Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yale matambara ya kijani mpaka leo bado yananing'inia hapa Mza kwenye roundabout ya Nyerere road.Kama polisi wameziondoa ni kwa sababu Chadema hawakutii amri waliyopewa ya kuziondoa (kama sikosei walipewa masaa 2) na bill itapelekwa kwenye chama chao wasilie tu wakati watakapotakiwa kulipa bill ya Polisi pamoja na faini.
BTW CCM walikuwa na mkutano wao kule Mwanza, leteni picha za bendera zao ili kuwa fair.
Ushahidi kama huu ulitolewa mahakamani majaji wa rufaa wakaukataa, hivyo hata ukauweka leo, kesho sidhani kama unasaidia. Lakini ni vema kuuweka. Tatizo kubwa ni mahakama zetu (judiciary) na majaji wa UPE akina.... and Co. Ltd!Wakati huu mngekuwa mnajenga hoja kwa ushahidi kama huu ulio wazi kukataa kabisa hawa watu wasimamie uchaguzi.
Hiyo mahakama imekwisha wapiga chini, mnazo mbinu gani zaidi ya hapo?
Sipati picha akiwa anakata GOGO.
Yaani wewe mtu akikuudhi tu unaomba kujua cv yakeLengo kuu la kutaka kumfahamu ni kuweka kumbukumbu sawa kwa ajili ya vizazi vijavyo
Tuwekee sura ya mamako.mzazi nayo tuilinganisheLina sura mbaya kama iliyozaa/toa maiti! Kama dume kutoka kijiji chenye watu wenye sura mbaya!
Ni mchaggaView attachment 1295323
Huyu Mheshimiwa anaitwa Beatrice Dominic, ameingia kwenye rada zetu baada ya kufanya kituko cha kuamuru kushusha bendera za Chadema zilizowekwa kwenye maeneo ya Mlimani City kunakofanyika Mkutano mkubwa wa uchaguzi wa chama hicho, kama walivyo watumishi wengine wa Umma tunapaswa kuufahamu wasifu wake, ni wapi aliposoma, alisoma shule gani, alisomea nini, mahali pengine alipofanya kazi, alikuwa na cheo gani, uaminifu wake pote alipopita na mengine mengi ambayo mtumishi wa umma anapaswa kuwa nayo.
Lengo kuu la kutaka kumfahamu ni kuweka kumbukumbu sawa kwa ajili ya vizazi vijavyo
Tuwekee sura ya bibi yako mzaa baba tuilinganishe na hiyoMwanamke gani anasura ngumu hivi kama kinyago cha mpingo.
Kweli ni wakala wa shetani huyu.
She died 50 yrs back. hata hivyo she was not a mwanasiasa.Tuwekee sura ya mamako.mzazi nayo tuilinganishe