CHADEMA ya LISSU na HECHE ijizuie Mikutano yake kuwa mikutano ya kutangaza Injili

CHADEMA ya LISSU na HECHE ijizuie Mikutano yake kuwa mikutano ya kutangaza Injili

Tanzania hii haiwezekani, tizama pia ni ngumu kutenganisha, serikali na chama tawala.

Viongozi wa dini wanapokea rushwa toka serikalini, bahasha kila kukicha, una watenganushaje hao na siasa.
Usiseme haiwezekani, sema hatujataka tu.

Ukisema haiwezekani inakuwa kama kuna sheria za fizikia zinavunjwa, hakuna sheria za fizikia zinazovunjwa hapo.
 
Usiseme haiwezekani, sema hatujataka tu.

Ukisema haiwezekani inakuwa kama kuna sheria za fizikia zinavunjwa, hakuna sheria za fizikia zinazovunjwa hapo.
Tanzania haiwezekani, ni ngumu kuliko sheria za fizikia kuvunjwa.

Dini zinasajiriwa na,serikali ya ccm, wakijitenga wanatishiwa kufutiwa usajiri, hivyo wababaki kulazimika kuungamana ccm.

Umeona sheria za magazeti ni hivyo hivyo, sasa angalia habari wanazoandika, magazeti yote habari zinafanana, gazeti likiandika tofauti linapelekewa wito kujieleza, likushindwa linafutwa.
 
Tanzania haiwezekani, ni ngumu kuliko sheria za fizikia kuvunjwa.

Dini zinasajiriwa na,serikali ya ccm, wakijitenga wanatishiwa kufutiwa usajiri, hivyo wababaki kulazimika kuungamana ccm.

Umeona sheria za magazeti ni hivyo hivyo, sasa angalia habari wanazoandika, magazeti yote habari zinafanana, gazeti likiandika tofauti linapelekewa wito kujieleza, likushindwa linafutwa.
"...ni ngumu kuliko sheria za fizikia kuvunjwa..." 🤣🤣🤣
 
..Chadema huwa wanatoa fursa kwa viongozi wa dini zote mbili kusoma dua.
Mkuu,
Unaona kuna umuhimu wa hizo dua kabla mikutano kuanza? Kwanini wasifanye mambo yao ya dua faraghani (kama yana umuhimu) kabla ya kupanda jukwaani!

Huu upuuzi nakumbuka uliasisiwa na Mrema alivyohamia NCCR akawa anazunguka kwenye mikutano yake na Sheikh Mtopea.

Mbwembwe za kishamba zilizopitwa na wakati.
 
"...ni ngumu kuliko sheria za fizikia kuvunjwa..." 🤣🤣🤣
Ni kiswahili tu labda, hukukielewa au niseme ni tungo tata, lakini maana yake ni kwamba sheria za fizikua ni rahisi kuvunjwa, kuliko kutenganisha dini na siasa Tanzania.
 
Tanzania hii haiwezekani, tizama pia ni ngumu kutenganisha, serikali na chama tawala.

Viongozi wa dini wanapokea rushwa toka serikalini, bahasha kila kukicha, una watenganushaje hao na siasa.
Kwenye maadhimisho kitaifa Dodoma ya kuasisiwa CCM mwaka huu, waislamu waliwakilishwa na Mufti Sheikh mkuu, CCT wakawakilishwa na Askofu wa Anglican, TEC wakawakilishwa na Padri ambaye sina hakika kama hata ana hadhi ya uparoko.

Unaionaje hii kiprotokali? 😀 😀
 
Ni kiswahili tu labda, hukukielewa au niseme ni tungo tata, lakini maana yake ni kwamba sheria za fizikua ni rahisi kuvunjwa, kuliko kutenganisha dini na siasa Tanzania.
Toa mfano wa sheria moja ya fizikia inayoweza kuvunjwa kirahisi kuliko kutenganisha siasa na dini Tanzania.
 
Haya haya wengi walikuwa wanayapinga na sasa tunaona yanabebwa kwa nguvu zote
Siasa ni uongo mwingi sasa ukiweka na Udini sijui mtaitaje hiyo colabo
 
Sidhani! Kama kwenye mikutano ya CDM wangekuwa wanaambatana na Wachungaji unachozungumza kingekuwa sahihi.
 
Kwenye maadhimisho kitaifa Dodoma ya kuasisiwa CCM mwaka huu, waislamu waliwakilishwa na Mufti Sheikh mkuu, CCT wakawakilishwa na Askofu wa Anglican, TEC wakawakilishwa na Padri ambaye sina hakika kama hata ana hadhi ya uparoko.

Unaionaje hii kiprotokali? 😀 😀
Hahaha ukiwatenganisha na serikali/ccm ni sawa na kumnyima mgonjwa wa kipindupundu drip ya maji.
 
Naona sasa unatafuta mijadala isiyohusika kwenye nyuzi za watu.
Hapana, wewe ndiye umetafuta mjadala huu kwa kusema ni rahisi kuvunja sheria ya fizikia kuliko kutenganisha siasa na dini Tanzania.

Ungeweza kuipotezea hii point.

Mpaka sasa unaonesha umeshindwa kutoa hata mfano mmoja wa sheria ya fizikia inayoweza kuvunjwa kirahisi kuliko kutenganisha siasa na dini Tanzania.

Naanza kupata mashaka kama unaelewa hata sheria ya fizikia ni nini.
 
Hapana, wewe ndiye umetafuta mjadala huu kwa kusema ni rahisi kuvunja sheria ya fizikia kuliko kutenganisha siasa na dini Tanzania.

Ungeweza kuipotezea hii point.

Mpaka sasa unaonesha umeshindwa kutoa hata mfano mmoja wa sheria ya fizikia inayoweza kuvunjwa kirahisi kuliko kutenganisha siasa na dini Tanzania.

Naanza kupata mashaka kama unaelewa hata sheria ya fizikia ni nini.
Ni kweli nimeshindwa.
 
Hahaha ukiwatenganisha na serikali/ccm ni sawa na kumnyima mgonjwa wa kipindupundu drip ya maji.
Huoni kwamba walichofanya TEC ni kitendo cha dharau!

Kama serikali ina mamlaka kote huko kama unavyodai, kwanini serikali isiiwajibishe TEC kwa kitendo chao cha dharau?
 
Kwa nini?
Kwanza, umenishauri, kwamba ningeweza kuipotezea tu hiyo post, nikauchukua ushauri nikaufanyia kazi kama ulivyoshauri.

Pilu, nikakubali hoja yako kwamba nimeshashindwa.
 
Huoni kwamba walichofanya TEC ni kitendo cha dharau!

Kama serikali ina mamlaka kote huko kama unavyodai, kwanini serikali isiiwajibishe TEC kwa kitendo chao cha dharau?
Inawezekana wanalifanyia kazi hilo la dharau, maamuzi huwa hayatolewi siku tunayotaka sisi tusubirie.
 
Kwanza, umenishauri, kwamba ningeweza kuipotezea tu hiyo post, nikauchukua ushauri nikaufanyia kazi kama ulivyoshauri.

Pilu, nikakubali hoja yako kwamba nimeshashindwa.
Hujaipotezea tu hiyo post, kwa sababu umeijibu na unaendelea kuujibu muendelezo wake.

Umekubali uneshashindwa nini? Kwa nini umeshindwa?
 
Back
Top Bottom