CHADEMA yafungua rasmi pazia la mbio za Urais. Wanaotaka kuomba ridhaa hiyo waruhusiwa

CHADEMA yafungua rasmi pazia la mbio za Urais. Wanaotaka kuomba ridhaa hiyo waruhusiwa

Baada ya Tangazo la Katibu Mkuu John Mnyika , hii maana yake ni kwamba kipyenga sasa kimepulizwa , labda kwa taarifa tu na hasa kwa wenye ubongo usioelewa haraka kutokana na matatizo ya kuzaliwa ( low score ) , ni hivi , Chadema inaenda kushinda urais wa Tanzania octoba 2020 , Liwake jua ama inyeshe mvua , kwa hili naishukuru Kamati Kuu ya Chadema kwa mipango mizito ya ndani na nje .

Kwahiyo basi unapoweka jina la Mgombea wako unayependekeza ufahamu kwamba unayempendekeza huenda akawa Rais wa Tanzania iwapo chama kitampitisha , hivyo zingatia sana weledi , uungwana , afya ya akili pamoja na Uhusiano mzuri wa kimataifa ( hapa pamejaa mambo yote ikiwemo haki za kikatiba na haki za binadamu )


Karibuni kwa mchakato .
Safi chama LA watu wenye akili,

Kuna I'd inajiita "Ccm imara" inapost sana
Propaganda za kizamani, naona wasomaji wengi wameitosa
 
Kwani mwaka 2015 ilikuaje?? Tunamsubiri mtu akatwe kule uli aje huku tuwakomoe.... Mabadilikooooo....?
 
Baada ya Tangazo la Katibu Mkuu John Mnyika , hii maana yake ni kwamba kipyenga sasa kimepulizwa , labda kwa taarifa tu na hasa kwa wenye ubongo usioelewa haraka kutokana na matatizo ya kuzaliwa ( low score ) , ni hivi , Chadema inaenda kushinda urais wa Tanzania octoba 2020 , Liwake jua ama inyeshe mvua , kwa hili naishukuru Kamati Kuu ya Chadema kwa mipango mizito ya ndani na nje .

Kwahiyo basi unapoweka jina la Mgombea wako unayependekeza ufahamu kwamba unayempendekeza huenda akawa Rais wa Tanzania iwapo chama kitampitisha , hivyo zingatia sana weledi , uungwana , afya ya akili pamoja na Uhusiano mzuri wa kimataifa ( hapa pamejaa mambo yote ikiwemo haki za kikatiba na haki za binadamu )


Karibuni kwa mchakato .
Dr Magufuli
 
Tundulisu anasua sua sababu mipango walio kua wamepanga tayar imesha shtukiwa na njama zao ovu
Nenda kachukue fomu pale, yule waliemtegemea kaona maji marefu kupambana na daktari katafuta sababu nyingi ili aendele kubaki huko huko.
Chadema huwa hawana mambo mengi sana hasa kama utaweza kuongea vizuri na Mbowe au fanya mawasiliano kwanza na Lowassa kujua kiasi gani kinahitajika kupeperusha bendera.
Huu ndio wakati wa kazi na bata sio kila siku kumtuma mtoto mdogo Zitto kukuongelea. Njoo upambane kianaume uone maana ya mtu kuitwa chuma Magufuli.
 
Baada ya Tangazo la Katibu Mkuu John Mnyika , hii maana yake ni kwamba kipyenga sasa kimepulizwa , labda kwa taarifa tu na hasa kwa wenye ubongo usioelewa haraka kutokana na matatizo ya kuzaliwa ( low score ) , ni hivi , Chadema inaenda kushinda urais wa Tanzania octoba 2020 , Liwake jua ama inyeshe mvua , kwa hili naishukuru Kamati Kuu ya Chadema kwa mipango mizito ya ndani na nje .

Kwahiyo basi unapoweka jina la Mgombea wako unayependekeza ufahamu kwamba unayempendekeza huenda akawa Rais wa Tanzania iwapo chama kitampitisha , hivyo zingatia sana weledi , uungwana , afya ya akili pamoja na Uhusiano mzuri wa kimataifa ( hapa pamejaa mambo yote ikiwemo haki za kikatiba na haki za binadamu )


Karibuni kwa mchakato .
yaani kuna watu wanapenda kuchosha akili kama wewe dada yaani unasema CHADEMA inenda kushinda urais? upi kwanza labda wa TFF tusikubishie sana
 
Inamaana hamjapanga na kumwandaa mgombea wa kumsidikiza jpm katika ushindi wake .chadema unamatatizo gani tuleteeni msindikizaji
We kiazi wakimpanga MTU si mtasema hawana demokrasia, njoja mchujo makini wa kidemokrasia, siyo kama huko kwenu marufuku kugombea na mwenyekiti
 
BM yuko busy na kusaka wajumbe

Kupindua meza
 
ni hivi , Chadema inaenda kushinda urais wa Tanzania octoba 2020 , Liwake jua ama inyeshe mvua , kwa hili naishukuru Kamati Kuu ya Chadema kwa mipango mizito ya ndani na nje .

[emoji115][emoji115][emoji115]

Unajuwa kucheza na akili za misukule yenzako [emoji23][emoji1787][emoji2960]
 
Chadema hawana mgombea mpaka sasa

Top leader wake wengi wana kesi

Labda yule Nyalandu
 
Back
Top Bottom