CHADEMA ya LISSU na HECHE ijizuie Mikutano yake kuwa mikutano ya kutangaza Injili

CHADEMA ya LISSU na HECHE ijizuie Mikutano yake kuwa mikutano ya kutangaza Injili

Hujaipotezea tu hiyo post, kwa sababu umeijibu na unaendelea kuujibu muendelezo wake.

Umekubali uneshashindwa nini? Kwa nini umeshindwa?
Ulisema nimeshindwa kutoa hata mfano mmoja wa sheria za fizikia, ukasema unamashaka hata kama najua sheria za fizikia ni nini?

Nikajibu "ni kweli nimeshindwa kutoa hata mfano mmoja wa sheria za fizikia"

Ni kweli mashaka yako "Sizijui hata hizo sheria za fizikia"
 
Huoni kwamba walichofanya TEC ni kitendo cha dharau!

Kama serikali ina mamlaka kote huko kama unavyodai, kwanini serikali isiiwajibishe TEC kwa kitendo chao cha dharau?
Hahaha ulitaka wampeleke askofu?

Walichelewa kupewa mualiko, walipopigiwa simu hatua za mwisho, hivyo na wao wakamtuma padri aliyekuwa karibu na tukio Kuwawakilisha.
 
Hahaha ulitaka wampeleke askofu?

Walichelewa kupewa mualiko, walipopigiwa simu hatua za mwisho, hivyo na wao wakamtuma padri aliyekuwa karibu na tukio Kuwawakilisha.
Genda waike. 😀 😀
 
Mkuu,
Unaona kuna umuhimu wa hizo dua kabla mikutano kuanza? Kwanini wasifanye mambo yao ya dua faraghani (kama yana umuhimu) kabla ya kupanda jukwaani!

Huu upuuzi nakumbuka uliasisiwa na Mrema alivyohamia NCCR akawa anazunguka kwenye mikutano yake na Sheikh Mtopea.

Mbwembwe za kishamba zilizopitwa na wakati.

..aliyeleta salamu za kidini kwenye masuala ya kiserikali na chama ni Benard Membe.

..wakati Mrema akigombea ubunge wa Temeke kuna watu walitaka kumtengenezea fitina ya udini sasa kupambana nao ndio Mrema akaibuka na Shekhe Mtopea.

..mtoa mada amelenga kufanya propaganda ya kidini dhidi ya Chadema.

..napenda tu nikumbushe kauli ya AFANDE JUMANNE MULIRO ambaye alisema kwamba shambulizi la bomu ktk mkutano wa Chadema kule Arusha lilifanywa na kikundi cha magaidi walioamini kwamba chama hicho ni cha madhehebu fulani.

..propaganda za udini dhidi ya Chadema ni mbaya, na zimewahi kusababisha vifo kwa wananchi wasio na hatia.
 
Ulisema nimeshindwa kutoa hata mfano mmoja wa sheria za fizikia, ukasema unamashaka hata kama najua sheria za fizikia ni nini?

Nikajibu "ni kweli nimeshindwa kutoa hata mfano mmoja wa sheria za fizikia"

Ni kweli mashaka yako "Sizijui hata hizo sheria za fizikia"
Sasa kwa nini ulijifaragua kusema kutenganisha siasa na dini Tanzania kuna ugumu kuliko kuvunja sheria ya fizikia, wakati hata hujui sheria ya fizikia ni nini?
 
..napenda tu nikumbushe kauli ya AFANDE JUMANNE MULIRO ambaye alisema kwamba shambulizi la bomu ktk mkutano wa Chadema kule Arusha lilifanywa na kikundi cha magaidi walioamini kwamba chama hicho ni cha madhehebu fulani.
Muliro alikuwa Arusha kipindi hicho? Au umechanganya na kamanda aliyestaafu akiwa RPC Dodoma!
 
Muliro alikuwa Arusha kipindi hicho? Au umechanganya na kamanda aliyestaafu akiwa RPC Dodoma!

..hivi karibuni kulikuwa na kongamano la TLS kuhusu utekaji na Afande Muliro alialikwa.

..sasa moja ya mambo ambayo Afande Muliro aliyaeleza ni shambulizi la bomu ktk mkutano wa Chadema Arusha.

..Afande Muliro alieleza kwamba shambulizi la bomu dhidi ya Chadema lilifanywa na magaidi walioamini propaganda kwamba chama hicho ni cha madhehebu fulani.

..tafuta video clips za kongamano la TLS ambapo Chief Odemba alimhoji Afande Muliro uhakiki kilichozungumzwa.

..propaganda za udini dhidi ya Chadema au chama chochote cha siasa sio jambo la kuliacha bila kulikemea.

..Ni bahati mbaya sana kwamba CCM wanatumia mbinu za kijinga namna hiyo bila kujali madhara yanayoweza kutokea nchini.
 
Kuna jambo linafanyika katika mikutano ya CHADEMA ambalo kama CHADEMA haitolifanyia kazi litageuka msumari wa kisiasa kwa chama hicho.

Ninatambua kuwa CHADEMA siku hizi imekuwa ikiweka viongozi wa dini mbele katika mikutano yao.

Lakini kitendo cha kuleta wachungaji na kuanza kuhutubia mikutanoni kwa kigezo cha maombi kitaenda kubackfire muda si mrefu.

Nilikuwa nasikiliza mkurano wa John Heche huko Mkoani mara, akaja mchungaji na kuanza kumwaga Injili.

Sasa hili jambo nawahikishia linakwenda kucement sentiments kuwa CHADEMA ni chama cha Wakiristo na hivyo kuendelea kustruggle sana kwenye mikoa yenye waislamu wengi.

Kama CHADEMA wana busara, hili jambo waliangalie na walifanyie kazi
Tatizo si Chadema,tatizo ni wale watu wanaotaka kutumia Chadema na vyama vi gine kama stepping stone ya kujitangazia agenda zao.
Shida ikitokea katika jamii wataikimbia Chadema bila kelele. Dini isitumike kabisa,Mapadre na Masheikh waheshimu katiba ya Jamhuri.
 
Tatizo si Chadema,tatizo ni wale watu wanaotaka kutumia Chadema na vyama vi gine kama stepping stone ya kujitangazia agenda zao.
Shida ikitokea katika jamii wataikimbia Chadema bila kelele. Dini isitumike kabisa,Mapadre na Masheikh waheshimu katiba ya Jamhuri.

..tatizo ni CCM ambao wameishiwa hoja na kuamua kuchochea udini, na ukabila.

..propaganda za udini na ukabila sio mpya kama umekuwa ukifuatilia siasa za Tanzania.
 
Kanuni ya separation of religion and state izingatiwe.
CCM itaendelea kutawala hii nchi mpaka ichoke,bila kuwa na ushawishi wa dini zote mbili,hushindi uchaguzi,ukijiegemeza kwa dini moja mjomba imekula kwako hiyo
 
Kuna jambo linafanyika katika mikutano ya CHADEMA ambalo kama CHADEMA haitolifanyia kazi litageuka msumari wa kisiasa kwa chama hicho.

Ninatambua kuwa CHADEMA siku hizi imekuwa ikiweka viongozi wa dini mbele katika mikutano yao.

Lakini kitendo cha kuleta wachungaji na kuanza kuhutubia mikutanoni kwa kigezo cha maombi kitaenda kubackfire muda si mrefu.

Nilikuwa nasikiliza mkurano wa John Heche huko Mkoani mara, akaja mchungaji na kuanza kumwaga Injili.

Sasa hili jambo nawahikishia linakwenda kucement sentiments kuwa CHADEMA ni chama cha Wakiristo na hivyo kuendelea kustruggle sana kwenye mikoa yenye waislamu wengi.

Kama CHADEMA wana busara, hili jambo waliangalie na walifanyie kazi

Wanafanya kwa makusudi wewe unafikiri ni kitu kibaya hauelewi siasa za Africa. Sisasa za Africa ni lazima uingize dini kwenye mapambano ya demokrasia. Nchi zote dini zimetumika
 
Sasa kwa nini ulijifaragua kusema kutenganisha siasa na dini Tanzania kuna ugumu kuliko kuvunja sheria ya fizikia, wakati hata hujui sheria ya fizikia ni nini?
Hahaha wewe ndiye unajua hayo mambo, hongera sana.
 
..aliyeleta salamu za kidini kwenye masuala ya kiserikali na chama ni Benard Membe.

..wakati Mrema akigombea ubunge wa Temeke kuna watu walitaka kumtengenezea fitina ya udini sasa kupambana nao ndio Mrema akaibuka na Shekhe Mtopea.

..mtoa mada amelenga kufanya propaganda ya kidini dhidi ya Chadema.

..napenda tu nikumbushe kauli ya AFANDE JUMANNE MULIRO ambaye alisema kwamba shambulizi la bomu ktk mkutano wa Chadema kule Arusha lilifanywa na kikundi cha magaidi walioamini kwamba chama hicho ni cha madhehebu fulani.

..propaganda za udini dhidi ya Chadema ni mbaya, na zimewahi kusababisha vifo kwa wananchi wasio na hatia.
Duh!
 
Back
Top Bottom