Hii mkuu huwa ni mikwara tu. Juhudi za ukombozi huwa zinafanywa na wananchi wenyewe tusitegemee nchi za watu.Achana nao hawa!! Wanadhani wamewaweza Chadema kumbe chadema ndo wanazidi kuwaingiza kingi
Hawajui kumzuia Lissu kufanya kampeni tayari wameshajitumbukiza hapa👇
View attachment 1589943
Sudan, Syria, Uganda, Rwanda, Gabon, Cameroon, Iran, n.k huko kote chaguzi za wapinzani zinavurugwa kila mwaka na hakuna hatua zozote.