Equatorial Guinea ina watu milioni 1.6, ni mojawapo ya mzalishaji mkubwa wa mafuta barani Africa na bado ni Maskini, Togo ina watu milioni 8 ina rasilimali za kila aina ila bado ni Maskini, Mauritania ina watu milioni 5 ila, ni kubwa kama Tanzania, ina rasilimali za kila aina ila ni Maskini.
Ghana imechukua muelekeo wa Demokrasia tangu 1992, mafanikio makubwa iliyopata Ghana katika uchumi, maendeleo na stability ni wakati ilipoelekea katika mkondo wa demokrasia.
Mauritius na Seychelles ndio nchi zilizoendelea zaidi barani Africa, sio hizo nchi za Kaskazini. Pia Namibia na Botswana zinazizid hizo nchi za Africa Kaskazini kwa maendeleo na maendeleo jumuishi huku zikiwa na demokrasia pana kwa raia wake.