Uchaguzi 2020 CHADEMA wakipata Wabunge zaidi ya watatu tuwapongeze

Mbazi ikikosa maua husingizia jua!
 
Wapinzani wa sasa wamejitoa mhanga kupambana n mkoloni mweusi ccm n madhira wanayopata ni makubwa sana wakiamua na wao waungane kula keki ya taifa nani ataonesha maovu ktk jamii? Inauma sana sana ila kama kwl mungu yupo atalipia 2
Viongozi wanapambana lakini wameachiwa wachache pia wananchi wanaona Kama sawa tu hawaoni umuhimu wa Upinzani ngoja turudi kwenye mfumo wa chama kimoja labda wanyonge akili zitatukaa sawa
 
Tena ukiona mwanamke wa upinzani kashinda jimbo mpe shkamoo kubwa!
Halima mdee ni mwanamke na nusu ht akishindwa anapambana ile ile c km kina heche kutwa kulalamika twitter
 
Tena ukiona mwanamke wa upinzani kashinda jimbo mpe shkamoo kubwa!
Halima mdee ni mwanamke na nusu ht akishindwa anapambana ile ile c km kina heche kutwa kulalamika twitter
Godbless Lema huwa analalamika Sana Mtandaoni ila Halima chuma yule anaingia front line mwenyewe
 
Mnakwapua masanduku na kutimua mbio halafu mmasherekea ushindi wa mezani? Unafikiri hii ni 1990's eh? Dunia inawatizama tu
 
Its True, ni kweli kauli huumba, na yote usemayo kunihusu mimi na hali yangu ni kweli, ila japo ni kweli kauli huumba, kauli nyingine ni za binadamu tuu, Mungu yupo.
P
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…