CHADEMA yajiondoa kushiriki Uchaguzi wa Serikali za Mitaa. Waziri Jafo awashangaa kususia uchaguzi

CHADEMA yajiondoa kushiriki Uchaguzi wa Serikali za Mitaa. Waziri Jafo awashangaa kususia uchaguzi

Mbowe wewe ni kiongozi wa chama cha siasa.
Lengo kuu la chama chochote ni kushika dola.

Unatakiwa kutambua kususia uchaguzi maana yake ni kuwadhulumu wananchi.
Sio kila mtaa majina yamekatwa, sasa madudu mliyofanya huko kwenu Hai unataka tuumie na tusiousika.

Hiki chama sio cha viongozi, maana ya maamuzi yenu ni kuua chama, serikali inaanzia mtaani, kama mnaona hamtendewi haki mbona ubunge mnaendelea?

Mbowe ni jipu litumbuliwe.
huyo hafai abadan ila watu waliomo ndani hawaoni bora akaendelee na kazi yak ya udj
 
Wanasema unajua yaliyompata Ben Saanane!
Huyo jamaa ni kwamba hana uwezo kabisa na ndio maana watu wanashangaa TISS
 
TumainiEl,

Mkuu ni wachache sana wanaweza kuwaza kama wewe. mimi ni ccm lakini hili lililotendwa hakika litatugharimmu ....... napenda watu wanaowaza mbali .barikiwa sana.
 
Mathayo 26: 31

..."Nitampiga Mchungaji na kondoo watatawanyika"

pamoja na yote yaliyotokea, mara zote nasema, Mbowe na baadhi ya viongozi wa upinzani wananufaika sana binafsi wakiwa upinzani. Kwa ufupi ajira ya Mbowe iko pale pale.
Pamoja na madhaifu mengi ya Mbowe, amekiongoza chama kufanya maamuzi sahihi sana jana.

Ya nini kukimbizana na kuumizana kwasababu ya uongozi wa serikali za mitaa?
 
Asante Prof
Screenshot_20191108-070642.jpeg
 
Mitaani wanachadema wanapiga kelele za faulo kuwa Kamati kuu ya chadema imeuza mechi kwa CCM .

Hivi wanamaanisha Nini?
Una ugonjwa uitwao UWAMA yaani Ukosefu Wa Marinda. Swali hili waulize mashost wenzako
tapatalk_1569822541986.jpeg
2193170_tapatalk_1571921669725.jpeg
tapatalk_1564893878930.jpeg
tapatalk_1558808277006.jpeg
tapatalk_1553845148938.jpeg
tapatalk_1556845036090.jpeg
tapatalk_1556254614591.jpeg
 
Usisahau kwamba ukimminya zaidi mtu kwa uonevu unampa mwanya wa kufikiri mbinu mbadala

Tuendako sio kuzuri ni balaa na majanga.
Wajinga wengi hawalioni hili kwa kuwa speed ya kuelekea huko ni ndogo sana kiasi kwamba wanafurahia kucheza mziki huu. :.....Magufuri oyeee......."
 
Alikuwa hatanii aliposema... mshahara nikulipe, gari nikupe....... halafu utangaze mpinzani kashinda" - ujumbe huu akiwa amewapa Wakurugenzi wa Majiji, Manispaa na Miji ambao ni wasimamizi wa uchaguzi.
kwa haya yanayoendelea leo, you need anew approach! a new approach! Kwa haya ya uchaguzi, you are justified for any new approach!
Tusiseme wapinzani au viongozi wa upinzani bali Watanzania wote wenye dhamira njema ni lazima tuanze kufikiria namna nyingine ya kuondokana na hawa watu dhalimu wanaoliekeza Taifa letu tusikokutaka.

Tuna watawala wa giza wanaotaka kutuelekeza sote gizani. Kwa huu ushetani, hata mwanaCCM mwenye mapenzi mema na Taifa letu, hata askari, hata wahubiri wa dini, na wananchi wote, tukmkatae shetani anayetaka kuliharibu Taifa.

Tuangane sote, kila mmoja kwa namna yake kuhakikisha shetani hashindi. Kutakuwa na gharama, na kila mmoja anene katika nafsi yake, 'nipo tayari kuilipa hiyo gharama'
 
Mbowe ndio anaua chama kwanza yeye mwenyewe hafuati katiba ya CHADEMA
Anawapa mwanya ccm wa kumpopoa mawe
Kwa mfano wakati pilika za uchaguzi wa serikali za mitaa zinaanza wakamchokonoa kuhusu kufanya uchaguzi wa CHADEMA
Akasahau serikali za mitaa akawaza uenyekiti wake anakuja kuzinduka mambo yamesha haribika

Alitakiwa ajiuzuru na sio kususia uchaguzi maana ni makosa yalio tokana na uongozi wake mbovi
Kwa maslahi ya umma nashauri ushoneshe uniform urudie darasa la tatu.
 
Wagombea wa CHADEMA wameharibu form kwa Sababu walikuwa kama mbuzi wasio na mchunga ili takiwa wapate sample ya hizo form kwanza kisha ndio wajaze ni makosa ya uongozi mbovu ambae ni Mbowe
Pia sina kumbukumbu kama Mbowe alishawahi kususia uchaguzi wa wabungu na yeye mwenyewe akiwa ni mgombea
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] MaCCM mmepanic baada ya Mbowe kuwatia la kati.
 
Pamoja na madhaifu mengi ya Mbowe, amekiongoza chama kufanya maamuzi sahihi sana jana.

Ya nini kukimbizana na kuumizana kwasababu ya uongozi wa serikali za mitaa?



Nakubaliana na wewe kabisa mkuu, ndio maana nikasema wenye mamlaka walishajua wakimbana yeye wanachama watatawanyika na kukosa uelekeo.

Tukirudi kwenye hili la jana, huo ndio ulikua uamuzi pekee wa kufanya? Wamekua wakifanya hivi mara kadhaa lakini madhambi na hujuma za dola dhidi yao hazitakoma.

Ni wakati nasisitiza amekitoa chama Mbali na hilo tunalithamini lakini nafikiri mawazo na mitazamo mipya inahitajika.
 
Back
Top Bottom