Uchaguzi 2020 CHADEMA, Tundu Lissu kuwa mgombea wenu mtapoteza muda wenu

Uchaguzi 2020 CHADEMA, Tundu Lissu kuwa mgombea wenu mtapoteza muda wenu

Jidu La Mabambasi

JF-Expert Member
Joined
Oct 20, 2014
Posts
16,419
Reaction score
26,594
Nimesikia tetesi kwamba ati Tundu Lissu anaweza kubeba bendera ya CHADEMA kuwa mgombea kwa kiti cha Urais.

Kwa kifupi Tundu Lissu hafai na hana vigezo vya kuwa Rais.

Moja; Yuko hysterical na siyo good listener(si msikilizaji mzuri). Yeye anafikiri anachojua ndio kinatawala kwa mazingira yoyote.

Pili; Ana matusi ya rejareja hata yasipohitajika, hivyo kumsha hasira za mbishani wake yeyote. Hana staha ya kuargue like agentleman.

Tatu; Hana vision, ni reactionary. Sijawahi kumsikia Lissu akieleza ile Tanzania tuitakayo mbele ya safari.

Huyu jamaa ni carbon copy ya despots wengine duniani, na akipata madaraka hawezi kumpa mpinzanii wake nafasi ya kuona upande wa pili wa mazingira.

CHADEMA twende kazini.
 
Nimesikia tetesi kwamba ati Tundu Lissu anaweza kubeba bendera ya CHADEMA kuwa mgombea kwa kiti cha Urais.

Kwa kifupi Tundu Lissu hafai na hana vigezo vya kuwa Rais.

Moja; Yuko hysterical na siyo good listener(si msikilizaji mzuri). Yeye anafikiri anachojua ndio kinatawala kwa mazingira yoyote.

Pili; Ana matusi ya rejareja hata yasipohitajika, hivyo kumsha hasira za mbishani wake yeyote. Hana staha ya kuargue like agentleman.

Tatu; Hana vision, ni reactionary. Sijawahi kumsikia Lissu akieleza ile Tanzania tuitakayo mbele ya safari.

Huyu jamaa ni carbon copy ya despots wengine duniani, na akipata madaraka hawezi kumpa mpinzanii wake nafasi ya kuona upande wa pili wa mazingira.

CHADEM twende kazini.
Chadema hawana mgombea urais watamuunga mkono Zitto!
 
Nimesikia tetesi kwamba ati Tundu Lissu anaweza kubeba bendera ya CHADEMA kuwa mgombea kwa kiti cha Urais.

Kwa kifupi Tundu Lissu hafai na hana vigezo vya kuwa Rais.

Moja; Yuko hysterical na siyo good listener(si msikilizaji mzuri). Yeye anafikiri anachojua ndio kinatawala kwa mazingira yoyote.

Pili; Ana matusi ya rejareja hata yasipohitajika, hivyo kumsha hasira za mbishani wake yeyote. Hana staha ya kuargue like agentleman.

Tatu; Hana vision, ni reactionary. Sijawahi kumsikia Lissu akieleza ile Tanzania tuitakayo mbele ya safari.

Huyu jamaa ni carbon copy ya despots wengine duniani, na akipata madaraka hawezi kumpa mpinzanii wake nafasi ya kuona upande wa pili wa mazingira.

CHADEM twende kazini.
Nimekuaoma mkuu, umemlenga mtu fulani hivi kwa kutumia mgongo wa Lissu.
 
Chadema wangemuunga mkono Zitto ndiye mwenye sifa si Lissu. Lissu ni mwanasheria wa kihistoria hapa Tanzania lakini si presidential material.

Uko sahihi kabisa na hata mleta uzi yuko sahihi. Ni zaidi ya mara moja nimewahi kusema Lissu hawezi kuwa rais mzuri, bali Zitto anaweza kuwa rais mzuri. Lakini kama Magufuli Kawa rais na anasifiwa hata kama ni sifa za kutengeneza, ni kipi kutamzuia Lissu kuwa rais? Kama tumemfumbia macho huyu, ni kipi kinafanya tuone kwa Lissu? Bila kuingia kwenye msuguano hatuwezi kuheshimu nchi.
 
Mnamsema mtu kimafumbo hamna woga nyie?
Majuzi kijana kacheka kuvaa suti ya Pepe Kalle yaliyompata hatasahau, ije I we kuzungumzia tabia?
 
Chadema wangemuunga mkono Zitto ndiye mwenye sifa si Lissu. Lissu ni mwanasheria wa kihistoria hapa Tanzania lakini si presidential material.
Hapo ni sawa na kuruka mkojo ukakanyaga 'kimba'
 
Nimesikia tetesi kwamba ati Tundu Lissu anaweza kubeba bendera ya CHADEMA kuwa mgombea kwa kiti cha Urais.

Kwa kifupi Tundu Lissu hafai na hana vigezo vya kuwa Rais.

Moja; Yuko hysterical na siyo good listener(si msikilizaji mzuri). Yeye anafikiri anachojua ndio kinatawala kwa mazingira yoyote.

Pili; Ana matusi ya rejareja hata yasipohitajika, hivyo kumsha hasira za mbishani wake yeyote. Hana staha ya kuargue like agentleman.

Tatu; Hana vision, ni reactionary. Sijawahi kumsikia Lissu akieleza ile Tanzania tuitakayo mbele ya safari.

Huyu jamaa ni carbon copy ya despots wengine duniani, na akipata madaraka hawezi kumpa mpinzanii wake nafasi ya kuona upande wa pili wa mazingira.

CHADEM twende kazini.
Nadhani ndiyo advantage kwenu mpite kirahisi!!?? Au unataka mgombea wa CDM awe na sifa kuliko mgombea wenu,?
 
Back
Top Bottom