Uchaguzi 2020 CHADEMA, Tundu Lissu kuwa mgombea wenu mtapoteza muda wenu

Huyu mwizi wa bilioni 1.2 kila mwezi, hapana kwa kweli. Baada ya miaka 10 nchi hii itabaki makapi tu.
 
Kuna mtu unamsema kimafumbo kupitia kamanda Lissu

Jr[emoji769]
 
Huyo Mwendawazimu wenu wa kijani mbona hana hata sifa ya kuwa katibu kata!
 
Si unaona Rais , Jokeri, wa Ukraine anavyo chezewa kama gari bovu!
 

Ndugu yangu ukiandika hii posti ulikuwa umeonja ile pombe ya nyuki?
Maana naona umetoa verbal diarhea, uharisho mtupu usio na mbele wala nyuma.
Mtu kutukana watu hadi kufikia kiwango cha kuwindwa si kigezo cha mafanikio wala uongozi mzuri.

Sasa nikupe live , kama atagombea si arudi basi hapa Bongo?
Huyu Lissu ni mtu dramatic, anajua hawezi hata kuingia nchini maana anatafutwa kwa kesi mbai mbali.
Hii ni gia ya kudraw attention ya dunia ili atukane kivyake vyake tena.
 
iwe jua iwe mvua mimi na familiar yangu tutampigia tundu lissu kura
 
Asiposhinda si ndio mtashinda nyie au hamtaki ushindi tena
 
Ajiandae siku anatua anafikia mahakamani kwenye Kwai alizoziacha. Na bado watamtaka outpaced ushahidi wa waliomshambulia Dodoma. Mpaka hizo ziishe kampeni nazo zimeisha. Ni hayo tu!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…