CHADEMA waache kujiita chama cha "Demokrasia na Maendeleo." Demokrasia na maendeleo huwa havikai pamoja

CHADEMA waache kujiita chama cha "Demokrasia na Maendeleo." Demokrasia na maendeleo huwa havikai pamoja

Nenda marekani uone kama huenjoy uhuru uliopo huko ndo mana hata wasanii wabongo wanstrugle kwenda huko na wakienda hawarudi mfano Roma na hata akina mange kimambi hawawezi kurudi huku. Hizi nchi za Africa ni za kunya yasana tu. Uhuru waliupata wachache lakini wengi Bado tunateshwa na waafrica wenzetu. We angalia jinsi ambavyo jpm aliligeuza taifa kama sehemu ya kuvhinjana na kuogopana sis kwa sisi eti Kuna watu wasionulikana ulisema lolote tu unakikita kesho mateka. Mfano Mo tajiri anakamatwa kama nzige na kupotezwa, Sasa mi kapuku so ningeuawa kabisa. Huu ndo ujinga wa viongozi wa Africa hisusani wenye Kali a ya jpm
Una upeo mdogo sana maskini 🥺
 
Kwenye maendeleo demokrasia ni kitu cha lazima.na huo ndio ukweli marekani ni nchi yenye demokrasia ,na ni nchi yenye maendeleo sana.njoo nchi kama england,Norway,Sweden,Denmark,nk zote hizi ni kielelezo Tosha cha jinsi demokrasia inavyo leta maendeleo.
 
Mbona Africa imekuwa na madikteta wengi sana waliodumu madarakani kwa muda mrefu ila bado imedumaa kimaendeleo?!
Kwenye posti yangu ya Kwanza kwenye Uzi huu nilihitimisha Kwa kuandika kuwa haijalishi nchi IPO kwenye muundo upi iwe Demokrasia au udikteta kama kuna mipango mibovu na utekelezaji hafifu usio na consistency kamwe nchi haitoendelea.

Kwa kuwa umenikoti kuhusu Korea kusini, tutachukulia mfano WA Park Chung Hee na authoritarians kama Mobutu na Nyerere, Museven, Kenyatta hata rais Magufuli

Kinachotofautisha diktekta park na Marais wengi WA kiafrika ni yeye kujikita kwenye maendeleo ya kiuchumi Kwa kulenga kuwa na viwanda vitakavyokuwa vinauza bidhaa nje ya nchi(Export Orientation Economy) na sio import substitution kama Nyerere alivyokuwa anajaribu kufanya

Park yeye mwenyewe alijua ni Kwamba hajui uchumi hivyo ilimpasa kuunda bodi inayoitwa Economic Planning Board (EPB) na taasisi ya ushauri inayoitwa Korea Development Institute

EPB ndio iliyokuwa inasimamia na kusuka mipango yote ya kiuchumi hasa viwanda, park alichotaka ni matokeo na kutumia udikteta wake kufanikisha hiyo mipango na kuipa nguvu EPB Kwa kutaifisha Benki zote, na udikteta ukiongezeka kipindi cha mpango WA miaka mitano uliojikita kwenye uanzishaji WA Heavy and Chemical Industry.

Kuna mengi Sana hasa ukiangalia nchi kama Singapore, Taiwan, Japan, China, Malaysia.

Nikuulize Afrika kuna dikteta yupi alikuwa anafanya kama dikteta Park?
 
Kama ni hivyo tuwe na demokrasia na mipango mizuri pia kama Ufaransa, Ujerumani au Canada n.k.

Kwa nini kuchagua udikteta ikiwa pia maendeleo yanaweza kupatikana hata katika demokrasia. Watu wenye akili zinazofanya kazi vizuri wakiingia kwenye gari hawabebi mizigo yao vichwani, japo wakiendelea kuibeba vichwani mwao watafika pia.
Kwenye posti yangu ya Kwanza kwenye Uzi huu nilihitimisha Kwa kuandika kuwa haijalishi nchi IPO kwenye muundo upi iwe Demokrasia au udikteta kama kuna mipango mibovu na utekelezaji hafifu usio na consistency kamwe nchi haitoendelea.

Kwa kuwa umenikoti kuhusu Korea kusini, tutachukulia mfano WA Park Chung Hee na authoritarians kama Mobutu na Nyerere, Museven, Kenyatta hata rais Magufuli

Kinachotofautisha diktekta park na Marais wengi WA kiafrika ni yeye kujikita kwenye maendeleo ya kiuchumi Kwa kulenga kuwa na viwanda vitakavyokuwa vinauza bidhaa nje ya nchi(Export Orientation Economy) na sio import substitution kama Nyerere alivyokuwa anajaribu kufanya

Park yeye mwenyewe alijua ni Kwamba hajui uchumi hivyo ilimpasa kuunda bodi inayoitwa Economic Planning Board (EPB) na taasisi ya ushauri inayoitwa Korea Development Institute

EPB ndio iliyokuwa inasimamia na kusuka mipango yote ya kiuchumi hasa viwanda, park alichotaka ni matokeo na kutumia udikteta wake kufanikisha hiyo mipango na kuipa nguvu EPB Kwa kutaifisha Benki zote, na udikteta ukiongezeka kipindi cha mpango WA miaka mitano uliojikita kwenye uanzishaji WA Heavy and Chemical Industry.

Kuna mengi Sana hasa ukiangalia nchi kama Singapore, Taiwan, Japan, China, Malaysia.

Nikuulize Afrika kuna dikteta yupi alikuwa anafanya kama dikteta Park?
 
Sudan ilitawaliwa Jenerali Omar Al Bashir kwa miaka 30.

Uganda imetawaliwa na Jenerali Museveni kwa miaka 30, kwa pamoja na Iddi Amini ni miaka 50 ya utawala wa majenerali.

Nigeria ilitawaliwa na majenerali kwa zaidi ya miaka 40.

DRC imetawaliwa na wanajeshi kwa zaidi ya miaka 50.

Burkinafaso imetawaliwa na mwanajeshi kwa miaka 40.

Zipo Rwanda, Burundi, Mali, Guinea, CAR na nyingine nyingi.

HIZI ZOTE HAZINA MAENDELEO.
Afrika ni zote tu hazina maeneleo. Na ajabu ni kuwa zilizoendelea zaidi ni nchi kama Misri, Libya, Algeria, Tunisia na Morocco. Zote zikiwa zinademocrasia finyu au hazina kabisa.
 
Nchi gani 5 Africa ambazo ambazo unafikiri zina demokrasia kubwa zaidi na pana?
Afrika ni zote tu hazina maeneleo. Na ajabu ni kuwa zilizoendelea zaidi ni nchi kama Misri, Libya, Algeria, Tunisia na Morocco. Zote zikiwa zinademocrasia finyu au hazina kabisa.
 
Mauritius na Shelisheli ndio nchi zenye maendeleo makubwa zaidi barani Africa.
Botswana ni nchi ya kupigwa mfano katika hatua za maendeleo na iliyopata na hali nzuri za maisha kwa raia wake tangu uhuru. Kenya ndio nchi yenye uchumi mkubwa na maendeleo kuliko zote katika Africa Mashariki na inazipita kwa mbali nchi nyingi za Sub-Saharan Africa. Baada ya Nigeria, Ghana ina uchumi mzuri kuliko nchi zote za West Africa.
Mauritius, Shelisheli, Botswana, labda na Kenya na Ghana
 
Sasa ikiwa demokrasia inachelewesha maendeleo mbona Japan haikuchelewa kuendelea licha ya kufuata mfumo wa kidemokrasia,
Sijasema Demokrasia inachelewesha maendeleo
Lakini pia hujaeleza ni Kwa jinsi Gani hiyo demokrasia inachelewesha hayo maendeleo,
Ukisoma post zangu hakuna mahali nimesema demokrasia inachelewesha maendeleo

Soma kwa kutulia mkuu
Mfano nchi yetu wakati wa utawala wa chama kimoja zaidi ya Miaka 30 na baada ya kurejea kwenye mfumo wa vyama vingi zaidi ya Miaka 30 sasa, ni kipindi kipi kati ya hivyo viwili ambapo walau tumepigwa hatua kimaendeleo?
Swali zuri

Suala la demokrasia linagusa ngazi moja tu ya jamii nayo ni kisiasa

Maendeleo yenyewe yanagusa kila nguzo ya jamii, Uchumi, Siasa, Jamii, Jeshi, Elimu n.k

Sisi hatuwa na demokrasia toka uhuru na focus ilikuwa ni siasa sera za kiuchumi hazikusupport maendeleo kwa zama zile

Kwahiyo demokrasia pekee haitoshi kuleta maendeleo
Bali ni mchanganyiko wa mambo mengine mengi ambayo yanapaswa kwenda sambamba kuleta maendeleo
 
Mauritius na Shelisheli ndio nchi zenye maendeleo makubwa zaidi barani Africa.
Botswana ni nchi ya kupigwa mfano katika hatua za maendeleo na iliyopata na hali nzuri za maisha kwa raia wake tangu uhuru. Kenya ndio nchi yenye uchumi mkubwa na maendeleo kuliko zote katika Africa Mashariki na inazipita kwa mbali nchi nyingi za Sub-Saharan Africa. Baada ya Nigeria, Ghana ina uchumi mzuri kuliko nchi zote za West Africa.
Hizo nchi pamoja na Namibia maendeleo yao wanapima hasa kwa GDP per Capita. Ukicheki iadi ya watu kwenye hizo nchi hutashangaa hilo. Halina uhusiano wowote na Demokrasia zao. Nchi hasa ambazo tunaweza kulinganisha kwa maeneleo Afrika ni za Afrika ya kaskazini na huko hukuti demokrasia. Ghana iko kwenye hali mbaya kiuchumi, inakaribia kudefault madeni yake. Demokrasia inakula maendeleo.
 
Kama ni hivyo tuwe na demokrasia na mipango mizuri pia kama Ufaransa, Ujerumani au Canada n.k.

Kwa nini kuchagua udikteta ikiwa pia maendeleo yanaweza kupatikana hata katika demokrasia. Watu wenye akili zinazofanya kazi vizuri wakiingia kwenye gari hawabebi mizigo yao vichwani, japo wakiendelea kuibeba vichwani mwao watafika pia.
Mjadara unaanza kwenye hizo nchi ulizozitaja repression walizofanya nyakati zilipokuwa zinakuwa.
 
Repression zilizofanywa na Wafalme wa Ufaransa kwa Raia wake ziliishia kwa wafalme wake kuchinjwa na ufalme kuondolewa kabisa wakachukua mkondo wa Jamuhuri na Demokrasia, sidhani kama hicho ndicho unachokitaka.

Repression ziliofanywa na Viongozi wa Canada na Wa Ujerumani ukiondoa Hitler hazikuwa kwa raia wao waliokuwa wanawatawala. Hakuna Viongozi wa Africa au sehemu nyingine duniani watakaopata "fursa" hiyo tena katika karne hii 21 bila vita na umwagikaji damu mkubwa. Sidhani pia kama hicho ndicho unachokitaka.
Mjadara unaanza kwenye hizo nchi ulizozitaja repression walizofanya nyakati zilipokuwa zinakuwa.
 
Hujui vitu vingi sana, Ghana kutaka ku default madeni haina maana hakuna maendeleo.
Kila nchi inaweza kupata economic crisis katika kipindi fulani cha Historia yake. Unaweza kujifunza Great Economic Depression ya US ya 1930s na Economic crisis ya 2008.

Unataka maendeleo ya hizo nchi yapimwe kwa kipimo gani? chukua kipimo cha Human Development Index (HDI) kama kitakupa majibu unayotaka. Madaktari wa Tanzania hawakimbilii Botswana au Namibia kwa sababu ya GDP per capita kubwa bali kwa sababu sekta ya Afya katika hizo nchi ni nzuri kwa wafanyakazi na wagonjwa.

Point yako ya udogo wa nchi ni hovyo kwa sababu unaji contradict mwenyewe. Pia Burundi, Rwanda, Equatorial Guinea, Gambia, Togo na Lesotho ni ndogo pia na mafukara wa kutupwa.
Hizo nchi pamoja na Namibia maendeleo yao wanapima hasa kwa GDP per Capita. Ukicheki iadi ya watu kwenye hizo nchi hutashangaa hilo. Halina uhusiano wowote na Demokrasia zao. Nchi hasa ambazo tunaweza kulinganisha kwa maeneleo Afrika ni za Afrika ya kaskazini na huko hukuti demokrasia. Ghana iko kwenye hali mbaya kiuchumi, inakaribia kudefault madeni yake. Demokrasia inakula maendeleo.
 
Repression zilizofanywa na Wafalme wa Ufaransa kwa Raia wake ziliishia kwa wafalme wake kuchinjwa na ufalme kuondolewa kabisa wakachukua mkondo wa Jamuhuri na Demokrasia, sidhani kama hicho ndicho unachokitaka.

Repression ziliofanywa na Viongozi wa Canada na Wa Ujerumani ukiondoa Hitler hazikuwa kwa raia wao waliokuwa wanawatawala. Hakuna Viongozi wa Africa au sehemu nyingine duniani watakaopata "fursa" hiyo tena katika karne hii 21 bila vita na umwagikaji damu mkubwa. Sidhani pia kama hicho ndicho unachokitaka.
Ujerumani imeanza kuendelea kipindi ikiwa chini ya utawala wa Prussia, na ndio waliofanikisha unification ya ujerumani

Prussia na kutoa amri kuwa hilo taifa hilo litakuwa la kiprotestant aina ya Evangelische kitu kilichosababisha walutheran wengine kukimbia na kwenda usa.

Serikali ya kanada kwenye mfumo waliita "Canadian Indian Residential Schools" ilifanya ukandamizaji kwa kukusanya watoto wa indigenious communities na kuwapeleka kanisani kwa lazima ambapo watoto karibu 3000 hadi 6000 walifariki,

Pamoja na revolution, bado wafanyakazi wa ufaransa walikuwa na nyakati kwa kuwekewa masharti mengi kiudhalilishaji, mfano mfanyakazi alikuwa hawezi kubadilisha kazi ruhusa ya bosi wake

Nichajoribu kusema ni kuwa dimekrasia sio factor ya maendeleo bali mipango mizuri yenye utekerezaji sahihi na yenye consistency tofauti na hapo hakuna maendeleo uwe ni dikteta, demokrasia au neutral na vyovyote vile.
 
Umekosa hoja zenye maana sasa unaanza kuokoteza na kubangaiza vihoja vidogo vidogo visivyo na mashiko.
Kwanza Ujerumani hakujawahi kuwa na ukandamizaji wa kidini kutoka kwa watawala wake enzi za Prussia, kilichokuwepo na viongozi wa kisiasa Walsingham katika migogoro na makanisa baada ya kuwa na muelekeo wa kupunguza na kuondoa kabisa mamlaka za kanisa katika nguvu za siasa.

Pili hiyo ya kanada kufanya mambo maovu kwa indegineous Community ya watu 3000 haiwezi kuwa na maana yoyote katika kuchochea maendeleo yake, Hata hapa Africa jamii zilikuwa zinauana karne kwa karne. Pia nimekuambia hakuna tena fursa ya matendo kama hayo katika karne ya 21.

Tatu, wafanyakazi wa Ufaransa kuwekewa hizo sheria walizowekewa ambazo zilikiwa za kinyonyaji haimaanishi Ufaransa haikuwa na demokrasia, ungesema Democracy ina mapungufu yake tu na kila taifa lina hatua zake na wajibu katika kuiboresha kila siku. Kila mtu mwenye akili timamu na mpenda demokrasia anajua vyema kwamba Democracy ni imperfect na fragile lakini Udikteta au Uimla sio mbadala wake.
Ujerumani imeanza kuendelea kipindi ikiwa chini ya utawala wa Prussia, na ndio waliofanikisha unification ya ujerumani

Prussia na kutoa amri kuwa hilo taifa hilo litakuwa la kiprotestant aina ya Evangelische kitu kilichosababisha walutheran wengine kukimbia na kwenda usa.

Serikali ya kanada ilifanya ukandamizaji kwa kukusanya watoto wa indiginious communities na kuwapeleka kanisani kwa lazima ambapo watoto karibu 3000 hadi 6000 walifariki,

Pamoja na revolution, bado wafanyakazi wa ufaransa walikuwa na nyakati kwa kuwekewa masharti mengi kiudhalilishaji, mfano mfanyakazi alikuwa hawezi kubadilisha kazi ruhusa ya bosi wake

Nichajoribu kusema ni kuwa dimekrasia sio factor ya maendeleo bali mipango mizuri yenye utekerezaji sahihi na yenye consistency tofauti na hapo hakuna maendeleo uwe ni dikteta, demokrasia au neutral na vyovyote vile.
 
Kama ni hivyo tuwe na demokrasia na mipango mizuri pia kama Ufaransa, Ujerumani au Canada n.k.

Kwa nini kuchagua udikteta ikiwa pia maendeleo yanaweza kupatikana hata katika demokrasia. Watu wenye akili zinazofanya kazi vizuri wakiingia kwenye gari hawabebi mizigo yao vichwani, japo wakiendelea kuibeba vichwani mwao watafika pia.
Mkuu una fahamu sifa na tabia za mtu mweusi/mwafrika ?
 
Kama demokrasia ipo tunaomba mwenyekiti apumzike
 
Umekosa hoja zenye maana sasa unaanza kuokoteza na kubangaiza vihoja vidogo vidogo visivyo na mashiko.
Kwanza Ujerumani hakujawahi kuwa na ukandamizaji wa kidini kutoka kwa watawala wake enzi za Prussia, kilichokuwepo na viongozi wa kisiasa Walsingham katika migogoro na makanisa baada ya kuwa na muelekeo wa kupunguza na kuondoa kabisa mamlaka za kanisa katika nguvu za siasa.

Pili hiyo ya kanada kufanya mambo maovu kwa indegineous Community ya watu 3000 haiwezi kuwa na maana yoyote katika kuchochea maendeleo yake, Hata hapa Africa jamii zilikuwa zinauana karne kwa karne. Pia nimekuambia hakuna tena fursa ya matendo kama hayo katika karne ya 21.

Tatu, wafanyakazi wa Ufaransa kuwekewa hizo sheria walizowekewa ambazo zilikiwa za kinyonyaji haimaanishi Ufaransa haikuwa na demokrasia, ungesema Democracy ina mapungufu yake tu na kila taifa lina hatua zake na wajibu katika kuiboresha kila siku. Kila mtu mwenye akili timamu na mpenda demokrasia anajua vyema kwamba Democracy ni imperfect na fragile lakini Udikteta au Uimla sio mbadala wake.
Mkuu una kubaliana na namna China anavyo watendea Uyghurs na Tibetians ?
 
Back
Top Bottom