CHADEMA yafanya Maandamano ya Amani Dodoma yakiongozwa na Tundu Lissu

CHADEMA yafanya Maandamano ya Amani Dodoma yakiongozwa na Tundu Lissu

Siku zote unatupanga tusiondoke mwisho wa siku hakuna mubashara ukiletacho mpaka siku ya tatu u-edit picha!
Kwani wewe ni mlemavu wa macho/kipofu? Wenzako wenye macho mazima wameona video.
Siku zote unatupanga tusiondoke mwisho wa siku hakuna mubashara ukiletacho mpaka siku ya tatu u-edit picha!

Siku zote unatupanga tusiondoke mwisho wa siku hakuna mubashara ukiletacho mpaka siku ya tatu u-edit picha!
 
Dodoma imedumazwa na akina Ndugai
Kweli, hebu angalia maisha ya watanzania sehemu wanazosema maandamano ya nini? Ni kunuka umasikini kama yanukavyo mazizi ya nguruwe! Mtu na akili zako wenzako wakiandamana kupigania haki zako unapaswa kujilaumu kwa nini uliyakosa! Sasa ukikebehi ni sawa na aliyebakwa na akiulizwa tumchukulie hatua gani mbakaji halafu aseme achana naye kwani kaondoka nayo?
Wapuuzi sana watu wa aina hiyo na humu wapo.
 
Kweli, hebu angalia maisha ya watanzania sehemu wanazosema maandamano ya nini? Ni kunuka umasikini kama yanukavyo mazizi ya nguruwe! Mtu na akili zako wenzako wakiandamana kupigania haki zako unapaswa kujilaumu kwa nini uliyakosa! Sasa ukikebehi ni sawa na aliyebakwa na akiulizwa tumchukulie hatua gani mbakaji halafu aseme achana naye kwani kaondoka nayo?
Wapuuzi sana watu wa aina hiyo na humu wapo.
Sure
 
Kwa wasio na Bando

Screenshot_2024-04-29-20-24-22-1.png
Screenshot_2024-04-29-20-23-23-1.png
Screenshot_2024-04-29-20-23-14-1.png
Screenshot_2024-04-29-20-23-04-1.png
 
Ukitoa kutafuta sehemu ya kuhalalisha ufujwaji wa pesa za rudhuku, haya maandamano hayana impacts yeyote kwa Tanzania hii.
Mkuu hakuna kitu kisicho na impact katika Dunia hii, hata wewe kutokwenda kwako ama kwenda kwenye maandamano kuna impact. Cha msingi acha watu wafanya wafanyacho . Na wewe fanya unachoona kwako kina manufaa .
 
Chadema wanapenda kutembea hovyo hovyo, hawana kazi ndio maana, politely nyoko zao
We mwenye kazi fanya kazi zako hawajakuzuia kufanya kazi zako. Kila mtu afanye anachojiskia. Sisi watanzania tunapenda kuwapangia watu kitu cha kufanya .
 
Mkuu hakuna kitu kisicho na impact katika Dunia hii, hata wewe kutokwenda kwako ama kwenda kwenye maandamano kuna impact. Cha msingi acha watu wafanya wafanyacho . Na wewe fanya unachoona kwako kina manufaa .
Civics ya form 2 kabisa imetufunza kwamba main goal ya any opposition party ni kushinda uchaguzi mbele ya Main party ila kwa haya wanayofanya Chadomo saivi, hata kukaa muelekeo wa ushindani hawapo kwa hayo maandamano.
 
Umenisingizia uongo
Hivi huwa unatoa wapi nguvu na subira za kujibishana na watu kama hao; au shauri ya utani kati yenu?

Sasa mimi nataka kukuuliza swali, 'serious' kabisa, na unajuwa huwa sitaki majibu ya kishabiki (ukiweka urafiki pembeni).

Nimeona bango hapo mbele kwenye maandamano ya Dodoma likisema "Tunataka Katiba Mpya".

Nisiandike kirefu sana. Hii ajenda ya "Katiba Mpya" unajua ilipoanzia, na sote tulikuwa tukijuwa hilo swala ndilo litakalokuwa ajenda namba moja ya CHADEMA.; kwa sababu swala hilo linaeleweka umuhimu wake na waTanzania, hata hao 'chawa'.
Lakini Mwenyekiti alipokwenda kwenye mazungumzo ya "Maridhiano"; alitoka huko akiwa kiongozi tofauti kabisa na yule tuliyekuwa tumemzoea siku zote.
Matumaini yetu wengine tulijuwa ajenda hiyo ya Katiba Mpya kabla ya uchaguzi ndiyo ingeleta mabadiliko ya kweli ndani ya nchi hii. CHADEMA mkaamua kuimwagia maji, na kuwapa CCM uhai mpya.

Sasa mtaanzia wapi kuirudisha ajenda hiyo; na kama tulivyotegemea mwanzo; hii ndiyo ingekuwa ni halali yenu kabisa kuchukuwa mamuzi sahihi kuhusu upigaji kura mwakani na 2025.

Hivi nimekwisha uliza swali, au limepotelea humo katikati ya maelezo?
Nina hakika utakuwa umenielewa. Swali ni mtaanzia wapi sasa:"Kama ni Mbwai, basi na iwe mbwai"? hilo ndilo swali.

Mlipoteza nafasi adhimu sana kuwatia adabu CCM.
 
Back
Top Bottom