Tindo
JF-Expert Member
- Sep 28, 2011
- 63,730
- 111,542
Sasa ulitaka wafanye nini wakati wagombea wao wameenguliwa kwa hila ?
Achana na huyo jamaa, anataka cdm washiriki ili nchi na dunia iamini bado kuna demokrasia. Kimsingi anataka cdm washiriki ili kuficha huu upuuzi unaoendelea. Hiyo cdm anayotaka ishiriki itasongaje mbele bila kushinda uchaguzi? Bado cdm ina mtaji wa watu, wasihofie lolote hata kama hawatapata viongozi sasa kwa njia ya hila, lakini wananchi sasa wana ufahamu wa kutosha na hizi siasa za kishenzi wanaziona.