huyo hafai abadan ila watu waliomo ndani hawaoni bora akaendelee na kazi yak ya udjMbowe wewe ni kiongozi wa chama cha siasa.
Lengo kuu la chama chochote ni kushika dola.
Unatakiwa kutambua kususia uchaguzi maana yake ni kuwadhulumu wananchi.
Sio kila mtaa majina yamekatwa, sasa madudu mliyofanya huko kwenu Hai unataka tuumie na tusiousika.
Hiki chama sio cha viongozi, maana ya maamuzi yenu ni kuua chama, serikali inaanzia mtaani, kama mnaona hamtendewi haki mbona ubunge mnaendelea?
Mbowe ni jipu litumbuliwe.
Mathayo 26: 31
..."Nitampiga Mchungaji na kondoo watatawanyika"
pamoja na yote yaliyotokea, mara zote nasema, Mbowe na baadhi ya viongozi wa upinzani wananufaika sana binafsi wakiwa upinzani. Kwa ufupi ajira ya Mbowe iko pale pale.
Pamoja na madhaifu mengi ya Mbowe, amekiongoza chama kufanya maamuzi sahihi sana jana. Ya nini kukimbizana na kuumizana kwasababu ya uongozi wa serikali za mitaa? |
we paka wa cdm acha ujingaNyie mbwa wa CCM acheni ujinga wenu!
Una ugonjwa uitwao UWAMA yaani Ukosefu Wa Marinda. Swali hili waulize mashost wenzakoMitaani wanachadema wanapiga kelele za faulo kuwa Kamati kuu ya chadema imeuza mechi kwa CCM .
Hivi wanamaanisha Nini?
Wajinga wengi hawalioni hili kwa kuwa speed ya kuelekea huko ni ndogo sana kiasi kwamba wanafurahia kucheza mziki huu. :.....Magufuri oyeee......."Usisahau kwamba ukimminya zaidi mtu kwa uonevu unampa mwanya wa kufikiri mbinu mbadala
Tuendako sio kuzuri ni balaa na majanga.
Tusiseme wapinzani au viongozi wa upinzani bali Watanzania wote wenye dhamira njema ni lazima tuanze kufikiria namna nyingine ya kuondokana na hawa watu dhalimu wanaoliekeza Taifa letu tusikokutaka.Alikuwa hatanii aliposema... mshahara nikulipe, gari nikupe....... halafu utangaze mpinzani kashinda" - ujumbe huu akiwa amewapa Wakurugenzi wa Majiji, Manispaa na Miji ambao ni wasimamizi wa uchaguzi.
kwa haya yanayoendelea leo, you need anew approach! a new approach! Kwa haya ya uchaguzi, you are justified for any new approach!
Kwa maslahi ya umma nashauri ushoneshe uniform urudie darasa la tatu.Mbowe ndio anaua chama kwanza yeye mwenyewe hafuati katiba ya CHADEMA
Anawapa mwanya ccm wa kumpopoa mawe
Kwa mfano wakati pilika za uchaguzi wa serikali za mitaa zinaanza wakamchokonoa kuhusu kufanya uchaguzi wa CHADEMA
Akasahau serikali za mitaa akawaza uenyekiti wake anakuja kuzinduka mambo yamesha haribika
Alitakiwa ajiuzuru na sio kususia uchaguzi maana ni makosa yalio tokana na uongozi wake mbovi
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] MaCCM mmepanic baada ya Mbowe kuwatia la kati.Wagombea wa CHADEMA wameharibu form kwa Sababu walikuwa kama mbuzi wasio na mchunga ili takiwa wapate sample ya hizo form kwanza kisha ndio wajaze ni makosa ya uongozi mbovu ambae ni Mbowe
Pia sina kumbukumbu kama Mbowe alishawahi kususia uchaguzi wa wabungu na yeye mwenyewe akiwa ni mgombea
hahahaaa inaumaeeee endelea sasawe paka wa cdm acha ujinga
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] MaCCM wamepanic haswaa baada ya kuachiwa ulingoni wapigane na refa wao.CCM wameumia sana kuliko hata CHADEMA waliojitoa.
Pamoja na madhaifu mengi ya Mbowe, amekiongoza chama kufanya maamuzi sahihi sana jana.
Ya nini kukimbizana na kuumizana kwasababu ya uongozi wa serikali za mitaa?