Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aisee, yataonekana hayana impact kwa watu wa kawaida, Government wanaelewa kabisahaya maandano ayana impact yoyote,kufanya kitu kwa maigizo ni kupoteza muda.
Tulia leo MAKOMBORA MAZITO hapa Dodoma mpaka mpangue safu yenu tena....Mwamba hazuilikiSiku zote unatupanga tusiondoke mwisho wa siku hakuna mubashara ukiletacho mpaka siku ya tatu u-edit picha!
Kabisa MkuuOne day yes........Lisu pambana kuna vijana hawajui kesho yao........
Leo Lumumba wata tafutana kwa Makombora yatakayorushwaEndelea kusubiri....Impact ni tit for tat
Huo ni mtazamo wakohaya maandano ayana impact yoyote,kufanya kitu kwa maigizo ni kupoteza muda.
HahahaaTulijua ukishaishiwa hoja utaanza kutukana
Kamanda Maroto bado yupo?Leo Lumumba wata tafutana kwa Makombora yatakayorushwa
Stay tuned!!!
haya maandano ayana impact yoyote,kufanya kitu kwa maigizo ni kupoteza muda.
Kumbe mwisho ulikuwa bado?Maandamano haya yanazidi kuivua nguo Chadema. Yanaonesha dhahiri jinsi watanzania walivyo kipuuza chama hicho.
Mwisho wa Chadema umefika.
Wasemavyo Lumumba FcCHADEMA kwa sasa haina mvuto hayo ni matembezi tu kama matembezi mengine hayana impact yoyote kwa sauti ya mama'' waacheni watembeeee wakifika mwisho wakusanyike waongee wakimaliza waende nyumbani wakalale'' unategemea nini hapoo?? hamna mvut wa chama wala maandamano
mnajisumbua u mnachoshwa mnazunguuuukaaaa mpaka mavi yanawatoka hakuna mnchoambuliaWasemavyo Lumumba Fc
Hasira za nini ndugu? Mbona kama unaumia?mnajisumbua u mnachoshwa mnazunguuuukaaaa mpaka mavi yanawatoka hakuna mnchoambulia