Earthmover
JF-Expert Member
- Sep 28, 2012
- 24,977
- 23,799
Hahaha Mkuu sasa amekuwa Korokoroni mlinzi wa nyumba na mabanda ya kuku...dunia duaraKamanda Maroto bado yupo?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahaha Mkuu sasa amekuwa Korokoroni mlinzi wa nyumba na mabanda ya kuku...dunia duaraKamanda Maroto bado yupo?
Mvuto? Kapake wanja tukuone...watu wanapigania haki yako wewe unaleta Mvuto?CHADEMA kwa sasa haina mvuto hayo ni matembezi tu kama matembezi mengine hayana impact yoyote kwa sauti ya mama'' waacheni watembeeee wakifika mwisho wakusanyike waongee wakimaliza waende nyumbani wakalale'' unategemea nini hapoo?? hamna mvut wa chama wala maandamano
Yuko wapi?Hahaha Mkuu sasa amekuwa Korokoroni mlinzi wa nyumba na mabanda ya kuku...dunia duara
Na huo umaskini uliotopea ukijumlisha na ujinga, ndio mtaji mkuu wa chama cha mbogambogaMkoa wa Dodoma unatajwa kuwa miongoni mwa Mikoa Duni kabisa Nchini Tanzania, ambayo wakazi wake wanaishi katika umasikini wa kutupwa
Hebu toa sababu chache kwanini hayana impactAisee, yataonekana hayana impact kwa watu wa kawaida, Government wanaelewa kabisa
KijijiniYuko wapi?
Mkuu,Ukitoa kutafuta sehemu ya kuhalalisha ufujwaji wa pesa za rudhuku, haya maandamano hayana impacts yeyote kwa Tanzania hii.
Hakina jina?Kijijini
HahahaaMkuu,
Rudhuku ni kitu gani?
Unataka uone nini ili ukubali kuwa kuna impact!haya maandano ayana impact yoyote,kufanya kitu kwa maigizo ni kupoteza muda.
Acha makasiriko kwa ndugai, aliwaambia ukweli msiotaka kuusikia maCCM.Dodoma imedumazwa na akina Ndugai
Kikokotoo kilikwisha mpiga ngwala sasa ni kolokoloni w mifugo ya mafisadi!🤓😂😭Kamanda Maroto bado yupo?
Kwamba Ndugai anaipenda Tanzania? Halima na COVID wenzake walipelekwa na nani bungeni? acha ujinga usimwamini mtu wa CCM hata kwa dak 1Acha makasiriko kwa ndugai, aliwaambia ukweli msiotaka kuusikia maCCM.
Hatariii 😆😆😆Kikokotoo kilikwisha mpiga ngwala sasa ni kolokoloni w mifugo ya mafisadi!🤓😂😭
YanayoHebu toa sababu chache kwanini hayana impact
Maneno matupu!Tulia leo MAKOMBORA MAZITO hapa Dodoma mpaka mpangue safu yenu tena....Mwamba hazuiliki
Wamenisikia wamekutupia link!Umenisingizia uongo