Impact yake utaiona! Time will tell!haya maandano ayana impact yoyote,kufanya kitu kwa maigizo ni kupoteza muda.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Impact yake utaiona! Time will tell!haya maandano ayana impact yoyote,kufanya kitu kwa maigizo ni kupoteza muda.
Kwani wewe ni mlemavu wa macho/kipofu? Wenzako wenye macho mazima wameona video.Siku zote unatupanga tusiondoke mwisho wa siku hakuna mubashara ukiletacho mpaka siku ya tatu u-edit picha!
Siku zote unatupanga tusiondoke mwisho wa siku hakuna mubashara ukiletacho mpaka siku ya tatu u-edit picha!
Siku zote unatupanga tusiondoke mwisho wa siku hakuna mubashara ukiletacho mpaka siku ya tatu u-edit picha!
Hapo vipi ?Siku zote unatupanga tusiondoke mwisho wa siku hakuna mubashara ukiletacho mpaka siku ya tatu u-edit picha!
Leo nikupongeze kwa mara ya kwanza kazi nzuri mwanzo nafikiri ulikua ukitumia kitochi!Hapo vipi ?
Kweli, hebu angalia maisha ya watanzania sehemu wanazosema maandamano ya nini? Ni kunuka umasikini kama yanukavyo mazizi ya nguruwe! Mtu na akili zako wenzako wakiandamana kupigania haki zako unapaswa kujilaumu kwa nini uliyakosa! Sasa ukikebehi ni sawa na aliyebakwa na akiulizwa tumchukulie hatua gani mbakaji halafu aseme achana naye kwani kaondoka nayo?Dodoma imedumazwa na akina Ndugai
SureKweli, hebu angalia maisha ya watanzania sehemu wanazosema maandamano ya nini? Ni kunuka umasikini kama yanukavyo mazizi ya nguruwe! Mtu na akili zako wenzako wakiandamana kupigania haki zako unapaswa kujilaumu kwa nini uliyakosa! Sasa ukikebehi ni sawa na aliyebakwa na akiulizwa tumchukulie hatua gani mbakaji halafu aseme achana naye kwani kaondoka nayo?
Wapuuzi sana watu wa aina hiyo na humu wapo.
Mpaka sasa hatuna vifaa vya kupimia hiyo impact. Chama kimemwelekeza katibu mkuu Mnyika kuangalia kama tunaweza kuagiza hivyo vifaa toka Amazon 🤣🤣haya maandano ayana impact yoyote,kufanya kitu kwa maigizo ni kupoteza muda.
Mkuu hakuna kitu kisicho na impact katika Dunia hii, hata wewe kutokwenda kwako ama kwenda kwenye maandamano kuna impact. Cha msingi acha watu wafanya wafanyacho . Na wewe fanya unachoona kwako kina manufaa .Ukitoa kutafuta sehemu ya kuhalalisha ufujwaji wa pesa za rudhuku, haya maandamano hayana impacts yeyote kwa Tanzania hii.
We mwenye kazi fanya kazi zako hawajakuzuia kufanya kazi zako. Kila mtu afanye anachojiskia. Sisi watanzania tunapenda kuwapangia watu kitu cha kufanya .Chadema wanapenda kutembea hovyo hovyo, hawana kazi ndio maana, politely nyoko zao
Civics ya form 2 kabisa imetufunza kwamba main goal ya any opposition party ni kushinda uchaguzi mbele ya Main party ila kwa haya wanayofanya Chadomo saivi, hata kukaa muelekeo wa ushindani hawapo kwa hayo maandamano.Mkuu hakuna kitu kisicho na impact katika Dunia hii, hata wewe kutokwenda kwako ama kwenda kwenye maandamano kuna impact. Cha msingi acha watu wafanya wafanyacho . Na wewe fanya unachoona kwako kina manufaa .
Mzee wa upako katindikiwa anatamani kumeza mtu bangi na jua kali mbaya sana!
Huyo alivaa "kata kun&u" ndiye tunaambiwa awe rais wetu?
Nisingependa ya Mange yaje hukuHuyo alivaa "kata kun&u" ndiye tunaambiwa awe rais wetu?
Huyu hata akiwekwa na mbuzi nachagua mbuzi.
Kwani hajavaa kata nanilii sasa? Au wewe huoni hiyo picha ya kwanza?Nisingependa ya Mange yaje huku
Wewe ni duni sana kubishana na mimiKwani hajavaa kata nanilii sasa? Au wewe huoni hiyo picha ya kwanza?
Wala hatubishani. Mimi nimesema tu huyo aliyevaa kata nanilii hafai kuwa rais. Hakuna ubishi wowote hapo.Wewe ni duni sana kubishana na mimi
EeeeHEEEeeHEEeeee!Siku zote unatupanga tusiondoke mwisho wa siku hakuna mubashara ukiletacho mpaka siku ya tatu u-edit picha!
Hivi huwa unatoa wapi nguvu na subira za kujibishana na watu kama hao; au shauri ya utani kati yenu?Umenisingizia uongo