CHADEMA yapewa saa mbili kuondoa bendera zake kwenye barabara ya Sam Nujoma eneo la Mlimani City. Polisi yafika kushusha bendera hizo

CHADEMA yapewa saa mbili kuondoa bendera zake kwenye barabara ya Sam Nujoma eneo la Mlimani City. Polisi yafika kushusha bendera hizo

Wakuu nimepita hapa mlimani City muda huu naona Polisi na wanachama wa Chadema wanazozana ila naona kimtindo bendera zinashushwa na hao hao Polisi.

#Wenyeviti wa CCM wajao baada ya kustaafu ukamanda.
Maendeleo hayana vyama!
 
Kwa nini walienda kuweka bendera zao kwenye majengo ya watu? Mwishoni mje kusema Mlimani City ni ya kwetu tuliinunua. Kama CCM nao walivyo taifisha majengo na viwanja vyetu tulivyo nyang'anywa kwa mabavu ya chama kimoja.
Polisi, Ng'oeni si bendera tu hadi zile nguzo walizotumia kutundikia. Ondoa kabisa exhibiti.
 
Wakuu nimepita hapa mlimani City muda huu naona Polisi na wanachama wa Chadema wanazozana ila naona kimtindo bendera zinashushwa na hao hao Polisi.

#Wenyeviti wa CCM wajao baada ya kustaafu ukamanda.
Hiyo ndiyo kipaumbele cha taifa letu.

Watu wanataabika kwa mafuriko njia zimefungwa lkn bado wanaona ni heri bendera za cdm zishushwe kwa nguvu kuliko kushughulia adha za watanzania waishio dsm

Sent using Jamii Forums mobile app
 
2015 Chadema na CCM walituchafulia mitaa yetu hasa maeneo ya Ubungo pale kwa kujaza matambara yao mpaka kwenye nguzo za umeme.

Wanasiasa wabinafsi sana!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Achana na huyo. Kipindi cha nyuma tulikuwa tunashuhudia morogoro road ikiwa imependezeshwa na bendera za chadema na ccm... Na hakukuwa na huu utumbo unaoendelea sasa hivi
Simba na Yanga wakicheza tunaona bendera zao mji mzima, je na wao wanataka kuligeuza jiji la kibiashara kuwa la michezo?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Acha ushamba... Kwamba kwa akili yako haya mambo ya kuweka bendera ndo umeanza kuyasikia leo ?
Wangetakiwa kulipia uwezi ukafika sehem yoyote tu ukajiwekea vitu tu bila kujua hii sehemu mmiliki ni nani au Taasisi gani kila eneo lina milikiwa na serikali au Taasisi binafsi, au Mtu binafsi
Kwaiyo chadema wawe wanafata sheria za nchi, isiwe wanakurupuka tu
Nakupanga bendera bila utaratibu, Rais alisemaga wamachinga wasibunguziwe wafanye biashara popote pale lakini lazima walipie kitambulisho cha mmachinga elf20,
Sasa wao chadema wanapanga mabendera barabarani je wamekuwa wamachinga?

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huu ni ndiyo Upumbavu wa Utawala huu, hawajui Wananchi wanahitaji nini wanadeal na Ujinga kama huu!
 
Besta Mlagila,
CCM PUNGUZENI BASI KIDOGO UNYANYASAJI KWA HAWA JAMAA. BINAFSI SIWAUNGI MKONO HAWA JAMAA HASA CDM LAKINI SI VIZURI MNAVYOWAFANYIA. WAACHENI WAPUMUE KIDOGO. WAKATI FULANI KUNA BENDERA ZA CCM ZILIPAMBA BAADHI YA MIJI KWA JINA LA CCM YA KIJANI, WHY NOT OTHERS? ACHENI HIZO BWANA.
 
Back
Top Bottom