamizi uliopo. Si ndiyo? Sasa kama ndivyo chama kinashiriki uchaguzi kwasabb gani ili hali kinajua ni kinyonge na hskina namna ya kuushinda mfumo kandamizi huu?
Kwanza CHADEMA siyo wanyonge kama unavyotaka kusema hapa CHADEMA wangekuwa wanyonge kwa haya mapigo waliyopigwa toka 2010 wasingefika hapa walipo.

Wananchi ambao tunadai kuchoshwa na ccm hatuonekani kuwa tayari kuondokana na huu unyama.

Hivyo wananchi sisi ndiyo wanyonge kuliko hao CHADEMA

Sent from my SM-A105F using JamiiForums mobile app
 
Kwa maneno mengine unabariki unyonge wa Chadema dhidi ya mfumo kandamizi uliopo. Si ndiyo? Sasa kama ndivyo chama kinashiriki uchaguzi kwasabb gani ili hali kinajua ni kinyonge na hskina namna ya kuushinda mfumo kandamizi huu?
Wewe dogo sijui una miaka mingapi ila itoshe kusema una mawazo fulani ya kitoto na kipumbavu.
 
Mzee wa Faru John kaamua kutoka mafichoni, Tunajua mmejipanga kutaka kuleta stori zenu za kulialia, wakati sheria mmevunja wenyewe, tulieni kama mnanyolewa sheria ishafanya kazi yake, nyie ndo mnaanza kutetemeka kama mbuzi wa kafara, hahaha.
Watanzania tutaichagua CCM, na Tutamchagua Magufuli
Tumchague magu akachome nyavu zetu tena?tena kwahili wavuvi tuwe makini sana yule Dada anaeonea watu sana anaitwa judisi alikuwa ameisha anzatena uonezi wakamwambia ccm itakosa kura akarudi nyuma mpitisheni magu muone kimbunga cha nyavu kuchomwa bila hata taratibu inachomwa leo unaikuta dukani inauzwa kama ile narisiti unapewa lengolao nikukusanya kodi na kutuacha masikini
 
Wananchi ambao tunadai kuchoshwa na ccm hatuonekani kuwa tayari kuondokana na huu unyama.

Hivyo wananchi sisi ndiyo wanyonge kuliko hao CHADEMA
Hili la watanzania kuwa waoga linajulikana Sana. Na ndiyo maana wananchi tumeweka matumaini yetu makubwa kwa mtu jasiri asuyeogopa kitu...Tundu lisu. Maamuzi ya kamati yanaleta ukakasi
 
CCM mpya chini ya Bashiru na Chakubanga mbona imeacha kuongelea mambo ya madege na madaraja? Walidhani mwanzoni kuwa wananchi watakula madaraja? Sasa kama wanajua kusoma alama za nayakati wasome. Huu uchaguzi waki mess up wanakwenda kupigwa vikwazo siyo vya dunia hii.. Yaani sisi
Kumbe kila sehemu unareply hili hili Jambo tu.

Wewe furaha yako nchi iwekewe vikwazo bila sababu ya Msingi.

Anza kufikiria kutumia akili yako,acha kuchukua kila kitu anacho post huyu mpuuzi Roberto Amsterdam.
 
Kama chama hakimuamini mgombea kiasi hiki, kuna sababu ya wananchi kumuamini ?
Narudia tena usipoteze nguvu zako na akili zako ndogo kwa propaganda uchwara. Watanzania wanauwezo was kufanya analysis. Wanapomkubali Tundu Lissu kila kona ya nchi ni baada ya kujiridhisha mkoloni mweusi sasa basi. Kuna watu ndugu zao wamepotea, wengine wameuawa, wengine wamebambikiwa kesi,wengine wamefukuzwa kazi kwa visingizio kadhaa na wengine wapo mahabusu kwa maslahi binafsi ya watu flaniflani. Hao wanasimanzi mioyoni mwao, hata upige propaganda vipi haitosaidia.
 
Tumchague magu akachome nyavu zetu tena?
Sasa unadhani kwa maamuzi utopolo kama haya ya kamati utaitoa ccm?

Kura zitaibiwa mchana kweupeee na chama kitakuja na maamuzi utopolo mengine tena. Nyota njema huonekana asubuhi tu
 
Mwenyekiti wa @ChademaTz Taifa, Mhe.@freemanmbowetz leo Jumapili, Septemba 4, 2020, saa 7 mchana atatoa tamko, kupitia Mkutano wa Waandishi wa Habari, kuhusu maazimio ya Kikao Maalum cha Kamati Kuu ya Chama kilichoketi jana na kumalizika usiku jijini Dar es Salaam. Asanteni.
Huyu mwenyekiti huwa anakuwa na busara. Lakini huyo mbeligiji!!

Ningekuwa mshauri wa serikali na NEC ningewashauri wamwache tu aendelee na matusi yake make alikuwa akijishushia heshima siku hadi siku. Anatukana vyombo vya dola akishinda u-JPM atafanya kazi vip na hao anawatukana. Kila binadamu ana nyongo bwana.
 
Sasa unadhani kwa maamuzi utopolo kama haya ya kamati utaitoa ccm?

Kura zitaibiwa mchana kweupeee na chama kitakuja na maamuzi utopolo mengine tena. Nyota njema huonekana asubuhi tu
Tunashukuru unamaamuzi yakikao tujuze nasituelewe
 
Back
Top Bottom