CCM iko kwenye mioyo ya majority ya watanzania. Ni chama kinacholinda maslahi ya mtanzania.
..naheshimu msimamo wako.
..lakini mimi naamini cdm inalinda maslahi ya waTz waliowengi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
CCM iko kwenye mioyo ya majority ya watanzania. Ni chama kinacholinda maslahi ya mtanzania.
Mkuu, nilikumiss sanaUmekuja kuokoa jahazi lililozama mwambie Mnama Rirtz na kibibi wajitokeze huko mafichoni waliko fukiwa na meko
Mwaka huu Chadema ndo akili kubwa na CCM akili sisimizi. Mnaingizwa kingi bila kunitambua. Subirini matokeoMzee wa
Lissu ajiandae kuanzisha chama chake. Mwenyekiti ashasema, wengine lazima mtii bila shurti.
Mbowe ukimuangalia usoni tu anaonekana sio muadilifu..naheshimu msimamo wako.
..lakini mimi naamini cdm inalinda maslahi ya waTz waliowengi.
Mimi siwezi kuwa pamoja na wauaji na wabaguzi CCMNa wewe unatanguliza mabeberu na siyo Tanzania...
Hangaikeni na yaliyo ndani ya chama chenu,Kwanza baadae msilala Mike mlipoteza muda kwa ajili ya jirani.Mbowe ameshashindwa kumcontrol Lissu, yaani Lissu anajifanya yuko juu kuliko chadema, hata hii press ya leo ataishia kumtetea mtu mbishi na mwenye lengo la kuleta mauaji nchini kibaraka wa wazungu, Bora hata angegombea Mbowe mwenyewe ana ka uzalendo kidogo
kwani yeye yuko juu ya keyboard?Huna uwezo huo wewe! Mbona umejificha nyuma ya keyboard?
Never fight a loosing battle..., Haya wangelazimisha kampeni then what ?, si wangepewa kesi ya makosa zaidi na mikutano kutokea fujo as well as watu zaidi kujikuta ndani? (what will they have achieved then)?Ni busara hii hii ndiyo ilifanya 2015 tukaambiwa ooh Edo kashinda lkn muwe watulivu tutaenda ICJ. .....mpk leo kimya.
Sasa na uchaguzi huu chadema itapigwa (itaibiwa) mchana kweupee kisa busara.
Nafikiri viongozi wa Chadema Kuna kitu Cha ziada zaidi ya ukombozi wanachopigania. Wameniudhi sana, kwenda kinyume na Lisu.
Wanadhani Chadema wajinga. Kumbe wanaingizwa kingi mdogo mdogo 😂😂😂tena kwa miguu yote na kichwa ...sasa ni KUWAFUKIA TU huko shimoni MKUU
Ha ha ha wewe huijui Chadema. Viongozi wapi zaidi ya Mbowe?. Mbowe yupo ki maslahi zaidi, na ukiwa makini utaona Lissu anatoa Sera zake, chama kina Sera zake.Ni busara hii hii ndiyo ilifanya 2015 tukaambiwa ooh Edo kashinda lkn muwe watulivu tutaenda ICJ. .....mpk leo kimya.
Sasa na uchaguzi huu chadema itapigwa (itaibiwa) mchana kweupee kisa busara.
Nafikiri viongozi wa Chadema Kuna kitu Cha ziada zaidi ya ukombozi wanachopigania. Wameniudhi sana, kwenda kinyume na Lisu.
CCM wanajiona wameshinda Ila uamuzi wa Chadema leo ni kisu cha mgongoni kwa CCM na tume yao!!Never fight a loosing battle..., Haya wangelazimisha kampeni then what ?, si wangepewa kesi ya makosa zaidi na mikutano kutokea fujo as well as watu zaidi kujikuta ndani? (what will they have achieved then)?
Kweli wanaonewa na kila mtu anaona siku saba sio nyingi waendeleze kampeni kivingine, kwa ambao hawajafungiwa kuelezea manyanyaso hayo..., Tume imefanya kosa na kujipunguzia credibility, hakuna sababu na hawa nao kuonekana ni watukutu na kuwapa Tume justification...
"If you sit by the river long enough, you will see the body of your enemy float by."
Ngoja tuone. Pengine wao wana habari za kina kuliko tunavyojua. Ngoja tusikilizie habari ya kesho kuhusu Lissu majukumu atakayopangiwa.Achana nao hawa!! Wanadhani wamewaweza Chadema kumbe chadema ndo wanazidi kuwaingiza kingi
Hawajui kumzuia Lissu kufanya kampeni tayari wameshajitumbukiza hapa👇
View attachment 1589943
Wangelazimisha mikutano ni kosa la kihaini. Kwahiyo kesi yao isingekuwa na dhamana.Never fight a loosing battle..., Haya wangelazimisha kampeni then what ?, si wangepewa kesi ya makosa zaidi na mikutano kutokea fujo as well as watu zaidi kujikuta ndani? (what will they have achieved then)?
Kweli wanaonewa na kila mtu anaona siku saba sio nyingi waendeleze kampeni kivingine, kwa ambao hawajafungiwa kuelezea manyanyaso hayo..., Tume imefanya kosa na kujipunguzia credibility, hakuna sababu na hawa nao kuonekana ni watukutu na kuwapa Tume justification...
"If you sit by the river long enough, you will see the body of your enemy float by."
Sasa mkuu kama unachokisema hapa ni kweli,jaribuni kutafuta namna ya kupata haki yenu kwa vyombo husika/mamlaka za juu,
Ujinga huo unafanywa na baadhi ya watendaji kwa tamaa zao binafsi na si kwamba wanafanya hivyo kwa mujibu wa sheria,
Fuatilieni bila kuchoka mtapata tu haki yenu na hao jamaa watachukuliwa hatua
Subirini matokeo ya kitendo chenu cha kukwaza demokrasia. Mmeingia wazima wazima kwenye mtego wa Lissu na ChademaWangelazimisha mikutano ni kosa la kihaini. Kwahiyo kesi yao isingekuwa na dhamana.
Never fight a loosing battle..., Haya wangelazimisha kampeni then what ?, si wangepewa kesi ya makosa zaidi na mikutano kutokea fujo as well as watu zaidi kujikuta ndani? (what will they have achieved then)?
Kweli wanaonewa na kila mtu anaona siku saba sio nyingi waendeleze kampeni kivingine, kwa ambao hawajafungiwa kuelezea manyanyaso hayo..., Tume imefanya kosa na kujipunguzia credibility, hakuna sababu na hawa nao kuonekana ni watukutu na kuwapa Tume justification...
"If you sit by the river long enough, you will see the body of your enemy float by."
muulizeni babu madevu si alienda had un na kwa papa akaunganisha had us Congress ,akawaaminisha atapewa inchi 😁😁yuko wapi saiv?Achana nao hawa!! Wanadhani wamewaweza Chadema kumbe chadema ndo wanazidi kuwaingiza kingi
Hawajui kumzuia Lissu kufanya kampeni tayari wameshajitumbukiza hapa👇
View attachment 1589943
Sasa kama kila ujinga uanofanywa kwa chadema unakubaliwa Kuna matumaini ya kushika dola? Au lengo siyo kuitoa ccm, bali ni kupata ruzuku?
Hana busaraKama ni hayo iweje mgombea yeye alkweka msimamo wa kuendelea? Ina maana alikuwa hajui hayo.unayosema?