love life live life
JF-Expert Member
- Sep 12, 2021
- 2,584
- 3,051
- Thread starter
-
- #161
Ajenda ni moja tu katiba mpya hizo ajenda zingine sijui kikosi kazi, maridhiano sijui 4R ni ku-buy timeAjenda ni nyingi Sana na muda hautoshi.
Mkuu Pascal Mayalla we' ni mwandishi pekee hapa Tanzania ambaye ulimhoji JPM, hizo haki anazowanyima wengine, uwezo huo kikatiba anapata wapi? Hakukupa jibu la kueleweka, bali alizidisha ubabe kila kukicha. Sasa, kilichotokea leo, pamoja na kuwa ni kurudishiwa haki iliyonyang'anywa, hao jamaa hawastahili kufurahia?Naunga mkono hoja, pale haki inapogeuzwa hisani!. Anayekuja pasi na hodi, huondoka pasi kuaga. Kuzuiwa bila kifungu, kuruhusu bila Kifungu. Ni hisani ya Rais Samia. Haki kuhisaniwa hadi lini?
P
Nishavuka level za kutegemea wanasiasa kuendesha maisha yangu..,Wewe umefanya nini kuleta mabadiliko? Unalilia wengine wapiganie matamanio yako wewe umelala!!
Kunawatu "Wanahara kati" lakini wanajiita "wana harakati"
Mtu akudhulumu nyumba yako alafu baadae akupangishie kachumba kamoja kwa akili yako utafurahi!?Mkuu Pascal Mayalla we' ni mwandishi pekee hapa Tanzania ambaye ulimhoji JPM, hizo haki anazowanyima wengine, uwezo huo kikatiba anapata wapi? Hakukupa jibu la kueleweka, bali alizidisha ubabe kila kukicha. Sasa, kilichotokea leo, pamoja na kuwa ni kurudishiwa haki iliyonyang'anywa, hao jamaa hawastahili kufurahia?
Kama mama yako alikuwa na wivu kwenye mimba yako hayanihusu..,Inaonyesha unawivu kama mwanamke mjamzito, hivi inakuhusu nini wewe chadema kupata au kukosa kura😵
Mbowe ana Maisha wakati huo wazazi wako wanalalia Ngozi, nyie ukoo wenu wote mmekuja kujua maisha ni nini juzi kati tu, Umezaliwa kwenye zizi la.mbuzi kama yesuLeo naona wanashangilia kama mazuzu, hawana tofauti na mtoto aliyechapwa akaanza kulia akapewa pipi akanyamaza akiulizwa nani amekuchapa anamnyooshea kidole mtu aliyekuwa anambembeleza kipindi analia kabla ya kupewa pipi.
DJ hana chakupoteza keshalamba asali toka siku ya kwanza anatoka Lupango hana tena stori za katiba mpya, anasubiri tena maridhiano 2028.
CCM itachezea makalio yenu kwa miaka mingi sana.Sasa wafanyaje...wasifanye mikutano? Siku zote wenye akili wapo na wanajua mema na mabaya...kwani uchaguzi ulopita hatukuona yote??? Hakuna marefu yasiyo kuwa ncha... Ccm kuna mwisho wenu tena hamtaamini.
Kumbe wanakufokoa sana huko CCM kinyeo kiko waziiiiCCM itachezea makalio yenu kwa miaka mingi sana.
Baba yake na babu yangu anauza ng'ombe na pamba enzi hizo pamba inaitwa dhahabu nyeupe kwenye minada akiwa na SMG amebeba, analimia tractor, boma zima la baba yake na babu yangu kuna nyumba za bati, anamiliki mashine za kusaga na kukoboa na hekta zaidi ya 5000 za mashamba, anang'ombe zaidi ya 10000 watoto wake miaka hiyo wanaenda shule kwa ndege.Mbowe ana Maisha wakati huo wazazi wako wanalalia Ngozi, nyie ukoo wenu wote mmekuja kujua maisha ni nini juzi kati tu, Umezaliwa kwenye zizi la.mbuzi kama yesu
Sent from my JKM-LX1 using JamiiForums mobile app
Mwenye roho mbaya ni DJ ambaye hataki kulamba asali na nduguze walipambana woteNi kupoteza muda tu kujibizana na wewe! Huna hoja yoyote, zaidi ya ile roho mbaya ya ki- MATAGA!
Kujijenga uku kiongozi mkuu amekuwa hacked, unafikiri atakuwa na uwezo kusema vibaya serikali?Sasa
Kuiba kura ni tabia ya CCM inajulikana na kila mtu. Kwa Sasa CHADEMA imepata fursa ya kujijenga, kupitia mikutano ya hadhara.
😂😂 Haya sawaYule Ni Rais, haijalishi jinsia yake. Ana back up kubwa Sana. Mbowe kafanya part yake na kapata alichotaka . Mkutano wa kwanza wa Thanksgiving tunaanzia uwanaja wa mashujaa Moshi.
CCM itachezea makalio yenu kwa miaka mingi sana.
Lisu na Lema wameshtuka kuwa DJ analamba asali wafuasi wake kazi yao ni kushangilia tuKujijenga uku kiongozi mkuu amekuwa hacked, unafikiri atakuwa na uwezo kusema vibaya serikali?
Mkuu tuliza mshonoKumbe wanakufokoa sana huko CCM kinyeo kiko waziiii
Inawezekana hao wamelambishwa ndio maana uwasiki, dili hili Peneza ndio atoelewa ila hao kimbele mbele lazima kawafinyia ili wanyamazeLisu na Lema wameshtuka kuwa DJ analamba asali wafuasi wake kazi yao ni kushangilia tu