CHADEMA waache kujiita chama cha "Demokrasia na Maendeleo." Demokrasia na maendeleo huwa havikai pamoja

CHADEMA waache kujiita chama cha "Demokrasia na Maendeleo." Demokrasia na maendeleo huwa havikai pamoja

👍
Maendeleo yanaletwa na factors nyingi. Hapa tunajadili component ya demokrasia.

Ujue kuwa maendeleo hayana kikomo. Sijasema Japan ilikuwa nyuma km Tz. Bali daada ya WW2 imepata maendeleo makubwa, na pia ikiwa na demokrasia ya hali ya juu.
Maendeleo ya Japan Yana Sura mbili.

Sehemu ya Kwanza yalianza kipindi mfalme Meiji ambaye alichukua udhibiti na kuupa ufalme nguvu zaidi kwani kabla shogunate walikuwa na nguvu kuliko mfalme. Baada ya hapo mfalme akafanya mageuzi Japan ikawa nchi ya Kwanza nje ya nchi za maghatibi kuwa na industrial Revolution.

Sehemu ya pili ni kipindi cha miaka 1930s maendeleo unayoyaoana ni matokeo ya sera ya kipindi hicho kwani ni matokeo ya Sera za kipindi ambazo ambapo mawaziri wakuu walikuwa ni authoritarians. Wakati USA walipoikalia Japan baada WWII walianza kufirisi kampuni zilizokuwa karibu na serikali na kubadilisha mfumo WA uendeshaji uchumi unaoendana na nchi za maghatibi na mambo mengine ya kidemokrasia.

Baada ya occupation kuisha serikali ya Japan ikarudia Sera zake za kabla ya Vita huku biashara zikiwa zinapata maelekezo ya MITI (Ministry of International Trade and Industry), kwenye dunia ya kidemokrasia mfanya biashara hapangiwi cha kutengeneza wala kiasi cha kutengeneza kifupi MITI ilikuwa inawatisha wafanyabiashara wanaoenda kinyume na guidance Yao.

Japan Kwa muda mrefu imeongozwa na chama kimoja cha Liberal Democratic Party ambapo viongizi walikuwa ni viongizi kabla ya Vita vyama vyenye mlengo kiujamaa vilishughulikiwa kikamilifu na vingine vikafa na vingine having nguvu tena, hii ni demokrasia?

Kiuhalisia Demokrasia sio factor ya maendeleo Bali ni kitu kinachoambatana baada ya kupata maendeleo.

Haijalishi nchi IPO kwenye muundo upi kama hakuna mipango mizuri na utekelezaji sahihi nchi kamwe haitokuja kuendelea iwe Demokrasia au udikteta
 
Duniani kote hakuna nchi imewahi kuendelea kwa kufuata demokrasia. Wazungu walitutupia demokrasia na kutulazimisha kuifuata si kwamba wanatupenda sana, ni kuwa walitaka tupate mkwamo tusiendeleee. India imeachwa pakubwa sana na China kwa maendeleo licha ya India kuitwa 'World's largest democracy." Demokrasia ni anasa ya watu walioendelea na si wanaotafuta maendeleo. Na hata hao walioendelea utaona kuwa demokrasia inarudisha nyuma maendeleo yao polepole.

Kujiita chama cha "demokrasia na maendeleo," hakuingii akilini kwa sababu mambo hayo hayakai pamoja. CDM wabadili jina.
Kama Kuna ka ukweli Fulani hivi maana inasemekana Gadafi alikuwa dikteta na katika huo utawala wake wa kidkteta Libyan ilikuwa vizuri na maisha ya walibya pia yalikuwa mazuri

Wazungu wakamtoa Gadafi na kuweka utawala wa kidemokrasia hatimaye Sasa wamekuwa masikini na huo utawala wao wa kidemokrasia
 
Duniani kote hakuna nchi imewahi kuendelea kwa kufuata demokrasia. Wazungu walitutupia demokrasia na kutulazimisha kuifuata si kwamba wanatupenda sana, ni kuwa walitaka tupate mkwamo tusiendeleee. India imeachwa pakubwa sana na China kwa maendeleo licha ya India kuitwa 'World's largest democracy." Demokrasia ni anasa ya watu walioendelea na si wanaotafuta maendeleo. Na hata hao walioendelea utaona kuwa demokrasia inarudisha nyuma maendeleo yao polepole.

Kujiita chama cha "demokrasia na maendeleo," hakuingii akilini kwa sababu mambo hayo hayakai pamoja. CDM wabadili jina.
AKILI NDOGO MNA MATATIZO SANA
 
Japana ilikuwa mbali sana kabla hata ya WWII. Na ndiyo maana iliweza kupigana vita ile na mataifa makubwa. Hapo ilikuwa chini ya maliki na si ya kidemokrasia.
Kwa hiyo Samia tubadili Katiba atawale hadi atakapokufa sio? Kama Malkia Elisabeth
 
Duniani kote hakuna nchi imewahi kuendelea kwa kufuata demokrasia. Wazungu walitutupia demokrasia na kutulazimisha kuifuata si kwamba wanatupenda sana, ni kuwa walitaka tupate mkwamo tusiendeleee. India imeachwa pakubwa sana na China kwa maendeleo licha ya India kuitwa 'World's largest democracy." Demokrasia ni anasa ya watu walioendelea na si wanaotafuta maendeleo. Na hata hao walioendelea utaona kuwa demokrasia inarudisha nyuma maendeleo yao polepole.

Kujiita chama cha "demokrasia na maendeleo," hakuingii akilini kwa sababu mambo hayo hayakai pamoja. CDM wabadili jina.
Tutajie nchi 5 zilizoendelea bila Demokrasi....!!?
 
Hapana wanatumia regression (Inapima causal-effect relationship) ya panel data na time series kabisa kwa miaka kuanzia 90s ambapo democracy ilisambaa zaidi baada ya anguko la Soviet. So indeed Kuna evidence kwamba demokrasia inavyopanda yaani uhuru wa habari, bunge huru, utawala wa kisheria, uwazi wa serikali, uchaguzi huru na haki n.k inapandisha uchumi maana viongozi wazembe huondolewa madarakani kwa kura, bunge lnaweza zuia miswada mibovu, uwajibikaji kuongezeka n.k.
Toa mfano wa nchi iliyotoka kwenye umasikini na kuendelea kwa kutumia demokrasia. Kuanzia miaka ya tisini globalization na maFDI ndiyo yameleta kiini macho cha kuwa nchi zinaendelea. Si kuadopt democrasia. Correlation siyo causation.
 
Duniani kote hakuna nchi imewahi kuendelea kwa kufuata demokrasia. Wazungu walitutupia demokrasia na kutulazimisha kuifuata si kwamba wanatupenda sana, ni kuwa walitaka tupate mkwamo tusiendeleee. India imeachwa pakubwa sana na China kwa maendeleo licha ya India kuitwa 'World's largest democracy." Demokrasia ni anasa ya watu walioendelea na si wanaotafuta maendeleo. Na hata hao walioendelea utaona kuwa demokrasia inarudisha nyuma maendeleo yao polepole.

Kujiita chama cha "demokrasia na maendeleo," hakuingii akilini kwa sababu mambo hayo hayakai pamoja. CDM wabadili jina.
Mbona marekani ni superpower ki uchumi na ni baba wa demokrasia duniani? Uingereza je. We huelewi mana ya demokrasia mungu akusamehe tu. Shida ni kusoma SAUT
 
Mbona marekani ni superpower ki uchumi na ni baba wa demokrasia duniani? Uingereza je. We huelewi mana ya demokrasia mungu akusamehe tu. Shida ni kusoma SAUT
Na wewe unaamini propaganda za kuwa USA ni baba wa demokrasia duniani!, Nchi ambayo watu weusi walizuiwa kupiga kura kwa uhuru hadi 1965?
 
Na wewe unaamini propaganda za kuwa USA ni baba wa demokrasia duniani!, Nchi ambayo watu weusi walizuiwa kupiga kura kwa uhuru hadi 1965?
Nenda marekani uone kama huenjoy uhuru uliopo huko ndo mana hata wasanii wabongo wanstrugle kwenda huko na wakienda hawarudi mfano Roma na hata akina mange kimambi hawawezi kurudi huku. Hizi nchi za Africa ni za kunya yasana tu. Uhuru waliupata wachache lakini wengi Bado tunateshwa na waafrica wenzetu. We angalia jinsi ambavyo jpm aliligeuza taifa kama sehemu ya kuvhinjana na kuogopana sis kwa sisi eti Kuna watu wasionulikana ulisema lolote tu unakikita kesho mateka. Mfano Mo tajiri anakamatwa kama nzige na kupotezwa, Sasa mi kapuku so ningeuawa kabisa. Huu ndo ujinga wa viongozi wa Africa hisusani wenye Kali a ya jpm
 
Marekani, Ujerumani, Uingereza, China, South Korea, Taiwan. Nk Nk.
Man, you do not know what you are talking about. USA na England, South Korea!! Hata hiyo Taiwan wameanza kuendelea baada ya kuwa na Demokrasia. Ndiyo maana hawataki kuunga a na Udicteta wa China.

Nchi zako wewe ni China, Russia, Cuba, North Korea na Venezuela. Kama unayoyasema ni kweli basi hizo Nchi zingekuwa na maendeleo makubwa.
 
Duniani kote hakuna nchi imewahi kuendelea kwa kufuata demokrasia. Wazungu walitutupia demokrasia na kutulazimisha kuifuata si kwamba wanatupenda sana, ni kuwa walitaka tupate mkwamo tusiendeleee. India imeachwa pakubwa sana na China kwa maendeleo licha ya India kuitwa 'World's largest democracy." Demokrasia ni anasa ya watu walioendelea na si wanaotafuta maendeleo. Na hata hao walioendelea utaona kuwa demokrasia inarudisha nyuma maendeleo yao polepole.

Kujiita chama cha "demokrasia na maendeleo," hakuingii akilini kwa sababu mambo hayo hayakai pamoja. CDM wabadili jina.
Huwezi kuachanisha maendeleo ya watu na Demokrasia,
Nchi nyingi zenye Demokrasia Zina focus zaidi kwenye maendeleo ya watu na wanakuwa na maendeleo imara na ya kudumu kwa sababu ni wananchi wenyewe wanayaleta na huyalinda like Usa
Nchi zisizo na demokrsia Zina focus kwenye maendeleo ya vitu zaidi lakini ziko kwenye risk kubwa kupoteza maendeleo kwa sababu hazina uungwaji mkubwa wananchi,
Like Libya Gadafi alifocus kwenye material thing than people dev lakini one day wananchi walikuwa tayari kuyabomoa waanze upya wenyewe,
Hata Uchina maendeleo yake hayana uimara sana anytime wananchi wanaweza kuliamsha

Kwa upande wa Cdm wamejitahidi ila Bado Kuna shida kwenye demokrasia ya ndani
But can make better one day
 
Man, you do not know what you are talking about. USA na England, South Korea!! Hata hiyo Taiwan wameanza kuendelea baada ya kuwa na Demokrasia. Ndiyo maana hawataki kuunga a na Udicteta wa China.

Nchi zako wewe ni China, Russia, Cuba, North Korea na Venezuela. Kama unayoyasema ni kweli basi hizo Nchi zingekuwa na maendeleo makubwa.
Nenda kasome historia ya maendeleo ya SKorea na Taiwan. Nakuongezea na Singapore. Na sasa Malaysia.
 
Huwezi kuachanisha maendeleo ya watu na Demokrasia,
Nchi nyingi zenye Demokrasia Zina focus zaidi kwenye maendeleo ya watu na wanakuwa na maendeleo imara na ya kudumu kwa sababu ni wananchi wenyewe wanayaleta na huyalinda like Usa
Nchi zisizo na demokrsia Zina focus kwenye maendeleo ya vitu zaidi lakini ziko kwenye risk kubwa kupoteza maendeleo kwa sababu hazina uungwaji mkubwa wananchi,
Like Libya Gadafi alifocus kwenye material thing than people dev lakini one day wananchi walikuwa tayari kuyabomoa waanze upya wenyewe,
Hata Uchina maendeleo yake hayana uimara sana anytime wananchi wanaweza kuliamsha

Kwa upande wa Cdm wamejitahidi ila Bado Kuna shida kwenye demokrasia ya ndani
But can make better one day
Demokrasia kwenye sehemu kubwa ya nchi hizo imekuja baada ya kuendelea. Na si kweli kuhusu maendeleo ya vitu. Ghafdafi alijenga irtigation scheme kubwa kuliko zote duniani. Wananchi walipata maji ya kutumia na ya kumwagilia kila walichotaka kulima. Demokrasia huwa haileti maendeleo, inayarudisha nyuma. Maana katika demokrasia serikali sehemu kubwa ni kutumia tu pesa kuwaridhisha wananchi(wenye nchi) ambao hawaridhiki kamwe.
 
Usiogope. Hilo ni jina tu ila kiuhalisia CHADEMA hawaishi kulingana na jinsi wanavyojiita. Mwenyekiti ni huyohuyo tangu enzi za Mkapa pia nyakati za uchaguzi wagombea wao wa ubunge ni walewale kwa maana ya viongozi waandamizi kujimilikisha hizo nafasi. Kwenye mgombea urais ndo kuna shida zaidi.. huwa ni uamuzi wa Mbowe kuamua nani awe mgombea urais kwa madai ya kubadili gia angani. Kimsingi CHADEMA ni chama cha kidikteta.
 
Demokrasia kwenye sehemu kubwa ya nchi hizo imekuja baada ya kuendelea. Na si kweli kuhusu maendeleo ya vitu. Ghafdafi alijenga irtigation scheme kubwa kuliko zote duniani. Wananchi walipata maji ya kutumia na ya kumwagilia kila walichotaka kulima. Demokrasia huwa haileti maendeleo, inayarudisha nyuma. Maana katika demokrasia serikali sehemu kubwa ni kutumia tu pesa kuwaridhisha wananchi(wenye nchi) ambao hawaridhiki kamwe.
Unajua tofouti ya maendeleo ya vitu na maendeleo ya watu ?
 
Toa mfano wa nchi iliyotoka kwenye umasikini na kuendelea kwa kutumia demokrasia. Kuanzia miaka ya tisini globalization na maFDI ndiyo yameleta kiini macho cha kuwa nchi zinaendelea. Si kuadopt democrasia. Correlation siyo causation.
South Korea
 
Back
Top Bottom