Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
swadaktaPresentation ni art.
Nadhani pana haja ya kuwachagua vyema wasilisha mada.
Tunahitaji watu wa ku maintain momentum. Tunawahitaji kina Raila. Hao wapo. Tuwatumie.
Suala la chief strategist si suala la kupuuzia.
Siasa ni sayansi.
huna hojaNaziona ITV
wameshapewa na kipara milion 65 mashambulizi kuhusu riport ya CAG mashambulizi yasimlenge yeye kwa hiyo zigo wanamwangushia waziri mkuuMh. Majaliwa wanamuonea tu.
Mamlaka ya Uteuzi na Uwajibishaji inatakiwa iwajibike.
Hapa CHADEMA wasizunguke Mbuyu.
Ndio eti mama anaponya nchiNaona Ukinzani na hili jambo.....nisiseme sana, picha inajieleza....Unafikiri Mzee wetu J.MK anatuhabarisha nini hapa![]()
Naziona ITV
Kinondoni iko nje ya jiji la Dar?Kauli hii ya kikakamavu imetolewa na Katibu Mkuu wa chama hicho John Mnyika alipokuwa anaongea na waandishi wa Habari wa ndani na nje ya nchi kwenye makao makuu ya chama hicho huko Kinondoni , Nje ya Jiji la Dar es Salaam
😄😄😃😄
ACT Wazalendo wamtaka waziri Mbarawa ajiuzulu 🤩🤩🤩
Kwa mtoa Hoja J J MnyikaTujikite kwenye mada au kwenye TV ndugu?
Chadema wako Kinondoni ShambaKinondoni iko nje ya jiji la Dar?
Kwa mtoa Hoja J J Mnyika
Nilitegemea swali hili , lakini nadhani hufuatilii mambo , Serikali ya Tanzania chini ya Rais mwenye maono kuliko wote Duniani Dr Magufuli ilifuta mipaka ya awali ya Jiji la DSM na kulihamishia manispaa ya Ilala , yaani Pugu kajiungeni ni Jijini lakini Masaki , kinondoni Mikocheni na Mbezi Beach ni nje ya Jiji .Kinondoni iko nje ya jiji la Dar?
Three The Hard way
Ripoti ya CAGKwa mada ipi sasa?
unayafahamu majukumu ya Waziri Mkuu?Aiseee basi sawa........ila Kwa style hii hatuwezi kuendelea maana wanaadress tatizo Kwa wrong person........kwani mamlaka ya uteuzi si ipo au vikombe vya kahawa vinawapofusha macho........?
Unayajua majukumu ya Rais?unayafahamu majukumu ya Waziri Mkuu?
Three The Hard way
Jimmy Kerry, Jimmy Brown na Fred Williamson
Ukizubaa umeliwa!