CHADEMA yajiondoa kushiriki Uchaguzi wa Serikali za Mitaa. Waziri Jafo awashangaa kususia uchaguzi

Hapahitajiki vurugu kuleta mageuzi Tanzania.
Wananchi watakapokataa kuwa 'mifugo' wataleta mageuzi bila ya vurugu yoyote.
 
Stupid kangi, ikianza civil war utaweka pua zako mbele? Utasakizia watoto wa wenzako wafe wa kwako unakimbizia nje au kijijini kwako!
 
Haya maamuzi sahihi ila yamechelewa sana,sijui hata mlipopanga kushiriki mlikuwa mnafikiria nini.

Huwezi kufanya siasa na mtu asiyetayari kushindwa.
We jamaa umenena point sana
 
Cuf walisusia uchaguzi mkuu Zanzibar na maisha yanamesonga wazee
Huo ni mfano ambao CHADEMA na vyama vingine wanapaswa kuutumia na kuepuka kufanya makosa kama hayo.

Watu hawawezi kuacha kutafuta njia zingine za kuondokana na ukandamizaji kwa sababu tu CUF walishindwa.
 
Hizi post za kitaifa ilitakiwa ku " Like " tuu wala sio kucoment. Unakoment nini sasa ujumbe Murua kama huu.
 
Kuna jamaa emeniambia waache kulalamika Misitu si ipo?Sijamuelewa.
Misitu tena? Sio jambo la afya watanzania kufikia mawazo hayo. Hali itendeke Taifa lisipasuke kwa ajili ya madaraka wakati tukifa unarudi ulikotoka mtupu,mengine unayaacha yooote duniani.
 
Kujitoa kwao ni kuonyesha uhdaifu wa kushindwa
 
jibu ni wale wote waliotaka kukitumia chama kama jahazi la kuwavusha 2020 na kutwaa ubingwa ambao kiukweli sio wao. kila siku tunasema Chadema ina wenyewe, na wenyewe wameshasoma alama za nyakati kama kuna watu wanataka kukiondoa chama nje ya dhumuni lake la kuanzisha na kukimbia nacho kusikojulikana.

Tunacho kiona sasa, ni chama kujiweka kwenye "sleeping mode", kujirudisha nyuma na kujikosesha nguvu kwa makusudi ili kisiwe kivutio kwa wale wanotala kukitumia kwa manufaa yao. Wimbi la bahari likishapita, basi ni rahisi kujiamsha na kuanza kuendeleza ajenda ya awali au hata ikiwezekana mpya na yenye mvuto zaidi.
 
2020 pia hawagombei bali wanachukua nchi![emoji30][emoji30][emoji30]
 
wangeshiriki unadhani nani angenufaika??
 
wangeshiriki unadhani nani angenufaika??
Wapo watu waliojiweka mkao wa kula 2020, kumbuka hata Mzee Lowassa alidandia jahazi na kumpiga kikumbo Dr. Slaa lakini mwisho wa siku haikuwa vile alitaka iwe.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…