Sasa ulitaka wafanye nini wakati wagombea wao wameenguliwa kwa hila ?
Hasira sio nzuri,cha msingi ni kuwaza hili swali kwanini nadhani ni la mhimu sana.We mpuuz kweli si ndo mlikuwa mnayataka? Saiz unajifanya unapyuyanga ujinga satanic agent mkubwa
Maamuzi ya watendaji wa CCM yanawapa wananchi haki.???
Hiyo 80% umeipataje?OK good-luck kama unadhani ni jambo ambalo impact zake ni chanya.
Nikuhakikishie pamoja na kelele zote mabeberu nyuma ya pazia pia ni 80% supporters wa Magu mengi anayofanya ndio yale wanayotaka (ukitoa ukandamizaji wa demokrasia, JK alikuwa anachezea financial sanctions kushinda Magufuli; hiyo ni message tosha kama una akili timamu) na 20% iliyobaki ndio kama sehemu ya pressure tu.
Mtabaki hapo hapo kama sio kurudi kwa stahili ya “hewala sio utumwa”
Hata nikikuuliza mafanikio ya kisiasa CDM itakayopata kwa uamuzi huu na tunayapimaje huko mbele I doubt kama unaweza kujibu.
Ingia mahakamani, pambana kutoa elimu kwenye jamii ya nini kinaendelea; etc with building your political mileage.Sasa ulitaka wafanye nini wakati wagombea wao wameenguliwa kwa hila ?
Ningependa nikukumbushe kwa kukuuliza. Unafahamu kuna chama kinaitwa ADC (Allience for Democratic Change)? Je, unakumbuka kuwa chama hicho kilishirikinuchaguzi wa SMZ 2015 ambao ulisusiwa na CUF? Je chama hicho kimeimarika kupitia kushiriki uchaguzi huo?Waswahili husema kufa kufaana baada ya chama kikuu cha upinzani nchini kujitoa kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa kimetoa fursa kwa chama cha ACT wazalendo kuimarika zaidi.
Maana yake ni kwamba kwa sasa Chadema itakosa uwakilishi katika serikali za mitaa jambo ambalo ni hatari sana kwa ustawi wake.
Nina imani Zitto na maalimu Seif hawatasusia uchaguzi ila watapanga mbinu muafaka za kumkabili mwenzao waziri Jafo kwenye uwanja wa uchaguzi kwani waswahili wanasema.......Waarabu wa Pemba hujuana kwa vilemba.
Poleni sana Chadema
Maendeleo hayana vyama!
Let’s just say ilikuwa rahisi sana kwa mabeberu kuamua kumuadhibu JK kwa financial sanctions kuliko kwa Magu.Hiyo 80% umeipataje?
Hicho anachokiongea Jafo kinatoka moyoni au machozi ya mamba?
Huyu Jafo soon ntaanza kumdharau
jingine hilo,yani kama mazombi hayaishiiiiiPole Tanzania CHADEMA itapita tu lakini Tanzania itadumu milele
Ina maana mpaka sasa hujamdharau tu? Wengine tulikwishamwona wa hovyo pale aliporuhusu hayo mambo ya kipumbavu yanayofanywa na watendaji kuendelea.Huyu Jafo soon ntaanza kumdharau