CHUMA kimepoteza bora ni "iron cast" sio CHUMA cha pia.Kama hamaki na kulopoka lopoka ni kigezo,mbona hata kuku analogous tu.
Endeleen kuweweseka chuma kinakuja
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Endeleen kuweweseka chuma kinakuja
Kuna mtu unamsema kimafumbo kupitia kamanda LissuNimesikia tetesi kwamba ati Tundu Lissu anaweza kubeba bendera ya CHADEMA kuwa mgombea kwa kiti cha Urais.
Kwa kifupi Tundu Lissu hafai na hana vigezo vya kuwa Rais.
Moja; Yuko hysterical na siyo good listener(si msikilizaji mzuri). Yeye anafikiri anachojua ndio kinatawala kwa mazingira yoyote.
Pili; Ana matusi ya rejareja hata yasipohitajika, hivyo kumsha hasira za mbishani wake yeyote. Hana staha ya kuargue like agentleman.
Tatu; Hana vision, ni reactionary. Sijawahi kumsikia Lissu akieleza ile Tanzania tuitakayo mbele ya safari.
Huyu jamaa ni carbon copy ya despots wengine duniani, na akipata madaraka hawezi kumpa mpinzanii wake nafasi ya kuona upande wa pili wa mazingira.
CHADEMA twende kazini.
Lissu hana sifa za urais. Habari ya mtu kulichangia taifa lake cha kwanza ni uzalendo. Lissu sio mzalendo.Jidu, Lissu hana hizo sifa za u Rais , Je we unazo ?!. Mchango wako ni nini kwa taifa hili ?!
Nimesikia tetesi kwamba ati Tundu Lissu anaweza kubeba bendera ya CHADEMA kuwa mgombea kwa kiti cha Urais.
Kwa kifupi Tundu Lissu hafai na hana vigezo vya kuwa Rais.
Moja; Yuko hysterical na siyo good listener(si msikilizaji mzuri). Yeye anafikiri anachojua ndio kinatawala kwa mazingira yoyote.
Pili; Ana matusi ya rejareja hata yasipohitajika, hivyo kumsha hasira za mbishani wake yeyote. Hana staha ya kuargue like agentleman.
Tatu; Hana vision, ni reactionary. Sijawahi kumsikia Lissu akieleza ile Tanzania tuitakayo mbele ya safari.
Huyu jamaa ni carbon copy ya despots wengine duniani, na akipata madaraka hawezi kumpa mpinzanii wake nafasi ya kuona upande wa pili wa mazingira.
CHADEMA twende kazini.
Si unaona Rais , Jokeri, wa Ukraine anavyo chezewa kama gari bovu!Dah wewe jamaa unavyoandika utadhani una akili kuliko Mtanzania yeyote,kwanza hujulikani,hoja ,zako za kilevi tu na za kulazimisha,zimejaa chuki,wivu na husda.
Eti Hana quolities za kuongoza nchi,huyu aliyepo ama waliopita Wana quolities zipi,umetumia kipimo gani,unang'ang'aniza tu I hoja vyako vya kishirikina.
Nani aliekuambia kuwa rais lazima uwe na akili nyingi.
Ingekua hivyo Basi kuna watu wangekua manyapala tu.
Kama wapigakura wakimkubari wewe utamkataa?
Watu mnajifanya mnajuuua kumbe mazuzu tu.
Nakufundisha wewe kilaza,kwenye Uchaguzi watu wanaangalia Hali iliyopo hawaangalii hizo quolities zako.
Watu hupiga hata kura za chuki ili kupeleka ujumbe upande wa pili.
Ukraine kashinda mchekeshaji tu Kama Masanja Mkandamizaji,kamshinda Risi aliyekuwepo madarakani Poroshenko.
Dah wewe jamaa unavyoandika utadhani una akili kuliko Mtanzania yeyote,kwanza hujulikani,hoja ,zako za kilevi tu na za kulazimisha,zimejaa chuki,wivu na husda.
Eti Hana quolities za kuongoza nchi,huyu aliyepo ama waliopita Wana quolities zipi,umetumia kipimo gani,unang'ang'aniza tu I hoja vyako vya kishirikina.
Nani aliekuambia kuwa rais lazima uwe na akili nyingi.
Ingekua hivyo Basi kuna watu wangekua manyapala tu.
Kama wapigakura wakimkubari wewe utamkataa?
Watu mnajifanya mnajuuua kumbe mazuzu tu.
Nakufundisha wewe kilaza,kwenye Uchaguzi watu wanaangalia Hali iliyopo hawaangalii hizo quolities zako.
Watu hupiga hata kura za chuki ili kupeleka ujumbe upande wa pili.
Ukraine kashinda mchekeshaji tu Kama Masanja Mkandamizaji,kamshinda Risi aliyekuwepo madarakani Poroshenko.
iwe jua iwe mvua mimi na familiar yangu tutampigia tundu lissu kuraNimesikia tetesi kwamba ati Tundu Lissu anaweza kubeba bendera ya CHADEMA kuwa mgombea kwa kiti cha Urais.
Kwa kifupi Tundu Lissu hafai na hana vigezo vya kuwa Rais.
Moja; Yuko hysterical na siyo good listener(si msikilizaji mzuri). Yeye anafikiri anachojua ndio kinatawala kwa mazingira yoyote.
Pili; Ana matusi ya rejareja hata yasipohitajika, hivyo kumsha hasira za mbishani wake yeyote. Hana staha ya kuargue like agentleman.
Tatu; Hana vision, ni reactionary. Sijawahi kumsikia Lissu akieleza ile Tanzania tuitakayo mbele ya safari.
Huyu jamaa ni carbon copy ya despots wengine duniani, na akipata madaraka hawezi kumpa mpinzanii wake nafasi ya kuona upande wa pili wa mazingira.
CHADEMA twende kazini.
Asiposhinda si ndio mtashinda nyie au hamtaki ushindi tenaNimesikia tetesi kwamba ati Tundu Lissu anaweza kubeba bendera ya CHADEMA kuwa mgombea kwa kiti cha Urais.
Kwa kifupi Tundu Lissu hafai na hana vigezo vya kuwa Rais.
Moja; Yuko hysterical na siyo good listener(si msikilizaji mzuri). Yeye anafikiri anachojua ndio kinatawala kwa mazingira yoyote.
Pili; Ana matusi ya rejareja hata yasipohitajika, hivyo kumsha hasira za mbishani wake yeyote. Hana staha ya kuargue like agentleman.
Tatu; Hana vision, ni reactionary. Sijawahi kumsikia Lissu akieleza ile Tanzania tuitakayo mbele ya safari.
Huyu jamaa ni carbon copy ya despots wengine duniani, na akipata madaraka hawezi kumpa mpinzanii wake nafasi ya kuona upande wa pili wa mazingira.
CHADEMA twende kazini.
Kura itakuwa imeenda na maji!iwe jua iwe mvua mimi na familiar yangu tutampigia tundu lissu kura
Duh!Kwa laana hii mmhView attachment 1468478