CHADEMA ya LISSU na HECHE ijizuie Mikutano yake kuwa mikutano ya kutangaza Injili

CHADEMA ya LISSU na HECHE ijizuie Mikutano yake kuwa mikutano ya kutangaza Injili

Missile of the Nation

JF-Expert Member
Joined
May 24, 2018
Posts
15,101
Reaction score
56,054
Kuna jambo linafanyika katika mikutano ya CHADEMA ambalo kama CHADEMA haitolifanyia kazi litageuka msumari wa kisiasa kwa chama hicho.

Ninatambua kuwa CHADEMA siku hizi imekuwa ikiweka viongozi wa dini mbele katika mikutano yao.

Lakini kitendo cha kuleta wachungaji na kuanza kuhutubia mikutanoni kwa kigezo cha maombi kitaenda kubackfire muda si mrefu.

Nilikuwa nasikiliza mkurano wa John Heche huko Mkoani mara, akaja mchungaji na kuanza kumwaga Injili.

Sasa hili jambo nawahikishia linakwenda kucement sentiments kuwa CHADEMA ni chama cha Wakiristo na hivyo kuendelea kustruggle sana kwenye mikoa yenye waislamu wengi.

Kama CHADEMA wana busara, hili jambo waliangalie na walifanyie kazi
 
Kuna jambo linafanyika katika mikutano ya CHADEMA ambalo kama CHADEMA haitolifanyia kazi litageuka msumari wa kisiasa kwa chama hicho.

Ninatambua kuwa CHADEMA siku hizi imekuwa ikiweka viongozi wa dini mbele katika mikutano yao.

Lakini kitendo cha kuleta wachungaji na kuanza kuhutubia mikutanoni kwa kigezo cha maombi kitaenda kubackfire muda si mrefu.

Nilikuwa nasikiliza mkurano wa John Heche huko Mkoani mara, akaja mchungaji na kuanza kumwaga Injili.

Sasa hili jambo nawahikishia linakwenda kucement sentiments kuwa CHADEMA ni chama cha Wakiristo na hivyo kuendelea kustruggle sana kwenye mikoa yenye waislamu wengi.

Kama CHADEMA wana busara, hili jambo waliangalie na walifanyie kazi
cc gwajima, mzee wa upako nabii wa arusha na mwamposa
 
Kuna jambo linafanyika katika mikutano ya CHADEMA ambalo kama CHADEMA haitolifanyia kazi litageuka msumari wa kisiasa kwa chama hicho.

Ninatambua kuwa CHADEMA siku hizi imekuwa ikiweka viongozi wa dini mbele katika mikutano yao.

Lakini kitendo cha kuleta wachungaji na kuanza kuhutubia mikutanoni kwa kigezo cha maombi kitaenda kubackfire muda si mrefu.

Nilikuwa nasikiliza mkurano wa John Heche huko Mkoani mara, akaja mchungaji na kuanza kumwaga Injili.

Sasa hili jambo nawahikishia linakwenda kucement sentiments kuwa CHADEMA ni chama cha Wakiristo na hivyo kuendelea kustruggle sana kwenye mikoa yenye waislamu wengi.

Kama CHADEMA wana busara, hili jambo waliangalie na walifanyie kazi
Wamepoteza muelekeo
 
Kuna jambo linafanyika katika mikutano ya CHADEMA ambalo kama CHADEMA haitolifanyia kazi litageuka msumari wa kisiasa kwa chama hicho.

Ninatambua kuwa CHADEMA siku hizi imekuwa ikiweka viongozi wa dini mbele katika mikutano yao.

Lakini kitendo cha kuleta wachungaji na kuanza kuhutubia mikutanoni kwa kigezo cha maombi kitaenda kubackfire muda si mrefu.

Nilikuwa nasikiliza mkurano wa John Heche huko Mkoani mara, akaja mchungaji na kuanza kumwaga Injili.

Sasa hili jambo nawahikishia linakwenda kucement sentiments kuwa CHADEMA ni chama cha Wakiristo na hivyo kuendelea kustruggle sana kwenye mikoa yenye waislamu wengi.

Kama CHADEMA wana busara, hili jambo waliangalie na walifanyie kazi

..una uhakika hakukuwa na Shekhe kufanya dua ktk huo mkutano?

..kwa uelewa wangu Chadema mkoa wa Mara wana kiongozi ambaye ni Ustaadhi.
 
Makosa ya kijinga sana, unahitaji maombi ya nini kwenye jukwaa la siasa!

..hata mimi sipendelei salamu za kidini ktk mikutano ya vyams vyote na hata serikalini.

..lakini nahisi mtoa mada hasemi ukweli.

..Chadema huwa wanatoa fursa kwa viongozi wa dini zote mbili kusoma dua.

..Pia kwa eneo la mkoa wa Mara wana kiongozi wao ni Ustaadhi.
 
Kanuni ya separation of religion and state izingatiwe.
Tanzania hii haiwezekani, tizama pia ni ngumu kutenganisha, serikali na chama tawala.

Viongozi wa dini wanapokea rushwa toka serikalini, bahasha kila kukicha, una watenganushaje hao na siasa.
 
Back
Top Bottom