Tetesi: CHADEMA wamepanga kususia hotuba ya Rais ya kuvunja bunge

Status
Not open for further replies.
Kwanini mlitaka kumuua mzee wetu Mangula kwa sum?
 

Hata wakati mh. Rais alivyolihutubia Bunge wakati ule wa Uzinduzi wa Bunge Mwezi Novemba 2015 si walitoka pia tumewazoea hao wala hakuna tetesi ni ukweli mtupu
 
Kwani hairuhusiwi kwenda kuji saidia? Unakaa huko mpaka hotuba inakwisha
 
Magufuli ni katili sana haifai Chadema wamsikilize. Aliyowafanyia hata dunia inasikitika.
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…