Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakuna jingine zaidi ya kuwa chadema ilikuwa inatafuta sababu za kutafuta mlango wa kutokea unafikiri bila ya kutumia hiyo trick pesa ya kulipia mawakala ungepatikana wapi ilihali chama hakina hata kumi!
Acha kujikesha hovyo usije ukajambaHahahaaa.......!
Chadema bhana washaanza kujibiwa!
Anyway wananchi watawakilishwa na yoyote atakayeshinda hiyo ndio demokrasia!
Mimi sifungamani na upande wowote ila ni mtazamo wangu tu.Kwani nyie CCM kinawauma nini? Jitangazeni tu washindi
Ulitaka wafanye nini?Who gains and who loses referee akiwapa ushindi ivyo ivyo na TFA wakiwazawadia 3 juu?
Unapofanya maamuzi lazima ufikirie yana impact gani kwako vinginevyo ni kujirudisha nyuma wewe mwenyewe.
Hakuna mwenye akili timamu anaona walichofanyiwa ni sawa, lakini kususa sio solution ni kama kumpiga chura teke it’s is gain not yours.
Walichofanya kitaathiri zaidi chama chao kuliko kukijenga na hapo wanaacha mwanya kwa chama kingine ku'take over'.Kimebaki kuwa chama Cha kuzikana wamejitoa kwenye siasa.
Kwanza nieaoongeze sana chadema kwa maamuzi hayo magumu lakini pili jambo hili ni picha ya hatari sana kwa amani na muono wa democracia msichezee .
Nionavyo mimi watu wamechoka na kwasababu wamechoka watakavyoamua hata kama wachache wakafa kaaajili ya kutetea Amani na democracy yanchi tayari watakuwa wameshaichafua nchi.
Itoshe wazee wa busara
Mzee mkapa
Mzee mwinyi
Mzee kikwete
Mzee mangula
Mzee msekwa
Mzee butiku
Mzee warioba
Na wengine wengi watoke mafichoni waseme jambo hili.
Kumbuka wengi wanatamani amani ivunjike na hata miradi ijayo hataweza kutekelezeka.
Viongoz msikubali kamwe kuingizwa katika mtego ambao mnaweza kuuzuia.
Vyama vifuatavyo vyaweza kujiondoa
Ili kufuata chama kilichotangulia
Chadema
Act wazalendo
Cuf
Mwisho sio kila jambo linahitajika ubabe mengine ni diplomasia tu
Watumie political pressure tactics si wana ma-strategists humo ndani.Ulitaka wafanye nini?
Who gains and who loses referee akiwapa ushindi ivyo ivyo na TFA wakiwazawadia 3 juu?
Unapofanya maamuzi lazima ufikirie yana impact gani kwako vinginevyo ni kujirudisha nyuma wewe mwenyewe.
Hakuna mwenye akili timamu anaona walichofanyiwa ni sawa, lakini kususa sio solution ni kama kumpiga chura teke it’s is gain not yours.
Hivi mtu kama Lowasa akija na mzigo Mh. Mbowe awezi badili gia angani kweli.
Tuwekee wazi technic gani ambazo wewe unadhani hazijatumika so far.Watumie political pressure tactics si wana ma-strategists humo ndani.
Ni sahihi sana kwa uamuzi waliochukua, Hii nchi ilipofikia kuna mifala inajiona kama ya mama zao, time will come wacha washamba watambe kwa sasa their days are numbered! wanafanya mambo ya kipumbaavu sana!Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe ametangaza chama chake kutoshiriki Uchaguzi wa Serikali za Mitaa utakaofanyika Novemba 24, 2019 kwa madai wakishiriki wanahalalisha ubatili
Maamuzi hayo yanakuja ikiwa ni baada ya Wabunge wa CHADEMA kukutana leo alasiri Novemba 7, 2019 katika Kikao cha Kamati Kuu ya dharura ya chama kilichofanyika mkoani Dodoma
Jana, Mkurugenzi wa Mawasiliano, Itikadi, Uenezi na Mambo ya Nje wa CHADEMA, John Mrema alisema Kamati hiyo itakutana leo kutoa msimamo wao wa mchakato wa Uchaguzi wa Serikali za Mitaa.
----
WAZIRI JAFO AWASHANGAA
Baada ya Chadema kutangaza kutoshiriki uchaguzi wa Serikali za mitaa, Waziri wa Tamisemi, Seleman Jafo amesema uamuzi huo unawanyima fursa wagombea wa chama hicho waliopitishwa, waliokata rufaa kupinga kuenguliwa.
Pia soma
Uchaguzi S/Mitaa 2019: Wagombea wa Upinzani asilimia kubwa wameenguliwa kugombea, CCM wengi wapitishwa
Huyo anayeandika "Amekizi vigezo" ni mtumishi anayelipwa na serikali?!www.jamiiforums.com
Mmeshindwa kushindana..sasa mnaombea adui mabaya [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
We jamaa sio bure unamataizoHiyo Ndio demokrasia
Kama hujajipanga unajiandaa kwa wakati mwingine
TLP itatoa ushindani sasa