Waliona IQ yake ni ndogo😂😂😂😂😂Haaahaaaa umeshajua kuwa wa moja hapati mbili basi unadhani wote. Wajumbe walikunyima kura ukatoka na kura 1 ya kwako. Hakikika kama mwandishi nguli utakuwa na historia ya kipekee sana[emoji23][emoji23][emoji23]
Polisi, TISS, JWTZ, NEC; pamoja na watanzania wajingawajinga wote are for ccm election. Why not ccm win 100%Kiukweli endapo CHADEMA watabahatika kupata wabunge watatu au zaidi basi watastahili kupongezwa.
Kwa mfano hapa Dar es Salaam nimepita katika viituo vingi vya kupigia kura na kushuhudia CCM ikiwa ina mawakala katika kila chumba cha kupigia kura wakati vyama vya upinzani wakiwemo CHADEMA wana wakala mmoja au wawili.
Hii inaonyesha vyama vya upinzani havioni umuhimu wa mawakala ila siwalaumu yawezekana ni kwa sababu za kiuchumi.TISS
Nipo JNICC tukiendelea kusubiri matokeo kutoka Tume.
Maendeleo hayana vyama!
Mkuu naona ilo ngese la Lumumba limeusoma uzi likitokwa na machozi kimya kimya likidhani likiwa kwenye ufalme wa magu ndio itakuwa familia yake nzima.Ahaa sasa hata wakikosa mbunge kule kijijini Wazazi wako Baba na Mama wataacha kuvaa kandambili zilizotoboka
Mambo mengine ni vichekesho
Wakipata wabunge wawili wewe ndie utakuwa tajiri kama Barhresa au Mo Dewji
Mkuu kama wewe na ukoo wako ni choka mbaya ni choka mbaya tu
Jaribu kuwasaidia watoto wa ndugu zako kijijini iwe Dada, Binamu au Mjomba
Yaani badala ya kuwaza umaskini wa ukoo wa akina Baptist John wewe unawaza wabunge wa CHADEMA
Kabla ya ubunge wa chadema kwanini wazazi wako hawakuwa matajiri kama Bahresa au Mo Dewji? Miaka ya 1980 au mwanzoni mwa 1990
Wazazi wako walikuwa wapi achana na story za CHADEMA ,
CHADEMA ni taasi imemfanya hata mzazi wako leo apate lami na taa kwa kuwatisha CCM
Hilo neno.Upinzani inabidi wasipate hata mbunge mmoja,Rais ashinde zaidi ya Asilimia 99 kusiwe na ruzuku kabisa ya Upinzani vyama vyote vife,Tanzania ibaki CCM pekee yake
Wakala wetu amekufa Usiku Huu baada ya kupigwa na kujeruhiwa vibayaKila kona ya nchi mawakala wa CHADEMA wamezuiliwa kuingia vituoni alafu wewe unasema hawajaweka mawakala! Yaani CHADEMA wameweza kuweka wagombea na kampeni wamefanya tena ya kufaana alafu washindwe kuweka mawakala! To hell with you.
No watatu wengi, upinzani hata ukipata Mbunge 1, anastahili pongezi!.
P
Heri yako umekubali, lakini kwani hamkulinda kuraKwa kweli kwa masanduku na mabegi ya kura zilizopigwa tayari niliyoona, kutokuwepo kwa mawakala vituoni, NEC, Msajili, TISS, Polisi, TCRA, Mamlaka ya Anga, makampuni ya simu, TISS, TCRA, Msajili wa Vyama, vyombo vya habari, makampuni ya simu, CCM kulala na masanduku ya kura baada ya kura za 27 Okt 2020 kule Zanzibar, nk. hata wakipata mbunge/diwani mmoja nitawashangaa CCM (siyo CHADEMA). Itakuwa ni muujiza wa Mungu.
Heri yako umekubali, lakini kwani hamkulinda kura
Sent from my Infinix X655 using JamiiForums mobile app
Mkuu, upinzani safari hiî ni zaidi ya wabunge mia ndani ya bungeAcha kujishushia heshima
Hakuna uchaguzi kuna maigizo ya uchaguzi kwani CCM imeiba kura zote wamefanya uchakachuaji wa ajabu, hakuna Mtanzania mwenye Akili kawapigia kura CCM bali kuna wizi mkubwa wa kura kwa msaada wa wakurugenziccm NECCCM Tumeccm na Polisiccm, hakukuwa na haja ya kuwa na uchaguzi wakati Tumeccm NECCCM wanatembea na matokeo mifukoni mwao,No watatu wengi, upinzani hata ukipata Mbunge 1, anastahili pongezi!.
P
Huu siyo uchaguzi mkuu bali ni kituko fulani hivi ni kupoteza pesa za walipa kodi bure, magufuli aliwaagiza wakurugenziccm kuwa hawezi kuwapa Gari na mshahara wakurugenziccm kisha asikie kamtangaza mpinzani, wakurugenziccm hawafanyi kazi kwa mjibu wa Sheria bali kwa mjibu wa zidumu zisizo sahihi za mtukufu mwenyekiti wa CCMNo watatu wengi, upinzani hata ukipata Mbunge 1, anastahili pongezi!.
P
CCM hawajashinda uchaguzi bali wamebaka uchaguzi kwa njia haramu za kishetaniUngelisema kuwa uchaguzi uliojaa uhuni wa kukataa mawakala ningekukubali. Unakaataaje mawakala wa chama kisha unajidai kushinda uchaguzi
DuuhNo watatu wengi, upinzani hata ukipata Mbunge 1, anastahili pongezi!.
P
Du unashangaa uchakachuaji au wizi wa kura? CCM bila uchakachuaji bila wizi wa kura bila Polisiccm bila Tumeccm bila mahakamaccm bila wakurugenziccm bila Msajiliccm ni weupe sanaDuuh