CHADEMA yajiondoa kushiriki Uchaguzi wa Serikali za Mitaa. Waziri Jafo awashangaa kususia uchaguzi

Pia tujiulize CCM ile ya Mwl Nerere na Wenyeviti waliofuata baada yake, ilistahili kuwa na Mwenyekiti tuliyenae sasa?
 
Mwehu
 
Daah Lumumba mnafeli wapi?
Mimi sio CHADEMA wala ACT.. ila ningependa haki na uhuru wa uchaguzi ili kujipima kama kweli tunakubalika au tunalazimisha. kama mtu hakupendi hata ukilazimisha kupendwa bado hupendwi!! kupendwa ni ushawishi na sio nguvu. ushawishi uko kwenye kampeni.......................
 
Pamoja na figusu lakini CDM walikosa maandalizi ya huu uchaguzi mdogo...

Kama kususa Ni vizuri Ni heri wakafute usajiri wa chama kuliko kupoteza muda na siasa chafu...

Wananchi watajitetea wenyewe pasipo vyama vya siasa..
 
Mimi sio CHADEMA wala ACT.. ila ningependa haki na uhuru wa uchaguzi ili kujipima kama kweli tunakubalika au tunalazimisha. kama mtu hakupendi hata ukilazimisha kupendwa bado hupendwi!! kupendwa ni ushawishi na sio nguvu. ushawishi uko kwenye kampeni.......................
 
Nashauri Chadema baada ya tamko hili idara ya mawasiliano na habari waandae clip ya video ikiwabna vielelezo kuweka records sawa. Ili hawa wenye dhamana wawajibishwe siku moja.
 
Wewe ni kifafa
 
Namna pekee ya ccm kushinda ni ya kufanya uharamia kama huu
 
Viongozi wenu wanasema wawasusie viongozi watakaochaguliwa. Mi nakubali. Lakini viongozi hao walifikiria kabla ya kutoa tamko?
Hawaaminiki Hawa. Walisema hawamtambui Magufuli, hatuoni muendelezo. Bungeni ndio kila siku wanatoka nje Ila hatuoni matokeo chanya.
 
A right and just decision. It's only fools can support what is going on.We are being led by a bunch of crooks camouflaging in "politicians" costume!
 
Wapinzani wa nchi wananichekesha Sana baada ya kuona watashindwa uchaguzi wakaona Bora waokoe gharama. Sasa hivi mmekuwa vyama vya hovyo hamna vision wala mwelekeo hamna msimamo kabisa. Njia pekee ya kushindana na Magufuli ni kwenye kuleta maendeleo kuliko kuleta propaganda kwa bahati mbaya most of them mmeshindwa kufanya vizuri kwenye majimbo yenu.
 
Mzunguko mrefu akili kubwa ya mbowe imefanikiwa tatizo ni pesa chama hakina pesa jamani kikitangaza hakuna pesa kitazua ya kuzua na kuanzisha tafrani ni bora hii akili iliyotumiwa..

Najua hili unalijua ila umeamua tu kukifurahisha.
Waliopanda na mbunge mmoja, madiwani wachache hela walikuwa nayo?. Kiwango walichofikia walikopa kwako?.
Siku za mwizi ni 40. Tumieni mbinu zote ipo siku 40 yenu itafika.
Mnahitaji ushindi wa kishindo, mmeachiwa mpate wa Tsunami bado mnaleta maneno mhofumbofu. Shangilieni ushindi wenu.
 

Ndugu yangu democracy its more than political parties.
Ni hatari sana kwa serikali kufanya michezo hiyo wanayoifanya.

Ni vema sana mambo yahusuyo taifa hasa democracy yakaachwa watu wayaenjoy.
Ila wanachokipanda ni hatari mno kuliko hata faida ya ndege na miundombinu inayoendelea.
Time will tell mkuu
 
Hao walishaambiwa wanawashwa washwa wameamua kujikalia pembeni tu.

Hawapaswi kunyamaza
Waende beyond hata kuwa na vikao vya kumpika

Ukifika zimbabwe miundombinu ni mizuri sana lakini mwisho wake mmeuona wote.

Tukubali kwamba still tunatawaliwa as africa bado hatujawa tangible kujitawala kwa mambo mengi
Sasa tusifike huko tukarudishwa nyuma
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…