Uchaguzi 2020 CHADEMA: Tunamuunga mkono Maalim Seif kwa Urais Zanzibar. Lissu hataendelea na kampeni, atapangiwa majukumu mengine

Uchaguzi 2020 CHADEMA: Tunamuunga mkono Maalim Seif kwa Urais Zanzibar. Lissu hataendelea na kampeni, atapangiwa majukumu mengine

Sio kitoto kiasi hicho, kwa utopolo kama chama cha Mbowe. Urais mtaishia kuona kwenye TV tu, endeleeni kunywa faru John zenu.
Utopolo upo CCM watanzania wameamka wanajua CCM inacheza faulu za kishamba sana jiandaeni kurejea chato kisha kushinda mahakamani kwa ufisadi wa chato Airport ununuzi wa Ndege kifisadi na kurejesha trilion 1.5 mliyokwapua kisha kumtoa CAG kafara.
 
Mbowe ni Mzalendo, hayuko tayari kuona damu za watanzania zinamwagika sababu ya kulazimisha kuingia Ikulu. Historia ya Tanzania itamkumbuka daima. Sio wale jamaa na Lisu wao wanaotamba kuingiza nchi kwenye machafuko wabebe madini na rasilimali za Tanzania.
Queen Esther
I have a different perspective. They have tons of damaging information about him. He is a kompromat.
 
Naona chadema inazidi kushinda kwani malengo yao hayata timia anatafuta njiawatie moira kwapani msiwape nafasi hiyo,hatuli kibudu lazima wapelekee kibra ndiyo tuchinje, hii ya kumtenga mgombea huku kuanzisha debate nani yupo sahihi hamuipati nafasi hiyo.
 
Az
Aziz katika ukafiri wa kiwango cha lami.Muslims always wanasimamia HAKI. Je inachofanya tume ni haki?Kama hilo la kutumia watumishi na mali za umma.

Asalaam Waleykum
Usihusianishe mambo ya dini na siasa, tabia ya kubaguana kidini ni tabia mbovu kabisa, siungani na wewe katika hiyo dhambi.
Lisu kapata alichostahili kukipata kufanya kampeni hadi saa1 usiku unadhani ni sahihi kwa mujibu wa sheria?
Asalaam alaykum
 
Kumchinja Kobe (tumeccm) kunahitaji timing muda ukifika wananchi huwa hawaambiwi cha kufanya .
 
Sasa unadhani kwa maamuzi utopolo kama haya ya kamati utaitoa ccm?

Kura zitaibiwa mchana kweupeee na chama kitakuja na maamuzi utopolo mengine tena. Nyota njema huonekana asubuhi tu
Acha hizo upinzani upo moyoni kwa CCM pia ndugu zao wameporwa mali zao wamebambikiwa kesi CCM wengi hawampendi mtukufu magufuli bali huvaa minguo ya CCM kulinda mali zao wasibambikiwe kesi
 
Usihusianishe mambo ya dini na siasa, tabia ya kubaguana kidini ni tabia mbovu kabisa, siungani na wewe katika hiyo dhambi.
Lisu kapata alichostahili kukipata kufanya kampeni hadi saa1 usiku unadhani ni sahihi kwa mujibu wa sheria?
Asalaam alaykum
Wewe ni zaidi ya kafir.
 
Chadema mmekamatika, ninyi hamnaga busara kama mnajua mko sahihi. Mgombea anasema lake, mwenye chama anasema lake upuuzi mtupu. Hamjajipanga kushinda, na mjiandae kujiunga na wenzenu TLP.
Wewe ulimsikiaje mgombea??? Maana wengine wote tulimsikia akisema msimamo wa chama ndo utakuwa msimamo wake!!
 
Kumchinja Kobe (tumeccm) kunahitaji timing muda ukifika wananchi huwa hawaambiwi cha kufanya .
Kweli kabisa
C9A7E2BD-BA71-4E17-8F76-66FBECBA988A.jpeg
 
Usihusianishe mambo ya dini na siasa, tabia ya kubaguana kidini ni tabia mbovu kabisa, siungani na wewe katika hiyo dhambi.
Lisu kapata alichostahili kukipata kufanya kampeni hadi saa1 usiku unadhani ni sahihi kwa mujibu wa sheria?
Asalaam alaykum
Lisu hajapata alichositahili acha ufala wewe kampeni hakufanya usiku zaidi ya kuwaomba watu watawanyike waende nyumbani acha kukariri upumbavu wa polepole aliyeeneza uzushi kuwa Lisu kafanya kampeni usiku, huko CCM kuna watu wepesi wa kuamini uongo wa polepole utazani hawana Ubongo kichwani.
 
Acha hizo upinzani upo moyoni kwa CCM pia ndugu zao wameporwa mali zao wamebambikiwa kesi CCM wengi hawampendi mtukufu magufuli bali huvaa minguo ya CCM kulinda mali zao wasibambikiwe kesi
Kura atakosa lkn kuiba je? Nani atamzidi mahesabu wakati vyombo vya dola viko kwenye kiganja?

Jamaa huyu jiwe siyo kama Kikwete ameimarisha na kuvisimamia vizuri vyombo vya dola. Anayethubutu kumzunguka anaumbuka asubuhi na mapema. Kwahiyo watendaji wanaogopa kinoma.
 
Chadema mmekamatika, ninyi hamnaga busara kama mnajua mko sahihi. Mgombea anasema lake, mwenye chama anasema lake upuuzi mtupu. Hamjajipanga kushinda, na mjiandae kujiunga na wenzenu TLP.
Wewe mwenyewe ni mpuuzi unawezaje kujua upuuzi?
 
Kura atakosa lkn kuiba je? Nani atamzidi mahesabu wakati vyombo vya dola viko kwenye kiganja?

Jamaa huyu jiwe siyo kama Kikwete ameimarisha na kuvisimamia vizuri vyombo vya dola. Anayethubutu kumzunguka anaumbuka asubuhi na mapema. Kwahiyo watendaji wanaogopa kinoma.
Vyombo vya dola vimegawanyika moyoni mfano IGP yeye kajitoa fahamu lakini ma OCD na ma RPC baadhi wapo makini zaidi hawataki kwenda ICC kizembe, taasisi zingine wametaabika miaka mitano bila nyongeza za mishahara machoni wanazuga kuwa na CCM lakini moyoni hawaitaki CCM kabsa
 
Ni busara hii hii ndiyo ilifanya 2015 tukaambiwa ooh Edo kashinda lkn muwe watulivu tutaenda ICJ. .....mpk leo kimya.

Sasa na uchaguzi huu chadema itapigwa (itaibiwa) mchana kweupee kisa busara.

Nafikiri viongozi wa Chadema Kuna kitu Cha ziada zaidi ya ukombozi wanachopigania. Wameniudhi sana, kwenda kinyume na Lisu.
Vipi yale maandamano ya UKUTA wewe ulitoaga ushauri gani? Maana yale ya mangekimambi ndio hukutokea kabisaaa
Ila sasa unawaambia viongozi wako wanakuudhi..... hizi nguvu za nyuma ya keybords buana😁😁😁
 
Mzee wa Faru John kaamua kutoka mafichoni, Tunajua mmejipanga kutaka kuleta stori zenu za kulialia, wakati sheria mmevunja wenyewe, tulieni kama mnanyolewa sheria ishafanya kazi yake, nyie ndo mnaanza kutetemeka kama mbuzi wa kafara, hahaha.
Watanzania tutaichagua CCM, na Tutamchagua Magufuli
Sema nitamchagua sio tutamchagua.. Usitusemee wengine
 
Vyombo vya dola vimegawanyika moyoni mfano IGP yeye kajitoa fahamu lakini ma OCD na ma RPC baadhi wapo makini zaidi hawataki kwenda ICC kizembe, taasisi zingine wametaabika miaka mitano bila nyongeza za mishahara machoni wanazuga kuwa na CCM lakini moyoni hawaitaki CCM kabsa
Asante kwa ubuyu huu
 
Back
Top Bottom