KalamuTena
JF-Expert Member
- Jul 7, 2018
- 13,187
- 17,167
Hapahitajiki vurugu kuleta mageuzi Tanzania."Nina taarifa kuna chama kimejitoa, ni imani yangu chama hicho kinaweza kuwa na mipango ya kuvuruga amani ya nchi hii, nitoe onyo hakutakuwa na nafasi ya chama cha siasa kuratibu kuvuruga amani, Serikali tumejipanga kutumia nguvu hakuna amani inavurugwa"- Waziri Kangi Lugola
Stupid kangi, ikianza civil war utaweka pua zako mbele? Utasakizia watoto wa wenzako wafe wa kwako unakimbizia nje au kijijini kwako!"Nina taarifa kuna chama kimejitoa, ni imani yangu chama hicho kinaweza kuwa na mipango ya kuvuruga amani ya nchi hii, nitoe onyo hakutakuwa na nafasi ya chama cha siasa kuratibu kuvuruga amani, Serikali tumejipanga kutumia nguvu hakuna amani inavurugwa"- Waziri Kangi Lugola
We jamaa umenena point sana
Haya maamuzi sahihi ila yamechelewa sana,sijui hata mlipopanga kushiriki mlikuwa mnafikiria nini.
Huwezi kufanya siasa na mtu asiyetayari kushindwa.
Huo ni mfano ambao CHADEMA na vyama vingine wanapaswa kuutumia na kuepuka kufanya makosa kama hayo.Cuf walisusia uchaguzi mkuu Zanzibar na maisha yanamesonga wazee
For long am telling hata katiba itachakachuliwaNAONA WAMEWEKA MPIRA KWAPANI BAADA YA KUONA MECHI NGUMU KWAO
TLP chama bhasi mkuu...Ni vizuri sasa ACT,NCCR,CUF na TLP Nao watoe tamko kususia uchaguzi.
Misitu tena? Sio jambo la afya watanzania kufikia mawazo hayo. Hali itendeke Taifa lisipasuke kwa ajili ya madaraka wakati tukifa unarudi ulikotoka mtupu,mengine unayaacha yooote duniani.Kuna jamaa emeniambia waache kulalamika Misitu si ipo?Sijamuelewa.
Kujitoa kwao ni kuonyesha uhdaifu wa kushindwaMwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe ametangaza chama chake kutoshiriki Uchaguzi wa Serikali za Mitaa utakaofanyika Novemba 24, 2019 kwa madai wakishiriki wanahalalisha ubatili
Maamuzi hayo yanakuja ikiwa ni baada ya Wabunge wa CHADEMA kukutana leo alasiri Novemba 7, 2019 katika Kikao cha Kamati Kuu ya dharura ya chama kilichofanyika mkoani Dodoma
Jana, Mkurugenzi wa Mawasiliano, Itikadi, Uenezi na Mambo ya Nje wa CHADEMA, John Mrema alisema Kamati hiyo itakutana leo kutoa msimamo wao wa mchakato wa Uchaguzi wa Serikali za Mitaa.
----
WAZIRI JAFO AWASHANGAA
Baada ya Chadema kutangaza kutoshiriki uchaguzi wa Serikali za mitaa, Waziri wa Tamisemi, Seleman Jafo amesema uamuzi huo unawanyima fursa wagombea wa chama hicho waliopitishwa, waliokata rufaa kupinga kuenguliwa.
“Nimesikia kuwa Chama kimojawapo kimejitoa kwenye Uchaguzi, ninachoweza kusema ni kuwa hawajawatendea haki Wananchi wa chini kwa sababu baadhi yao walishateuliwa na wengine wameshawasilisha malalamiko yao kwenye Kamati za Rufaa na tayari baadhi ya Kamati za Rufaa zimeshaanza kutoa maamuzi juu ya rufaa hizo.
Mtazamo wangu maamuzi hayo yatawanyima haki na kuwadhulumu wananchi wa chini haki yao ya kugombea na kuongoza Serikali za Mitaa ambao baadhi yao wameshateuliwa na wengine wanasubrii rufaa zao”
Mhe. Seleman S. Jafo
Waziiri wa Nchi OR-TAMISEMI
07/11/2019
Pia soma
Uchaguzi S/Mitaa 2019: Wagombea wa Upinzani asilimia kubwa wameenguliwa kugombea, CCM wengi wapitishwa
Huyo anayeandika "Amekizi vigezo" ni mtumishi anayelipwa na serikali?!www.jamiiforums.com
Ushindani ni kushindana, kujitoa ni fedheha kubwa sanaKujitoa kwao ni kuonyesha uhdaifu wa kushindwa
Na nini matokeo ya mwisho huku mitaani au ndio tutakuwa na wenyeviti miungu watu wenye viburi visivyomithilika? au ndio wananchi hawatashirikiana na wenyeviti wao ama kinyume chake? Je mashirikiano kijamii yatakuwa kama awali pasi kujali uvyama? Je chuki hizi za kisiasa zitatupeleka wapi?
Naona giza...
Naona tunatumbukizwa shimoni...
Wapo watu waliojiweka mkao wa kula 2020, kumbuka hata Mzee Lowassa alidandia jahazi na kumpiga kikumbo Dr. Slaa lakini mwisho wa siku haikuwa vile alitaka iwe.wangeshiriki unadhani nani angenufaika??
Mwambie mbona waliojitoa ni CHADEMA lakini wanalalamika kuanzia mawaziri mpaka watetezi wa chama wanatoka CCM?Embu kalale huko na urojo wako