Mwanamageuko
JF-Expert Member
- Oct 31, 2010
- 8,604
- 5,583
Narudia tena WATANZANIA SI MAJUHA KAMA INAVYODHANIWA.Km hayo unayosema Ni haki ya wananchi kweli ngoja tusubiri reaction ya wananchi.
Mwananchi hiyo demokrasia wanayoidai wapinzani haiwahusu na ndio maana unaona hawana habari kama vile hawajui kinachoendelea. Huku mitaani kila mtu pongezi kwa Magufuli.
Wanafiki wasahaulifuKuna tusi gani ambalo hakutukanwa na wana CCM kipindi yupo upinzani?.
Ukiona watu hawana habari na uchaguzi tambua kuwa wameridhika na wanaimani na utawala uliopo.Narudia tena WATANZANIA SI MAJUHA KAMA INAVYODHANIWA.
HIVI NINI KILIWAPELEKA MASOKONI NA KWENYE MADANGURO KUHIMIZA WATU WAJIANDIKISHE KWENYE DAFTARI LA UCHAGUZI SM IKIWA MAHITAJI YA WANANCHI YANATIMIZWA VILIVYO?
HIVI WEWE NA DR. BASHIRU NANI MWENYE UPEO MKUBWA?
Tanzania hatujawah kuwa na tatizo la haki za binadam Wala democrasia.Umnyime mtu haki za binadamu maji na barabara yatakuwa na faida gani?
Kama hakuna tatizo la la demokrasia kwanini mnawapangia wananchi viongozi wa kuwachagua? Uhuru wa kujieleza uko wapi?Tanzania hatujawah kuwa na tatizo la haki za binadam Wala democrasia.
Tuna matatizo ya maji, barabara, afya na elimu bora.
Hayo mengine ni matatizo ya wanasiasa sio wananchi. Mwananchi hata tafsiri ya hivyo vitu haijui.
Kula tena like ya pili mkuuTanzania hatujawah kuwa na tatizo la haki za binadam Wala democrasia.
Tuna matatizo ya maji, barabara, afya na elimu bora.
Hayo mengine ni matatizo ya wanasiasa sio wananchi. Mwananchi hata tafsiri ya hivyo vitu haijui.
Anayependwa na kupongezwa mbona anajihami hataki hata kusikia uchaguzi huru, tume huru wala katiba mpya ya wananchi ?!.Km hayo unayosema Ni haki ya wananchi kweli ngoja tusubiri reaction ya wananchi.
Mwananchi hiyo demokrasia wanayoidai wapinzani haiwahusu na ndio maana unaona hawana habari kama vile hawajui kinachoendelea. Huku mitaani kila mtu pongezi kwa Magufuli.
Aameen.Mungu ibariki Chadema
Imefika muda kuongea kweli iliyopo mioyoni mwetu sisi watanzania