Ndo nakuambia kama hakina impact kiache wewe fanya ambayo yana impact. Acha wafanye mkuu kwani wamekuzuia kuendelea na majukumu yako?Civics ya form 2 kabisa imetufunza kwamba main goal ya any opposition party ni kushinda uchaguzi mbele ya Main party ila kwa haya wanayofanya Chadomo saivi, hata kukaa muelekeo wa ushindani hawapo kwa hayo maandamano.
Yanahalalisha matumizi ya ruzukuHaya maandano ayana impact yoyote, kufanya kitu kwa maigizo ni kupoteza muda.
Anashindwa kuelewa kuwa hata yeye kwa kutumia muda wake kuyajadili hayo maandamano hiyo nayo ni impact ya maandamano yenyewe!Mkuu hakuna kitu kisicho na impact katika Dunia hii, hata wewe kutokwenda kwako ama kwenda kwenye maandamano kuna impact. Cha msingi acha watu wafanya wafanyacho . Na wewe fanya unachoona kwako kina manufaa .
Tundu lissu atakamatwa ama kuitwa polisi wakati wowoteBaada ya Mapumziko ya Jumapili, leo tena ile kazi ya Ukombozi wa Nchi inaendelea.
Tundu Lissu anaongoza Maandamano ya amani ya kupinga ugumu wa Maisha na Sheria mbovu za Uchaguzi.
Mkoa wa Dodoma unatajwa kuwa miongoni mwa Mikoa Duni kabisa Nchini Tanzania, ambayo wakazi wake wanaishi katika umasikini wa kutupwa
Usiondoke JF kwa taarifa zote kuhusu maandamano hsya na Tuvitu vitu.
Kumekucha:
Sawa kwani nini tatizo?Tundu lissu atakamatwa ama kuitwa polisi wakati wowote